Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
- Thread starter
-
- #41
Huko ndio wanapozitisha agenda zao km wanavyofanya kwenye mpira kuvalishana badgesSeries na movies nyingi za 2010 kuendelea zina shida sana.
Nilitazamaga series ya Vikings na How to get away with murder episodes/season za mwanzo zilikuwa fresh kabisa. Balaa likaanza season(s) za 2/3, ilikuwa ni shida kabisa. Nimeacha kuhangaika na series kwa mda sasa.
Eee Mungu atuhurumieMiaka ya zamani ya zamani kujiita jambazi au steringi ilikuwa title iubwa na ndio maana mitaani tulikuwa na mtu kama bolo young, Jadu, amrish puri n.k nachelea kusema itafika kipindi huko mbeleni Mungu atuepushie mbali madogo watakuwa wanaoana fahari kujiita punga fulani kisa tu hizi movie zenye uchoko mwingi
Agenda is depopulation
Watu wasizaliane hilo ndio kusudi lao,,,unaambiwa Marekan ukiwa na movie yako ina mambo hayo hata kama wewe black utapata support na airtime ya ajab kwenye tv/social media za media kubwa,,, hawa watu wamelaaniwa sasa wameingiza hadi kwenye Cartoon yan ni kua makini na vipindi vya watoto wanavyoangalia
Mkuu unataka kutag JF nzima?🤣Jobless_Billionaire
Demi
Mshana Jr
Kichogo
BRAZA CHOGO
Mamndenyi
ChoiceVariable
Watu8
Cute Wife
Labella
SteveMollel
rubii
Donatila
GWAMAKA USWEGE
Lamomy
Mpaji Mungu
Leejay49
Malaria 2
Ritz
mshamba_hachekwi
Poor Brain
Numbisa
johnthebaptist
Lucas Mwashambwa
Kalpana
Beira Boy
Ka2pain
Hope urassa
realMamy
Midekoo
raraa reree
BabaMia njinjo PakiJinja Proved Mr Q
Mtemi Mbojo EricMan
Yesu Anakuja Shark chakii
Yoda
Kuna pia drama series ya The Chi nayo hivyo hivyo.Series na movies nyingi za 2010 kuendelea zina shida sana.
Nilitazamaga series ya Vikings na How to get away with murder episodes/season za mwanzo zilikuwa fresh kabisa. Balaa likaanza season(s) za 2/3, ilikuwa ni shida kabisa. Nimeacha kuhangaika na series kwa mda sasa.