Jaribu ku-google Illuminati utaona Sera na malengo yao na pia alama ya wazi kabisa ya kishetani ipo kwenye note ya $1 ya USA...utaona kuna pyramid yenye ngazi3 ambazo ni za utawala wao...na namna wanavotawala dunia...kumbuka number 13 ni alama ya Illuminati na Freemason na ndio maana kwenye hotel zote kubwa huwezi kukuta chumba number hiyo,
Asante
Umemaliza mkuu
Asante
Umemaliza mkuu
je unaamini uwepo wa mashetani ??
yaani hivyo ndiyo kamaliza..aiseee!!
Ndio naamini shetani yupo
Ukiamini uwepo wa Mungu ni lazima uamini na uwepo wa shetani, ukishindwa kuamini moja kati ya hayo imani yako itakuwa na walakini..
Ndio naamini shetani yupo
Exactly! Watu waachane na uvivu wa akili....unless umemshuhudia Mungu haileti maana kusema vitu vya kusadikika
MM MWENYEWE NIMESIKIA KWA WATU KUWA PESA ZINA ALAMA ZA USHETANI HIVYO BADO NATAFAKARI NIJUE UNDANI ZAIDI ILA NIMECOPY HII TOKA MAHALI FULANI
Maana ya alama hiyo kiutabibu inatokana na simulizi lililomo katika Biblia ... ya pesa. ndio maana unaweza kuona hela zina kama alama a nyota hiyo ... inahusishwa hasa na nguvu za ushetani katika kuitawala dunia. sasa ...
HEBU SOMA HESABU 21:6, 8-9 LABDA UTAPATA UNDANI ZAIDI HAPO
MM MWENYEWE NIMESIKIA KWA WATU KUWA PESA ZINA ALAMA ZA USHETANI HIVYO BADO NATAFAKARI NIJUE UNDANI ZAIDI ILA NIMECOPY HII TOKA MAHALI FULANI
Maana ya alama hiyo kiutabibu inatokana na simulizi lililomo katika Biblia ... ya pesa. ndio maana unaweza kuona hela zina kama alama a nyota hiyo ... inahusishwa hasa na nguvu za ushetani katika kuitawala dunia. sasa ...
HEBU SOMA HESABU 21:6, 8-9 LABDA UTAPATA UNDANI ZAIDI HAPO
Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi. 1 TIMOTHEO 6:10
Sasa wewe umesimamia upande upi ?
au sigara kali ?
au unataka kuchosha watu ili uonekane?
kwa nini uamini uwepo wa shetani ushindwa kuamini uwepo wa mungu ??
"Pesa ni mali ya shetani daima"
"Pesa ni mali ya shetani daima"