Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kiasi sio sana ila maji ya bahari hayakati kiu.Ushakaa mazingira ya pwani mkuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiasi sio sana ila maji ya bahari hayakati kiu.Ushakaa mazingira ya pwani mkuu..
Pure salt Calcium carbonateKiasi sio sana ila maji ya bahari hayakati kiu.
Faida kukaa mlangoni naiona hapoKama kwa gari ulishindwa kuruka huku je 😂😂😂😂 Usher-smith MD
Wewe mwerevu tuambie kama isingekua simulation angepona au angekufaJf inawashamba wengi hiyo ni simulation sio uhalisia.
Mwanangu umeongea point sana 😂😂😂😂Faida kukaa mlangoni naiona hapo
Atujibu huyo 😂😂Wewe mwerevu tuambie kama isingekua simulation angepona au angekufa
Mkuu show kali hapoDuuu😳
Sawa umetua kwenye zege 😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana mkuu...ukiruka kutoka kwenye ndege mpaka baharini ni sawa na kutua kwenye zege, kwa umbali huo angeweza kutoboa kama angetanguliza miguu au angechumpq mikono ingetangulia ikifufuatiwa na kichwa
Huwa nakukubali sana shangaziMitihani ya form IV ni mwezi wa ngapi?
Mkuu yule ni abiria kutokana na nguo alizovaa...Nakumbuka enzi
Kuruka kwenye helicopter iliyosimama juu ya maji tu wengine waliruka vibaya na kuvimba sehemu za tumbo kwa ile impact
Sasa inategemea nae alinza na nini kuingia kwenye maji
Na sidhani kama alikuwa pilot, labda mkimbizi aliejificha kwenye tairi
Au ni mmoja wa wahudumu au passenger
Mpaka nijue chanzo cha clip hiyo, ntakuwa mtabiri tu wa ramli
Ndio nimesema maana hawezi kuwa Pilot kama mdau alivyochangia juuMkuu yule ni abiria kutokana na nguo alizovaa...
Kingine katoka kwenye mlango mkuu
Yqaah ni kweli kabisa mkuuNdio nimesema maana hawezi kuwa Pilot kama mdau alivyochangia juu
Ni wapi hiiView attachment 3072192
Salama wakuu..
Kwanza awali ya yote pitia video hapo juu ambayo ina 563kb hata MB bado haijafika hivo wacha uwoga wa kufungua video..
Kipindi sina uwelewa wa mambo ya fizikia hilo jambo hapo juu la jamaa kuchukua hatua ya kuruka kutoka kwenye ndege mpaka chini ya maji nilijua ni simple sana.
Lakini baada ya kuja kukaa na wataalamu wakawa wanasema ni bora uangukie kwenye miti na sio kwenye maji..
Wengine wakafika mbali na kusema ni ngumu kuruka kutoka kwenye ndege hasa za abiria kutokana na ile speed yake ukiongeza mda huo mpo kwenye moment ya accident mambo huwa tofauti.
Sasa kwa tukio hilo hapo juu kitaalamu wakuu lipoje je atapona huyo jamaa au ndo kwisha habari yake..
Najua kuna watu watakua wanayo hii au wameona mpaka mwisho tofauti na mimi but ebu tujaribu kujadiri ili kutufungua wengune kidogo je hiki kitu ni possible au impossible...
Kama ni possible ni kwanini...??
Kama impossible ni kwanini..?
Zingatia g=9.8m/s².. π=22/7
Baba Swalehe