successiful dreamer
Senior Member
- Sep 10, 2019
- 103
- 191
Habari ya uzima wanajamvi?
Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo nililopenda kulijua kutoka kwenu.Mimi nipo kijijini kwa mda mrefu sijafika mjini.
Huku niliko hakuna Benki ambapo naweza kwenda kuuliza hii taarifa ninayotaka kuijua kutoka kwenu.
Mwanzoni mwa mwezi July nilisoma habari kwamba Benki kuu imeshusha riba ya kuyakopesha mabenki yetu kwa riba isiyozidi 10%.
Kama taarifa hiyo ni kweli hali ikoje huko katika Benki ambazo sisi tunaoendesha miradi kwa kutegemea mikopo kutoka NMB na CRDB wameshashusha riba kutoka ile 17% au hali bado ni ileile hakijabadilka kitu?
Karibuni mnisaidie pia muwe na siku njema.
Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo nililopenda kulijua kutoka kwenu.Mimi nipo kijijini kwa mda mrefu sijafika mjini.
Huku niliko hakuna Benki ambapo naweza kwenda kuuliza hii taarifa ninayotaka kuijua kutoka kwenu.
Mwanzoni mwa mwezi July nilisoma habari kwamba Benki kuu imeshusha riba ya kuyakopesha mabenki yetu kwa riba isiyozidi 10%.
Kama taarifa hiyo ni kweli hali ikoje huko katika Benki ambazo sisi tunaoendesha miradi kwa kutegemea mikopo kutoka NMB na CRDB wameshashusha riba kutoka ile 17% au hali bado ni ileile hakijabadilka kitu?
Karibuni mnisaidie pia muwe na siku njema.