Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Je, kuna baadhi ya Familia zimebarikiwa?

Uko sahihi mleta mada kuna famili hata vifo sio vingi watoto baba bibi ba mababu wote wako hai, katika umri mkubwa, na hizo familiya hakuna magonjwa majongwa yaani mpaka unajiuliza, ilikuwaje familiya fulani watu almost wote walikufa ktk umri mdogo na familiya nyingine wako hai mpaka wajukuu nae wanaanza kuzeeka dah

Ni kweli unachosema. Familia zenye akili huwa zinajua sana kuepuka vifo vya kizembe na magonjwa ya kizembe. Watu wenye akili huwa wanakwepa sana kufanya high risk things

Vifo vingi vinasababishwa na ujinga na uzembe.

Mfano kuna magonjwa mengi yanayoambukizwa kwa ngono kama HIV, Homa ya ini , kansa ya kizazi etc. Ila bado kuna watu wengi wanafanya mapenzi bila kinga na multiple partners. Unakuta familia nzima ina uraibu wa ngono. Wanaona sifa kuwa na wanawake wengi.

Mfano wa pili boda boda zinaua sana watu. Hivyo kupanda boda boda ni High-risk behavior.
Hivyo Familia zenye akili wanaambiana kabisa ni mwiko kupanda boda boda sababu ni high risk

Pia vyakula ni factor kubwa kwenye kuepuka magonjwa. Familia zenye akili zinajua vyakula gani vizuri kiafya viliwe sana nyumbani na vyakula gani vibaya kiafya visiliwe sana nyumbani.

Pia Familia zenye akili huwa zinamiliki rasilimali na zinazitumia vizuri rasilimali zao. Hii inawaepusha watoto wao ama wazazi kujiingiza kwenye high risk jobs. Kama kazi mbovu za viwandani, umalaya na u bar maids etc.
 
Sawa sawa. Mshike sana elimu usimwache aende zake.
Ndio boss wengine mjini walikuja hawana hata ndugu wakuwapokea pale ubungo miaka hiyo ndugu wote wapo mashambani uko mjini waje kufanya nini kwaiyo shule ndio zilifanya wafike mjini kwa mala ya kwanza na kwakua walitoka vijijini wakajiapiza kijijini sirudi nakomaa shule ikiisha nabaki mjini kwaiyo kijijini wakawa na matumaini mjini yupo ndugu yao wakaanza kuja salimia na kwakua yupo peke yake mjini wakajiandaa kupokea ndugu zao leo hii uko vijijini imebaki story kama chimbuko maana wote wamekuja mjini na wana maisha kwa sababu aliyewatangulia aliwaminisha shule ndio kila kitu na wakamini
 
Uko sahihi mleta mada kuna famili hata vifo sio vingi watoto baba bibi ba mababu wote wako hai, katika umri mkubwa, na hizo familiya hakuna magonjwa majongwa yaani mpaka unajiuliza, ilikuwaje familiya fulani watu almost wote walikufa ktk umri mdogo na familiya nyingine wako hai mpaka wajukuu nae wanaanza kuzeeka dah
Hii nayo nimeiona na huwa ina tafakarisha sana.
 
Ni kweli unachosema. Familia zenye akili huwa zinajua sana kuepuka vifo vya kizembe na magonjwa ya kizembe. Watu wenye akili huwa wanakwepa sana kufanya high risk things

Vifo vingi vinasababishwa na ujinga na uzembe.

Mfano kuna magonjwa mengi yanayoambukizwa kwa ngono kama HIV, Homa ya ini , kansa ya kizazi etc. Ila bado kuna watu wengi wanafanya mapenzi bila kinga na multiple partners. Unakuta familia nzima ina uraibu wa ngono. Wanaona sifa kuwa na wanawake wengi.

Mfano wa pili boda boda zinaua sana watu. Hivyo kupanda boda ni High-risk behavior.
Hivyo Familia zenye akili wanaambiana kabisa ni mwiko kupanda boda boda sababu ni high risk

Pia vyakula ni factor kubwa kwenye kuepuka magonjwa. Familia zenye akili zinajua vyakula gani vizuri kiafya viliwe sana nyumbani na vyakula gani vibaya kiafya visiliwe sana nyumbani.

Pia Familia zenye akili huwa zinamiliki rasilimali na zinazitumia vizuri rasilimali zao. Hii inawaepusha watoto wao ama wazazi kujiingiza kwenye high risk jobs. Kama kazi mbovu za viwandani, umalaya na u bar maids etc.
Umeeleza ukweli, ukimwi umemaliza familiya nyingi, unakuta kaburi kama kumi kwenye familiya moja yaani naumiaga sana.
 
Halafu kufika chuo kikuu sio kuwa kipanga. Kuna familia very genius lakini mazingira yamewaua.
Elimu na vyeo kwasasa vinanunuliwa kwa fedha na background.
Hivi unajua hata darasa la sana anaweza kufaulu chuo kikuu?
Tengeneza mifumo mizuri katika familia yako kila kitu kinawezekana
Kweli mkuu wenye nacho wanazidi kuongezewa na wasio nacho hata kidogo walicho nacho wana nyang'anywa.
 
Hii nayo nimeiona na huwa ina tafakarisha sana.
Mkuu ukimwi umeondoa watu, kuna kaka mmoja alinisimulia kwa uchungu jinsi familiya mama yake wote walikufa kwa ukimwi, anasema ukoo mzima alibaki bibi yake na mjomba yake mmoja.

Alinisimulia akilia hata mama yake baada ya kuachana ba baba yake akarudi kwako akapata ukimwi akafa.

Wakuu tujitahidi kujilinda, magonjwa makubwa yapo ila ukimwi nao unatisha.
 
Ni kweli unachosema. Familia zenye akili huwa zinajua sana kuepuka vifo vya kizembe na magonjwa ya kizembe. Watu wenye akili huwa wanakwepa sana kufanya high risk things

Vifo vingi vinasababishwa na ujinga na uzembe.

Mfano kuna magonjwa mengi yanayoambukizwa kwa ngono kama HIV, Homa ya ini , kansa ya kizazi etc. Ila bado kuna watu wengi wanafanya mapenzi bila kinga na multiple partners. Unakuta familia nzima ina uraibu wa ngono. Wanaona sifa kuwa na wanawake wengi.

Mfano wa pili boda boda zinaua sana watu. Hivyo kupanda boda ni High-risk behavior.
Hivyo Familia zenye akili wanaambiana kabisa ni mwiko kupanda boda boda sababu ni high risk

Pia vyakula ni factor kubwa kwenye kuepuka magonjwa. Familia zenye akili zinajua vyakula gani vizuri kiafya viliwe sana nyumbani na vyakula gani vibaya kiafya visiliwe sana nyumbani.

Pia Familia zenye akili huwa zinamiliki rasilimali na zinazitumia vizuri rasilimali zao. Hii inawaepusha watoto wao ama wazazi kujiingiza kwenye high risk jobs. Kama kazi mbovu za viwandani, umalaya na u bar maids etc.
Kama hii watu wengi hawa take risk kabisa juu ya maisha yao mpaka wewe mwenyewe una mshangaa na kumuonea huruma. Mfano ulevi ulio pindukia na umalaya.
 
Urafikiri uliwaza na mm yaani mojà kwamoja niliwaza hao watu kabla ya kusoma notes yako' pale maagano yao ni Mazuri kwakweli istoshe ni wakristo
Kuna familia ya kina Kijazi, Mwapachu.

Hawa kina Kijazi mimi nawaitaga vijaza post zao huyu utaambiwa katibu mkuu wa wizara, huyu Mkurugenzi Tanapa huyu siyo katibu mkuu wa nini, hawa nimewavulia kofia.
 
K
Jibu ni moja TU

Wanapeana TAG hakuna kukunjiana

Ukiona familia mmoja TU ndio yupo JUU wengine wapo chini au hawaeleweki jua huyo alie JUU kapiga KOMEO hataki kuwapa TAG wengine wapande JUU km yeye na anataka aonekane yeye TU ndio wa JUU

Hii comment ntaikuta hapa nikiwa na Miaka 79

Na log OUT
Kabisa.

Nina Ndugu yangu mmoja amestaafu akiwa brigedia wa JWTZ, kipindi Niko O level wadogo zake wote walikuwa UDSM na huyo Brigedia ndio alikuwa anawasimamia ktk Kila kitu sasa hivi nasikia wako ofisi ya CAG, Uhamiaji na mwingine Tanga Cement na kote huko Wana vyeo vikubwa, huyo Brigedia alikuwa na watoto wawili mmoja ni Afsa wa JW Komando na mwingine Yuko TANAPA.
 
Katika mafanikio kuna mambo mengi. Umezaliwa wapi, umekulia wapi, umekutana na nani shule, etc.
Lakini kwa hili la familia mchango mkubwa sana unatoka kwa wazazi, jinsi walivyowalea watoto wao, jinsi walivyo wasimamia katika mambo ya shule, na jinsi wanavyo waongoza kwenye mambo mbalimbali.
Familia nyingi hutelekeza watoto wakimaliza shule either darasa la 7 au fom 4. Hivyo watoto hujikuta wakijifanyia mambo bila mpango na hatimaye kuishia kutokufanikiwa.
Naungana na wewe mkuu
 
K
Kabisa.

Nina Ndugu yangu mmoja amestaafu akiwa brigedia wa JWTZ, kipindi Niko O level wadogo zake wote walikuwa UDSM na huyo Brigedia ndio alikuwa anawasimamia ktk Kila kitu sasa hivi nasikia wako ofisi ya CAG, Uhamiaji na mwingine Tanga Cement na kote huko Wana vyeo vikubwa, huyo Brigedia alikuwa na watoto wawili mmoja ni Afsa wa JW Komando na mwingine Yuko TANAPA.


Tag -muhimu sana na linasiadia kujipata mapema .
 
Back
Top Bottom