Je kuna kupona hapo..?

Je kuna kupona hapo..?

ukiruka kutoka kwenye ndege mpaka baharini ni sawa na kutua kwenye zege, kwa umbali huo angeweza kutoboa kama angetanguliza miguu au angechumpq mikono ingetangulia ikifufuatiwa na kichwa
 
ukiruka kutoka kwenye ndege mpaka baharini ni sawa na kutua kwenye zege, kwa umbali huo angeweza kutoboa kama angetanguliza miguu au angechumpq mikono ingetangulia ikifufuatiwa na kichwa
Sawa umetua kwenye zege 😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana mkuu...

Ina mana bora ubaki mule mule tuu sio
 
Nakumbuka enzi
Kuruka kwenye helicopter iliyosimama juu ya maji tu wengine waliruka vibaya na kuvimba sehemu za tumbo kwa ile impact
Sasa inategemea nae alinza na nini kuingia kwenye maji

Na sidhani kama alikuwa pilot, labda mkimbizi aliejificha kwenye tairi
Au ni mmoja wa wahudumu au passenger
Mpaka nijue chanzo cha clip hiyo, ntakuwa mtabiri tu wa ramli
 
Nakumbuka enzi
Kuruka kwenye helicopter iliyosimama juu ya maji tu wengine waliruka vibaya na kuvimba sehemu za tumbo kwa ile impact
Sasa inategemea nae alinza na nini kuingia kwenye maji

Na sidhani kama alikuwa pilot, labda mkimbizi aliejificha kwenye tairi
Au ni mmoja wa wahudumu au passenger
Mpaka nijue chanzo cha clip hiyo, ntakuwa mtabiri tu wa ramli
Mkuu yule ni abiria kutokana na nguo alizovaa...

Kingine katoka kwenye mlango mkuu
 
View attachment 3072192
Salama wakuu..
Kwanza awali ya yote pitia video hapo juu ambayo ina 563kb hata MB bado haijafika hivo wacha uwoga wa kufungua video..

Kipindi sina uwelewa wa mambo ya fizikia hilo jambo hapo juu la jamaa kuchukua hatua ya kuruka kutoka kwenye ndege mpaka chini ya maji nilijua ni simple sana.

Lakini baada ya kuja kukaa na wataalamu wakawa wanasema ni bora uangukie kwenye miti na sio kwenye maji..

Wengine wakafika mbali na kusema ni ngumu kuruka kutoka kwenye ndege hasa za abiria kutokana na ile speed yake ukiongeza mda huo mpo kwenye moment ya accident mambo huwa tofauti.

Sasa kwa tukio hilo hapo juu kitaalamu wakuu lipoje je atapona huyo jamaa au ndo kwisha habari yake..

Najua kuna watu watakua wanayo hii au wameona mpaka mwisho tofauti na mimi but ebu tujaribu kujadiri ili kutufungua wengune kidogo je hiki kitu ni possible au impossible...

Kama ni possible ni kwanini...??
Kama impossible ni kwanini..?

Zingatia g=9.8m/s².. π=22/7

Baba Swalehe
Ni wapi hii
 
Back
Top Bottom