Je, kumpiga mwanamke,kwenye uhusiano kunaongeza heshima au kunavuruga upendo ndani?

Je, kumpiga mwanamke,kwenye uhusiano kunaongeza heshima au kunavuruga upendo ndani?

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Habari zenu....

Katika maisha yangu nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke,mwanamke pekee niliyempiga tena kwa kumnyoosha ni mdogo wangu tu?

Kipindi alikuwa anavunja ungo alikuwa asikii la mtu mimi ndo niliyemnyoosha kama nisingekuwa mimi ndo alikuwa anaenda kuharibu maisha yake kwa kubeba mimba akiwa mdogo.

Nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi sana,lakini sijawahi kumpiga mwanamke yeyote niliyekuwa naye,walikuwa wananikwanza lakini nimejitahidi kujikaza nisishushe dozi.

Mwanamke anakufosi kwa nguvu humpe kichapo,lakini huwa najikaza sana,anakutukana na kukudharau kwa kuwa humpi dozi la ngumi.

Kuna mwanamke wa mbeya ninayeishi naye,yani sio powah mwanamke yule anakera sana,yani sema mimi najuwa kujicontrol laiti ningekuwa mzembe leo hii ningekuwa jela,maana mwanamke anagombana na wewe kama anakuweza vile.

Je nauliza ndugu zangu nianze kutembeza dozi?? AU niendelee na busara zangu??wanawake wa mbeya sio wa kuoa kabisa,yani ni wababe alafu hawajui kuheshimu wanaume. Kama huna busara jela itakuhusu tu..

APROXIMATELY...
 
Mm Dem wangu kipindi hicho kabla hajawa mke wangu rasmi.. niliwahi kumpa kichapo Zaid ya mala mbili kwa awamu tofauti ndani ya miaka 3.

From my experience kichapo kilimsaidia yeye kutambua mipaka yake na kua nanidhamu kwangu Mimi.

Kuna mda hua anajisahau Sana namkumbusha namwambia Kama amemiss kupigwa Tena akisikia hivyo anajirekebisha ila si Kama akipiga.

So kwamba napenda kumpiga ila kuna mda nikama hua anasababisha napandishwa hasira najikuta tu imetokea.

Mwanamke ana utoto unao takiwa kudhibitiwa... Ila usipige kumuumiza kua makini na mkono wako
 
Ni kweli,sisi ni ubabe Sana,tunatulizwa na upendo,pesa na Kaz nzuri kwa bed.Mwanamke was mbeya akikupenda ndo utamtesa.anakuwa zoba.Na kuhusu kumpiga labda kama umemchoka unataka akimbie mwenyewe.Maana ukimpiga anaondoka jumla.Mi nadhan wanawake wengi iko ivo si mbeya tu
 
Habari zenu....

Katika maisha yangu nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke,mwanamke pekee niliyempiga tena kwa kumnyoosha ni mdogo wangu tu??kipindi alikuwa anavunja ungo alikuwa asikii la mtu mimi ndo niliyemnyoosha kama nisingekuwa mimi ndo alikuwa anaenda kuharibu maisha yake kwa kubeba mimba akiwa mdogo.

Nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi sana,lakini sijawahi kumpiga mwanamke yeyote niliyekuwa naye,walikuwa wananikwanza lakini nimejitahidi kujikaza nisishushe dozi.

Mwanamke anakufosi kwa nguvu humpe kichapo,lakini huwa najikaza sana,anakutukana na kukudharau kwa kuwa humpi dozi la ngumi.

Kuna mwanamke wa mbeya ninayeishi naye,yani sio powah mwanamke yule anakera sana,yani sema mimi najuwa kujicontrol laiti ningekuwa mzembe leo hii ningekuwa jela,maana mwanamke anagombana na wewe kama anakuweza vile.

Je nauliza ndugu zangu nianze kutembeza dozi?? AU niendelee na busara zangu??wanawake wa mbeya sio wa kuoa kabisa,yani ni wababe alafu hawajui kuheshimu wanaume.kama huna busara jela itakuhusu tu..

APROXIMATELY...

Mwanamke akikuudhi Usimpe chakula!
Mwambie akatafute akanunue kwa Hela yake na Apike! Ova
 
Mm Dem wangu kipindi hicho kabla hajawa mke wangu rasmi.. niliwahi kumpa kichapo Zaid ya mala mbili kwa awamu tofauti ndani ya miaka 3.

From my experience kichapo kilimsaidia yeye kutambua mipaka yake na kua nanidhamu kwangu Mimi.

Kuna mda hua anajisahau Sana namkumbusha namwambia Kama amemiss kupigwa Tena akisikia hivyo anajirekebisha ila si Kama akipiga.

So kwamba napenda kumpiga ila kuna mda nikama hua anasababisha napandishwa hasira najikuta tu imetokea.
Mimi naona hapa sisi vijana wa sasa tunakosea sana,kipindi nakuwa nilishuhudia babu yangu anampiga bibi yangu tena kichapo cha maana,bibi anapiga uwiii uwiii lakini hakuna mtoto aliyekuwa anaingilia hata siku moja,hapo bibi alikuwa anawajukuu wakubwa tu,mwanamke nilazima apigwe tu lasivyo kizazi hiki kitakuwa cha ajabu sana
 
Habari zenu....

Katika maisha yangu nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke,mwanamke pekee niliyempiga tena kwa kumnyoosha ni mdogo wangu tu??kipindi alikuwa anavunja ungo alikuwa asikii la mtu mimi ndo niliyemnyoosha kama nisingekuwa mimi ndo alikuwa anaenda kuharibu maisha yake kwa kubeba mimba akiwa mdogo.

Nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi sana,lakini sijawahi kumpiga mwanamke yeyote niliyekuwa naye,walikuwa wananikwanza lakini nimejitahidi kujikaza nisishushe dozi.

Mwanamke anakufosi kwa nguvu humpe kichapo,lakini huwa najikaza sana,anakutukana na kukudharau kwa kuwa humpi dozi la ngumi.

Kuna mwanamke wa mbeya ninayeishi naye,yani sio powah mwanamke yule anakera sana,yani sema mimi najuwa kujicontrol laiti ningekuwa mzembe leo hii ningekuwa jela,maana mwanamke anagombana na wewe kama anakuweza vile.

Je nauliza ndugu zangu nianze kutembeza dozi?? AU niendelee na busara zangu??wanawake wa mbeya sio wa kuoa kabisa,yani ni wababe alafu hawajui kuheshimu wanaume.kama huna busara jela itakuhusu tu..

APROXIMATELY...
Kama mwanamke anajielewa atakushukuru kwa kumkumbusha. Kama chizi ataona umemuonea na ataanza kukuchukia.
 
Ni kweli,sisi ni ubabe Sana,tunatulizwa na upendo,pesa na Kaz nzuri kwa bed.Mwanamke was mbeya akikupenda ndo utamtesa.anakuwa zoba.Na kuhusu kumpiga labda kama umemchoka unataka akimbie mwenyewe.Maana ukimpiga anaondoka jumla.Mi nadhan wanawake wengi iko ivo si mbeya tu
Yani dada kila kitu natoa ila anakera sehemu ambayo itakiwi kukukera,ana complain vitu vya ajabu sana sasa anapekuwa simu yako na kuanza kuwapigia watu simu ivyo anauliza watu eti nina wanawake wengi kazini
 
Habari zenu....

Katika maisha yangu nilijiapia sitakuja kumpiga mwanamke,mwanamke pekee niliyempiga tena kwa kumnyoosha ni mdogo wangu tu??kipindi alikuwa anavunja ungo alikuwa asikii la mtu mimi ndo niliyemnyoosha kama nisingekuwa mimi ndo alikuwa anaenda kuharibu maisha yake kwa kubeba mimba akiwa mdogo.

Nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi sana,lakini sijawahi kumpiga mwanamke yeyote niliyekuwa naye,walikuwa wananikwanza lakini nimejitahidi kujikaza nisishushe dozi.

Mwanamke anakufosi kwa nguvu humpe kichapo,lakini huwa najikaza sana,anakutukana na kukudharau kwa kuwa humpi dozi la ngumi.

Kuna mwanamke wa mbeya ninayeishi naye,yani sio powah mwanamke yule anakera sana,yani sema mimi najuwa kujicontrol laiti ningekuwa mzembe leo hii ningekuwa jela,maana mwanamke anagombana na wewe kama anakuweza vile.

Je nauliza ndugu zangu nianze kutembeza dozi?? AU niendelee na busara zangu??wanawake wa mbeya sio wa kuoa kabisa,yani ni wababe alafu hawajui kuheshimu wanaume.kama huna busara jela itakuhusu tu..

APROXIMATELY...
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 PIGA HIO KENGE
 
Mwanamke akikuudhi Usimpe chakula!
Mwambie akatafute akanunue kwa Hela yake na Apike! Ova
Hahaha nimecheka ...

Kuna jamaa mmoja alifanya kwa mkewake Kama ulivyo shauri akamtimua mke wake, mke katoka kwa jeuri kaenda kuliwa na jamaa nje huko kapata ukimwi kwa usiku mmoja tu.

Mpka leo mwanaume na mwanamke wanajutia siku ile moja tu
 
Inategemea ni kipigo gani, kama cha khanga atajua kaonywa.
Kama kupiga vya kuua alooo, ni kumuonea, na ndio utavuruga sana
Wanawake wa mjini hawajui ivyo hawajafundwa,mwanamke unagombana naye ndani then anakunyima haki yako
 
Back
Top Bottom