Je kuna mahusiano yoyote kati ya alama zinazotumika kwenye pesa na shetani?

Je kuna mahusiano yoyote kati ya alama zinazotumika kwenye pesa na shetani?

Ushetani kwa mujibu wa nani..?

Nimeuliza hivyo nikiamini mada yako ipo kiimani tena labda ya Kikristo mno mno Usabato....

Pesa hiyo inatumiwa na Wakristo, wapagani, Muslims , Wasio amini Mungu (Atheist), Buddhist na imani mamia kwa maelfu...

Ukija kwa Atheist yeye haamini Mungu so automatically kwake yeye hakuna shetani.....Wabudda wanaamini shetani wa mtu ni mtu mwenyewe......Sasa kwa mantiki hiyo labda swali lako ulielekeze kwa kundi la imani fulani...
Halafu kwa mtazamo.wa
ko shetani ni nani..?[/
QUOTE]
Kwa mujibu wa maandiko mbalimbali ikiwemo biblia
Mada haiko kiimani wala haiusiani na usabato
Shetani ni yule malaika aliyemuasi Mungu na kuwa na uadui na Mungu shetani ana wafuasi wengi sana kama majini wachawi mapepo wabaya nk
 
Hoteli kubwa ni zipi wewe...? Zikoje? Zinapatikana wapi..?

Maana hoteli kubwa zinakuwa na hadhi ya Nyota tano....Hapa Arusha kuna Hoteli za Nyota Tano kama Tano hivi na vyote kuna vyumba vya kutosha vyenye namba 13..

Uhusiano wa hoteli na pesa upo wapi hapo..?

Arusha hakuna hotel yenye nyota tano
 
Wadau natumai mko salama

Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua kama hizi pesa tunazotumia kama zina mahusiano yoyote na mambo ya kishetani mana nimekua nikisikia kuwa alama zilizopo kwenye pesa zinawakilisha ushetani ila sijawahi kupata uthibitisho wowote

Kama kuna mwenye ujuzi na hili atujuze

alama kwenye noti ni za kishetani mf.A dager and a snake ni alama pure ya kishetani na ipo kwenye pharmacy,noti ya mia tano,magari,rozari,muhimbili
wakimaanisha nyoka ni mungu afya,mungu mtetezi na mungu mlinzi hii alama ipo toka acient times kule misri
 
alama kwenye noti ni za kishetani mf.A dager and a snake ni alama pure ya kishetani na ipo kwenye pharmacy,noti ya mia tano,magari,rozari,muhimbili
wakimaanisha nyoka ni mungu afya,mungu mtetezi na mungu mlinzi hii alama ipo toka acient times kule misri

Halafu unajiona mjuaaaji kweli..!!!

Kaangalie afya yako ya akili haraka sana...
 
Mi nadhani havina uhusiano.kwanza kila symbol ktk noti huwa inawakilisha k2 fulani.mfano ile noti ya mia 5 ile symbol kama ya nyoka 2liwah kuuliza kule B.0.T na 2kaambiwa haimanishi hvyo.hivyo hvyo ktk noti za USA zile symbol zina maana yake offcial kabisa.
 
alama kwenye noti ni za kishetani mf.A dager and a snake ni alama pure ya kishetani na ipo kwenye pharmacy,noti ya mia tano,magari,rozari,muhimbili
wakimaanisha nyoka ni mungu afya,mungu mtetezi na mungu mlinzi hii alama ipo toka acient times kule misri

ile alama ya mhimbili siyo alama ya nyoka ni ya alama ya aina ya mnyoo
 
Jaribu ku-google Illuminati utaona Sera na malengo yao na pia alama ya wazi kabisa ya kishetani ipo kwenye note ya $1 ya USA...utaona kuna pyramid yenye ngazi3 ambazo ni za utawala wao...na namna wanavotawala dunia...kumbuka number 13 ni alama ya Illuminati na Freemason na ndio maana kwenye hotel zote kubwa huwezi kukuta chumba number hiyo,

Haya maelezo hata mtoto anayajua.....
 
ile alama ya mhimbili siyo alama ya nyoka ni ya alama ya aina ya mnyoo

ile ni alama ya dager and a snake it is an illuminati symbol,hawawezi kusema ukweli,uwongo ni silaha yao kubwa
 
Mi nadhani havina uhusiano.kwanza kila symbol ktk noti huwa inawakilisha k2 fulani.mfano ile noti ya mia 5 ile symbol kama ya nyoka 2liwah kuuliza kule B.0.T na 2kaambiwa haimanishi hvyo.hivyo hvyo ktk noti za USA zile symbol zina maana yake offcial kabisa.

hiyo maana ambayo ni official ni ipi?george w bush aliulizwa alama ya fuvu na mifupa ikulu hakujibu,aliulizwa 232 chini ya alama hiyo ni ishara gani hakujibu after 3days mwandishi wa habari alifariki kwa a mysterious accident
 
Nakusikitikia maana unachodhani unakijua wewe hukijui...Huu ni msiba kwa wazazi wako..

pinga hoja stop personalities attack they prove how moron you are only thinkers mess with facts and ideas,i dont see any of your points bt goony phrases

sahau kuhusu wazazi wangu that is totally a crime.
 
Shetani ni kiumbe wa kufikirika tu, hayupo kwa uhalisi.

Kama yupo nithibitishie hivyo.
 
Ukiamini uwepo wa Mungu ni lazima uamini na uwepo wa shetani, ukishindwa kuamini moja kati ya hayo imani yako itakuwa na walakini..

Shetani na mungu wote hawathibitishiki.

Ni hadithi tu.
 
Back
Top Bottom