KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Miracle money ni hela unayoipata kwa njia ya ajabu kabisa ambayo hukuitarajia.
Siku za hivi karibuni kuna wakuu wa dini wamejitokeza wakosema eti wana uwezo wa kukuombea ukapata miracle money.
Nijuavyo mimi, miracle money huombewi na mtu yeyote, ila unaomba wewe mwenyewe, na huipati hadi uwe na agano.
Miracle money inakuja sio kwa ajili ya kulia bata na kufanyia zinaa. Miracle money unapata ili kutimiza mission ya Mungu kama kusaidia yatima, wajane, wagonjwa na wahitaji mbalimbali.
Ukosha fanya kwa uaminifu hiyo mission kile kinachobaki ndio cha kwako.
Ukisikia mkuu wa dini anakwambia anakuombea upate miracle money, jiulizae maswali mengi.
Siku za hivi karibuni kuna wakuu wa dini wamejitokeza wakosema eti wana uwezo wa kukuombea ukapata miracle money.
Nijuavyo mimi, miracle money huombewi na mtu yeyote, ila unaomba wewe mwenyewe, na huipati hadi uwe na agano.
Miracle money inakuja sio kwa ajili ya kulia bata na kufanyia zinaa. Miracle money unapata ili kutimiza mission ya Mungu kama kusaidia yatima, wajane, wagonjwa na wahitaji mbalimbali.
Ukosha fanya kwa uaminifu hiyo mission kile kinachobaki ndio cha kwako.
Ukisikia mkuu wa dini anakwambia anakuombea upate miracle money, jiulizae maswali mengi.