Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Suala la kapona au kafa ndugu zake ndio wana majibu sahihi.
Kuhusu kufa au kupona hakuna uhusiano na ajali au kujirusha.
Unaweza kupona kwenye ajali ya Lori ukafa usingizini.
Mungu ndiye pekee anayeweza kutamatisha uhai wa mtu
Ezekiel 18:4
Kuhusu kufa au kupona hakuna uhusiano na ajali au kujirusha.
Unaweza kupona kwenye ajali ya Lori ukafa usingizini.
Mungu ndiye pekee anayeweza kutamatisha uhai wa mtu
Ezekiel 18:4