Mzee ES,
Hilo swali la Mkandara halikuhitaji jibu refu.
JKN hakuwahi kuchaguliwa kuwa mbunge. Mara zote alikuwa akijipitisha mwenyewe, watu walikuwa wanalazimishwa kumchagua kwenye vyeo alivyokuwa anapata.
Kumbuka kujichagua au kutojichagua havikuwa na uhusiano na utendaji wake wa kazi.
FD
We jipe moyo tu kwa umaskini wako wenzio wanazisaka pesa usiku na mchana!Oooh bora mimi sina hela...maana kwa muktadha huu mwenye hela nyingi si ajabu akawa anakaimu kiti cha ndugu Shetani akiwa kwenye shughuli nyingine za kikazi!
Mi nadhani havina uhusiano.kwanza kila symbol ktk noti huwa inawakilisha k2 fulani.mfano ile noti ya mia 5 ile symbol kama ya nyoka 2liwah kuuliza kule B.0.T na 2kaambiwa haimanishi hvyo.hivyo hvyo ktk noti za USA zile symbol zina maana yake offcial kabisa.
hiyo maana ambayo ni official ni ipi?george w bush aliulizwa alama ya fuvu na mifupa ikulu hakujibu,aliulizwa 232 chini ya alama hiyo ni ishara gani hakujibu after 3days mwandishi wa habari alifariki kwa a mysterious accident
Haya mambo yapo mkuu ila kwa ssi ordinary persons katuwez jua kabisa tunabak tu kusema ni conspiracies..Na mara nyingi ukiwahoji san kuhusu ivi vitu wanaku eliminate fasta..
Wadau natumai mko salama
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua kama hizi pesa tunazotumia kama zina mahusiano yoyote na mambo ya kishetani mana nimekua nikisikia kuwa alama zilizopo kwenye pesa zinawakilisha ushetani ila sijawahi kupata uthibitisho wowote
Kama kuna mwenye ujuzi na hili atujuze