Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mzee ES,
Hilo swali la Mkandara halikuhitaji jibu refu.
JKN hakuwahi kuchaguliwa kuwa mbunge. Mara zote alikuwa akijipitisha mwenyewe, watu walikuwa wanalazimishwa kumchagua kwenye vyeo alivyokuwa anapata.
Kumbuka kujichagua au kutojichagua havikuwa na uhusiano na utendaji wake wa kazi.
FD
Translation "I cannot prove his existence, I don't know jack about what I am talking about".