Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kwanini magazeti ya udaku ya Shigongo siku hizi hayaandiki habari za Diamond? Kuna beef gani tena?
Mbona Diamond anaandamwa na mabeef sana; huku EATV, huku Kiba, huku Davido? Tatizo ni nini hasa?
Mbona Diamond anaandamwa na mabeef sana; huku EATV, huku Kiba, huku Davido? Tatizo ni nini hasa?