Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Ni kweli unachosema. Familia zenye akili huwa zinajua sana kuepuka vifo vya kizembe na magonjwa ya kizembe. Watu wenye akili huwa wanakwepa sana kufanya high risk things

Vifo vingi vinasababishwa na ujinga na uzembe.

Mfano kuna magonjwa mengi yanayoambukizwa kwa ngono kama HIV, Homa ya ini , kansa ya kizazi etc. Ila bado kuna watu wengi wanafanya mapenzi bila kinga na multiple partners. Unakuta familia nzima ina uraibu wa ngono. Wanaona sifa kuwa na wanawake wengi.

Mfano wa pili boda boda zinaua sana watu. Hivyo kupanda boda boda ni High-risk behavior.
Hivyo Familia zenye akili wanaambiana kabisa ni mwiko kupanda boda boda sababu ni high risk

Pia vyakula ni factor kubwa kwenye kuepuka magonjwa. Familia zenye akili zinajua vyakula gani vizuri kiafya viliwe sana nyumbani na vyakula gani vibaya kiafya visiliwe sana nyumbani.

Pia Familia zenye akili huwa zinamiliki rasilimali na zinazitumia vizuri rasilimali zao. Hii inawaepusha watoto wao ama wazazi kujiingiza kwenye high risk jobs. Kama kazi mbovu za viwandani, umalaya na u bar maids etc.
Na kuzaliwa kwenye familia za aina hii ni bahati pia.
 
Tenda wema, usidhulumu,usiibe na mpe Mungu haki yake. Nakuhakikishia uzao wako ijapokuwa hutakuwa na muda wa kuusimamia Mungu atausimamia. Mungu ni muaminifu mno. Ukijua hili hutaacha kutenda wema. Ngoja nitoe mfano mmoja. Miaka hiyo najitafuta kukatokea dili flan la viwanja vya ukweli. Na Mimi nikaviitaji. Sasa kulikuwepo watu wengi walilijua lile dili watu wenye hela zao. Zikapelekwa hela za kiume. Sasa Mimi nikapeleka jina tu na sikutegemea chochote kuendana na mazingira yale. Lakin kama ilivyo kawaida yangu mzee wa kujaribu chochote coz ninaamin kila kitu kinawezekana kwa aaminie. Ndio kanuni yangu kuu. Sasa bana mwenye maamuz ya mwisho ni wazir flan. Sasa nashangaa napigiwa simu nikaulizwa wewe ni mtu flan. Nikajibu ndio, nikaambiwa kesho njoo ofisi flan. Nikaenda, kufika secretary kashapewa maagizo. Nikapelekwa kwa Mh, aliniuliza tu swali moja unamjua mtu flan nikamwambia ni marehem baba yangu mdogo. Nikaona wazir anatoa machoz mbele yangu. To cut short story kumbe mzee akiwa katibu ofis flan huyu wazir akiwa kijana mdogo amemaliza chuo hana hili wala lile akaajiriwa ofisini kwa mzee. Na kwasababu hakuwa na kitu mzee alikaa nae kwake miaka 6 Bure bila kutoa chochote,anasema upendo alioupata pale nyumban aliupata kwa Mama yake tu kwao. So baada ya miaka 6 mzee alienda kusoma Canada na hakurud tena mpaka anakuja kufa. Hakuwah kukutana nae au wanae. Nilipewa vile viwanja kwasababu ya wema wa mzee sio kwasababu nilikuwa na hela. Nikakumbuka kuwa Mungu anaweka kumbukumbuk kwaajili ya vizazi. Nilikuja kuwakutanisha na ile familia baadhi walisharud wengine wapo Canada washakuwa raia.
 
Tenda wema, usidhulumu,usiibe na mpe Mungu haki yake. Nakuhakikishia uzao wako ijapokuwa hutakuwa na muda wa kuusimamia Mungu atausimamia. Mungu ni muaminifu mno. Ukijua hili hutaacha kutenda wema. Ngoja nitoe mfano mmoja. Miaka hiyo najitafuta kukatokea dili flan la viwanja vya ukweli. Na Mimi nikaviitaji. Sasa kulikuwepo watu wengi walilijua lile dili watu wenye hela zao. Zikapelekwa hela za kiume. Sasa Mimi nikapeleka jina tu na sikutegemea chochote kuendana na mazingira yale. Lakin kama ilivyo kawaida yangu mzee wa kujaribu chochote coz ninaamin kila kitu kinawezekana kwa aaminie. Ndio kanuni yangu kuu. Sasa bana mwenye maamuz ya mwisho ni wazir flan. Sasa nashangaa napigiwa simu nikaulizwa wewe ni mtu flan. Nikajibu ndio, nikaambiwa kesho njoo ofisi flan. Nikaenda, kufika secretary kashapewa maagizo. Nikapelekwa kwa Mh, aliniuliza tu swali moja unamjua mtu flan nikamwambia ni marehem baba yangu mdogo. Nikaona wazir anatoa machoz mbele yangu. To cut short story kumbe mzee akiwa katibu ofis flan huyu wazir akiwa kijana mdogo amemaliza chuo hana hili wala lile akaajiriwa ofisini kwa mzee. Na kwasababu hakuwa na kitu mzee alikaa nae kwake miaka 6 Bure bila kutoa chochote,anasema upendo alioupata pale nyumban aliupata kwa Mama yake tu kwao. So baada ya miaka 6 mzee alienda kusoma Canada na hakurud tena mpaka anakuja kufa. Hakuwah kukutana nae au wanae. Nilipewa vile viwanja kwasababu ya wema wa mzee sio kwasababu nilikuwa na hela. Nikakumbuka kuwa Mungu anaweka kumbukumbuk kwaajili ya vizazi. Nilikuja kuwakutanisha na ile familia baadhi walisharud wengine wapo Canada washakuwa raia.
Interesting!
 
Mfano ni wale Vijazi.

1.Katibu Mkuu Kiongozi (RIP)
2.Boss TMA
3.Boss NCAA
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi walio fanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Msingi mkuu wa mafanikio yoyote katika familia ni

Kumtanguliza Mungu Mbele
Kuwa serious na masuala ya elimu
Na kujituma

Ni ngumu kukuta familia yenye misingi hiyo halafu haijatoboa, inaweza isiwe kwenye levo ya mamilionea lakini utaona tu mafanikio
 
Msingi mkuu wa mafanikio yoyote katika familia ni

Kumtanguliza Mungu Mbele
Kuwa serious na masuala ya elimu
Na kujituma

Ni ngumu kukuta familia yenye misingi hiyo halafu haijatoboa, inaweza isiwe kwenye levo ya mamilionea lakini utaona tu mafanikio
Kweli mkuu
 
Habari Wakuu.

Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara kubwa na mafanikio kede kede.

Kwa upande mwingine unakuta familia nyingine watu karibuni wote hawaja fanikiwa kielimu wala kiuchumi. Wana umasikini uliotopea.

Je, hizo familia zinazo kuwa na watu wengi walio fanikiwa ni kuwa wamebarikiwa au ni genetics au nini ndugu wajumbe.

Karibuni kwa michango yenu.
Watoto ni product ya wazazi genetically

Mazingira yanachangia pia,ila kama mzazi ana IQ ya kutosha kufanya tu maamuzi ya kumuwekea mtoto mazingira mazuri tayari huyo mzazi ana akili haijalishi aliishiaga la saba au Chuo Kikuu

Mzazi akishakua na intellect ya kufanya maamuzi sahihi kila wakati,basi probability ya watoto kua na intellect ni kubwa

Kikwazo kikubwa ni wazazi kuchaguana ambao hawana akili au hawana genetics bora wote wawili au mmoja wapo

Chanzo kabisa ni wazazi uchaguzi wao wa wenza ndio tatizo namba moja maana ndio inatoa fvcked up kids genetically

Baada ya kupata best genetics then mazingira ni juhudi za wazazi,then the rest ni history.

Watoto walio hovyo mara nyingi wazazi aidha wote au mmojawapo hakuaga na akili naturally hivyo wanatoa inferior offsprings

Binadamu ni animals kama walivyo ng'ombe au chochote,mbegu bora watoto bora,you cant cheat biology.


Mazingira ni juhudi binafsi za kila mzazi sasa
 
Watoto ni product ya wazazi genetically

Mazingira yanachangia pia,ila kama mzazi ana IQ ya kutosha kufanya tu maamuzi ya kumuwekea mtoto mazingira mazuri tayari huyo mzazi ana akili haijalishi aliishiaga la saba au Chuo Kikuu

Mzazi akishakua na intellect ya kufanya maamuzi sahihi kila wakati,basi probability ya watoto kua na intellect ni kubwa

Kikwazo kikubwa ni wazazi kuchaguana ambao hawana akili au hawana genetics bora wote wawili au mmoja wapo

Chanzo kabisa ni wazazi uchaguzi wao wa wenza ndio tatizo namba moja maana ndio inatoa fvcked up kids genetically

Baada ya kupata best genetics then mazingira ni juhudi za wazazi,then the rest ni history.

Watoto walio hovyo mara nyingi wazazi aidha wote au mmojawapo hakuaga na akili naturally hivyo wanatoa inferior offsprings

Binadamu ni animals kama walivyo ng'ombe au chochote,mbegu bora watoto bora,you cant cheat biology.


Mazingira ni juhudi binafsi za kila mzazi sasa
Sure bro, mbegu ikiwa bora itatoa kilicho bora hasa mazingira nayo yakichangia.
 
Sure bro, mbegu ikiwa bora itatoa kilicho bora hasa mazingira nayo yakichangia.
Ni kweli mkuu

Mbegu ikishakua bora mazingira ni ya kupambania tu kwa juhudi binafsi,hapo ndipo umuhimu wa maadili na familia imara ambazo hazijavunjika unapofanya kazi

Kuna mzee,naturally hakuaga na akili yeye na mkewe,wataratibu na religion obsessed na kwake maadili full,ila wanae aisee akili ndio hakuna kabisa,wanawake wameishia kua bar attendants na wavulana wawili became bodaboda guys,wazazi are still wondering why
 
Ni kweli mkuu

Mbegu ikishakua bora mazingira ni ya kupambania tu kwa juhudi binafsi,hapo ndipo umuhimu wa maadili na familia imara ambazo hazijavunjika unapofanya kazi

Kuna mzee,naturally hakuaga na akili yeye na mkewe,wataratibu na religion obsessed na kwake maadili full,ila wanae aisee akili ndio hakuna kabisa,wanawake wameishia kua bar attendants na wavulana wawili became bodaboda guys,wazazi are still wondering why
Dah kwa wazazi imewauma sana, ila nadhani ni upeo wa kufikiri wa watoto upo chini sana. Pamoja na malezi ya dini lakini haijafua dafu, Ila wangekuwa navyo vyote wangekuwa vizuri sana.

Ina sikitisha sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom