Good msoka
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 198
- 23
mbona huko makanisani na misikitini mnazishupalia shingo?
Tena wana sisitiza mara 2mbili na ukitoa nyingi wanakuombea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona huko makanisani na misikitini mnazishupalia shingo?
Hata ukisoma ufunuo wa Yohana utapata mambo mengi yanayotokea sasa na yatakayotokea yameandikwa vizuri humo, mm napenda sn kusoma na hii imenisaidia kujua mambo mengi mapya....hata magonjwa mengi mfano Ukimwi na Ebola yote ni man made na lengo ni kufaidi kiuchumi kwa mataifa fulani pamoja na lengo lao kuu la kupunguza idadi ya watu duniani....Illuminati ni wabaya sana
Ukiamini uwepo wa Mungu ni lazima uamini na uwepo wa shetani, ukishindwa kuamini moja kati ya hayo imani yako itakuwa na walakini..
Sasa wewe umesimamia upande upi ?
au sigara kali ?
au unataka kuchosha watu ili uonekane?
kwa nini uamini uwepo wa shetani ushindwa kuamini uwepo wa mungu ??
Hata ukisoma ufunuo wa Yohana utapata mambo mengi yanayotokea sasa na yatakayotokea yameandikwa vizuri humo, mm napenda sn kusoma na hii imenisaidia kujua mambo mengi mapya....hata magonjwa mengi mfano Ukimwi na Ebola yote ni man made na lengo ni kufaidi kiuchumi kwa mataifa fulani pamoja na lengo lao kuu la kupunguza idadi ya watu duniani....Illuminati ni wabaya sana
Sawa sawa.....huwa nawashangaa watu wakristo kabisa hawaamini kama uchawi upo...seriously? Wakati hata biblia imeliongelea hilo?
Pesa haina ushetani wala umungu!
Umungu na ushetani uko kwenye akili za watu.
Kabla ya ku-conclude kwamba pesa ni ya shetani au la, jaribu kwanza kutafuta nini maana ya pesa na chanzo chake.
Wadau natumai mko salama
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua kama hizi pesa tunazotumia kama zina mahusiano yoyote na mambo ya kishetani mana nimekua nikisikia kuwa alama zilizopo kwenye pesa zinawakilisha ushetani ila sijawahi kupata uthibitisho wowote
Kama kuna mwenye ujuzi na hili atujuze
Jaribu ku-google Illuminati utaona Sera na malengo yao na pia alama ya wazi kabisa ya kishetani ipo kwenye note ya $1 ya USA...utaona kuna pyramid yenye ngazi3 ambazo ni za utawala wao...na namna wanavotawala dunia...kumbuka number 13 ni alama ya Illuminati na Freemason na ndio maana kwenye hotel zote kubwa huwezi kukuta chumba number hiyo,
"Pesa ni mali ya shetani daima"
Sawa sawa.....huwa nawashangaa watu wakristo kabisa hawaamini kama uchawi upo...seriously? Wakati hata biblia imeliongelea hilo?
Nani kakutoa akili yako..?
How is that?
Itafaa nini kujua nimesimamia wapi?
Watu washa tofautiana hapa,topic ishaanza kukosa mwelekeo/mlengo.
Nadhani unapaswa kuulizwa wewe hili swali ndugu!?