Je, kuna filamu nyingine kama hii unaijua!? Kwenye vitabu je?

Je, kuna filamu nyingine kama hii unaijua!? Kwenye vitabu je?

Ukiwaachia simu wanazama moja kwa moja Netflix wanaanza kuizoom
Tuanzie kwako mzazi kwann unampa simu mtoto?? Na kwann usiweke password??

Nyie wazazi ndio mna shida muda mwingine, unakuta mzazi kwenye simu kajaza x na anampa mtoto simu yake hana hata wasiwasi..!! Na watoto ni watundu na wadadisi watachungulia watayabeba, kesho yupo na mtoto mwenzie wanajaribu..!!
 
Tuanzie kwako mzazi kwann unampa simu mtoto?? Na kwann usiweke password??

Nyie wazazi ndio mna shida muda mwingine, unakuta mzazi kwenye simu kajaza x na anampa mtoto simu yake hana hata wasiwasi..!! Na watoto ni watundu na wadadisi watachungulia watayabeba, kesho yupo na mtoto mwenzie wanajaribu..!!
Simu si analilia anataka kucheza game na kuangalia cartoon mkuu unampa kumbe kaingia moja kwa moja Netflix kakutana na hio anaanza kuizoom taratibu
 
Hiyo mkuu haiepukiki. Wameamua kupitia kwenye entertainment ambapo wanajua kabisa huko kila raia atafikiwa tu. Kikubwa hapa sijui ni kila mtu binafsi kuwa na sheria kali kivywake ili kunusuru kizazi chake.. ila bado tu, interactions zitatulimit
Hatari na nusu sasa itakuaje maana jamaa wanajipenyeza kila angle
 
Hamna mkuu wala sio hivyo yaan nyumbani ni mtu peace karibu kwangu ujionee
Kuna siku uliniambia mambo ya ajabu nasoma km naangalia x..!!

Nikabaki nakushangaa nikahisi umeme wako mdogo kichwani 😹😹😹
 
Kama inahusu ushoga iondolewe hapa.
Na haya kama haihusu ushoga,kwa nini usimulie sinema.
Sinema hizi siku hizi tunaziona bure YouTube,zamani tulikuwa tunazitafuta,siku hizi zinatutafuta.
 
Simu si analilia anataka kucheza game na kuangalia cartoon mkuu unampa kumbe kaingia moja kwa moja Netflix kakutana na hio anaanza kuizoom taratibu
Basi vitu ambavyo unaona yeye hastahili kuviona viwekee password..!!

Na kingine sioni km ni vizuri kuwapa watoto simu zenu sijui wacheze game, kwann msiwanunulie vitabu vya kujenga na kuelimisha.??

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, wazazi hayo malezi yenu yanachangia kuwaharibu..!!
 
Basi vitu ambavyo unaona yeye hastahili kuviona viwekee password..!!

Na kingine sioni km ni vizuri kuwapa watoto simu zenu sijui wacheze game, kwann msiwanunulie vitabu vya kujenga na kuelimisha.??

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, wazazi hayo malezi yenu yanachangia kuwaharibu..!!
Sio mimi mkuu nimesema kwa niaba ya wale wenye mazoea ya kufanya hivyo sasa ukimwacha anacheck movie km hizo anapata fundisho gani?
 
Miaka ya zamani kujiita jambazi au steringi ilikuwa title kubwa na ndio maana mitaani tulikuwa na mtu kama bolo young, Jadu, amrish puri, mara van damme na yote kusadifu ushujaa au roho ngumu n.k

nachelea kusema, itafika kipindi huko mbeleni Mungu atuepushie mbali, madogo watakuwa wanaona fahari kujiita punga fulani kisa tu hizi movie za sasa zenye uchoko mwingi
 
Miaka ya zamani ya zamani kujiita jambazi au steringi ilikuwa title iubwa na ndio maana mitaani tulikuwa na mtu kama bolo young, Jadu, amrish puri n.k nachelea kusema itafika kipindi huko mbeleni Mungu atuepushie mbali madogo watakuwa wanaoana fahari kujiita punga fulani kisa tu hizi movie zenye uchoko mwingi
Watafurahia kuitwaje?
 
Series na movies nyingi za 2010 kuendelea zina shida sana.

Nilitazamaga series ya Vikings na How to get away with murder episodes/season za mwanzo zilikuwa fresh kabisa. Balaa likaanza season(s) za 2/3, ilikuwa ni shida kabisa. Nimeacha kuhangaika na series kwa mda sasa.
 
Rabeeeeka mkuuu...nimeitika
Yani acha tuu..siku hzi ukiliangalia lia Burna Boy limekua teketeke..na lile jisura eti na lenyewe ukute lina husband wake...
wanaume wanaowafanya hawa kuwa wake ni wangese
Hahaha lina husband tena?
 
Back
Top Bottom