Je kuna mahusiano yoyote kati ya alama zinazotumika kwenye pesa na shetani?

Je kuna mahusiano yoyote kati ya alama zinazotumika kwenye pesa na shetani?

unaamini uwepo wa hewa? Kiranga

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Hewa ipo, inapimika, inaelezeka, inawagika, inabebeka, inakwisha, inaonezeka, inamwendo.

Si kitu ambacho hakielezeki.

Haina logical inconsistency.

Mungu na shetani hawana hata kimoja kati ya vyote nilivyovitaja hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Hewa ipo, inapimika, inaelezeka, inawagika, inabebeka, inakwisha, inaonezeka, inamwendo.

Si kitu ambacho hakielezeki.

Haina logical inconsistency.

Mungu na shetani hawana hata kimoja kati ya vyote nilivyovitaja hapo juu.

aliyetengeneza hizo sifa hawezi julikana kwa hizo sifa maana yeye ndo ametengeneza vipimo na sifa
 
kwa sauti maana sauti ipo ila haionekani

Sauti imejuaje kwamba ni ya mungu?

Sauti gaionekani, bali unasikika.

Unataka kutuambia unesikia sauti ya mungu?

Unajuaje kwamba si mjani tu ulikuwa unakupelekapeleka?
 
Sauti imejuaje kwamba ni ya mungu?

Sauti gaionekani, bali unasikika.

Unataka kutuambia unesikia sauti ya mungu?

Unajuaje kwamba si mjani tu ulikuwa unakupelekapeleka?

1.imesema yenyewe
2.kwanini uhisi ni mjani na si kitu kingine?ushawahi tumia ukakupeleka
 
1.imesema yenyewe
2.kwanini uhisi ni mjani na si kitu kingine?ushawahi tumia ukakupeleka

1. Nikirekodi sauti isemayo Kiranga mungu na kukuchezea utakubali hivyo?
2. Mjani natumia kila siku, wa chai, Darjeeling. Wewe unatumia upi?
 
1. Nikirekodi sauti isemayo Kiranga mungu na kukuchezea utakubali hivyo?
2. Mjani natumia kila siku, wa chai, Darjeeling. Wewe unatumia upi?

where on earth is your recorded voice present in the middle of a jungle?

natumia fish heads na milk daily
 
Unazifahamuje ndoto za kichaa?

Ushawahi kuwa kichaa?

nauwezo wa kubadilisha mfumo hence nafahamu kichaa yupo vipi,bare in mind kichaa kipo kwa mitazamo ya waaminiayo kuna ukichaa ila kichaa anajua hamna kichaa
 
Huwa napata wakati mgumu sana....kumwelewa mtu ambaye anakana uwepo wa Mungu,ili hali:
  • Hajajiumba mwenyewe(bali kaumbwa).
  • Anaishi katika dunia ambayo ina kila kitu cha kusupport yeye aishi(hewa,ardhi,mazao,n.k vyote kavikuta tu,yaani aliandaliwa).
  • Ana siku chahe tu za kuishi hapa duniani na wala si milele(kutokua na uwezo wa kuzuia kifo) na kadhalika na kadhalika
NOTE:Hivi jamani ni kweli vyooote hivi vilivyo dunia ambavyo kwavyo maisha yetu sisi wanadamu yanasonga kwa wepesi kabisa,ni vilitokea tu kwa bahati mbaya?(WAPI UMEONA MTU ANAMWANADALIA VIZURI KABISA KUKU WAKE BANDA NA KUMPA MAHITAJI YOTE PASIPO MFUGAJI KUWA NA KUSIDI NAYE?
Wapendwa hebu tusijaribu KUJITOA FAHAMU KUWA HAKUNA MUNGI,alafu mwisho wa siku tukaumbuka(JIULIZE KWANINI UNAISHI,KWANINI UPO DUNIANI?.Tutafakari wapendwa!
 
Back
Top Bottom