Wakubwa polen na majukumu. Naomba niwaulize swali moja kwa moja bila kupoteza muda 1)hivi inawezekana mtoto wa kiume aliyekamilika rijali anakula na kushiba akaweza kufika umri wa miaka 28 hadi 30 bila kufanya mapenzi??? 2)Je kuna madhara yeyote mtoto wa kiume anaweza kuyapata asipofanya mapenz hadi kufikia umri wa hapo juu??maana nimekuwa nikisikia kuwa usipoduu muda mrefu unaweza kuwa gay au impotent tafadhal naomben majbu wakuu
Aiseee naona hakuna madhara, tena kufanya mapenzi before that age ni mbaya zaidi, kwanza wengi tunakuwa immature, tupata watoto wasio na lazima. Mwishowe tunaongeza umaskini, elimu duni, etc
Nikupe mfano wa the Father Of Calculus, Sir. Isaac Newton. Much respect to him, you made my life hard memorising all your formulas but we wouldn't have planes and Lamborghinis without you[emoji3] [emoji3] .
Sir. Isaac Newton never dated and not surprising, he died a virgin.
Sir. Isaac Newton alikufa akiwa na miaka 84 akiwa bado virgin. I keep on respecting this man. Calculus inanipa maumivu, I am more of a biology and chemistry guy, nami siku nitaitwa Sir Ghost. Kwa kuwa nitakuwa nimepata dawa ya Ukimwi na Cancer.[emoji3] Amen.
Mfano ndio huo[emoji115] [emoji115] aliweza kutuongezea ujuzi.
Conclusion Force = Mass * Acceleration
-callmeGhost