mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna bendi moja iliitwa Mviko Sound ,ilikuwa ikimilikiwa na mmoja wa wanafamilia yetu
Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje kumi kuliko kumiliki bendi.
Wanawake kumi unaweza kuwatumia kama nguvu kazi au hata wakakuzalia watoto,sasa dume sima linaomba hela ya saloon kunipodoa masaa saba kazi yake kwenye bendi ni kutajataja tu majina ya mapedejezee wa mjini,mwisho wa mwezi anataka mshahara wake wakati kiingilio kwenye onesho hakizidi 5000,bendi ina wanamuziki zaidi ya 20.
Turudi kwenye mpira wetu,hakuna timu hata moja inayotengeneza faida kwa msimu,timu inasajili mchezaji kwa milioni 500, mshahara wake milioni 20 kwa mwezi,msimu mzima ana goli mbili,watamtumia mpaka msimu ambao atamaliza bila goli na kwenda timu ndogo bure baada ya msimu kuisha,no value for monet on that playet.
Gate collection ya maana ni Simba na Yanga,baada ya makato yote timu huambulia kama milioni 300 ambayo haitoshi hata kumsajili mchezaji mmoja wa maana
Mechi ya Namungo na Kagera Sugar msimu uliopita iliingiza laki saba,baada ya makato timu ikaambulia laki mbili,haitoshi hata mafuta ya gari iliyowaoeleka.
Tv rights,udhamini wa NBC na wadhamini wengine,malipo ya vilabu vinavyofanya vizuri kimataifa,,nk havikidhi hata nusu ya gharama, kuendesha timu ni gharama sana,cha ajabu kuna timu mikoani eti zinaporana wachezaji na makocha toka vimabu vikubwa vitatu vya Dar es Salaam, wanatoa wapi hela
Ukiondoa Dewji na Bakhresa wafadhili wakubwa hao wengine biashara zao sio kubwa kihivyo
Tusidanganyane mpira haulipi kihivyo
Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje kumi kuliko kumiliki bendi.
Wanawake kumi unaweza kuwatumia kama nguvu kazi au hata wakakuzalia watoto,sasa dume sima linaomba hela ya saloon kunipodoa masaa saba kazi yake kwenye bendi ni kutajataja tu majina ya mapedejezee wa mjini,mwisho wa mwezi anataka mshahara wake wakati kiingilio kwenye onesho hakizidi 5000,bendi ina wanamuziki zaidi ya 20.
Turudi kwenye mpira wetu,hakuna timu hata moja inayotengeneza faida kwa msimu,timu inasajili mchezaji kwa milioni 500, mshahara wake milioni 20 kwa mwezi,msimu mzima ana goli mbili,watamtumia mpaka msimu ambao atamaliza bila goli na kwenda timu ndogo bure baada ya msimu kuisha,no value for monet on that playet.
Gate collection ya maana ni Simba na Yanga,baada ya makato yote timu huambulia kama milioni 300 ambayo haitoshi hata kumsajili mchezaji mmoja wa maana
Mechi ya Namungo na Kagera Sugar msimu uliopita iliingiza laki saba,baada ya makato timu ikaambulia laki mbili,haitoshi hata mafuta ya gari iliyowaoeleka.
Tv rights,udhamini wa NBC na wadhamini wengine,malipo ya vilabu vinavyofanya vizuri kimataifa,,nk havikidhi hata nusu ya gharama, kuendesha timu ni gharama sana,cha ajabu kuna timu mikoani eti zinaporana wachezaji na makocha toka vimabu vikubwa vitatu vya Dar es Salaam, wanatoa wapi hela
Ukiondoa Dewji na Bakhresa wafadhili wakubwa hao wengine biashara zao sio kubwa kihivyo
Tusidanganyane mpira haulipi kihivyo