Jumlisha
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,239
- 2,765
Ni kweli na inaonekana ndo njia nyepesi zaidi kuliko ile ya makanisani ZimbabweWhatever we call it, ila kuna oesa chafu naingizwa vilabuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli na inaonekana ndo njia nyepesi zaidi kuliko ile ya makanisani ZimbabweWhatever we call it, ila kuna oesa chafu naingizwa vilabuni
Ngoja nikupe elimu ya kitaa.inamaama ni mm tu sijaelewa kuhusu money laundering maana nyie mnasema wanatakatisha pesa ambazo hazina maelezo zimepatikanaje au zimetoka chanzo haramu lakini mm nijuavyo ukitakatisha pesa basi lazima hio hela irudi tena kwako baada ya kuwa safi sasa kwa mifano iliyotolewa humu mara kanisa mil.150, msikiti mil.100, stars mil.700 hizi utasemaje za money laundering waliopewa wanazitumia kujengea na wachezaji wa stars wamegawana huo mpunga wala hazijarudi kwa aliezitoa ili afaidike nazo tena hio eti hizo pesa zinatakatishwa kivp hasa ikiwa hela hazirudi tena mikononi kwa mwenye nazo ..sasa hawa wanaopiga kelele ooh hio utakatishaji pesa hivi wanajua maana yake hasa au wanafata mkumbo tu...wanaojua watusaidie hii money laundering ikoje
Hata hivyo vilabu vya wanachama na Azam unaviondoa bure tu.Football clubs ni Money Laundry schemes.
Hapa Tanzania ukiondoa vilabu vya wanachama na Azam zingine zote ni mipango ya kutakatisha fedha.
Watu wanatakatisha pesa mchana kweupe kwa kupitia Ikulu na matangazo ya rais.Inasikitisha sana, nchi kwa hatuheshimu Sheria na uoga wa kufanya uhalifu haupo tena.
hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwakeNgoja nikupe elimu ya kitaa.
Iko hivi, watu wana pesa chafu, wanaiingiza kwenye timu ya mpira, pesa inatumika kusajili wachezaji na benchi la ufundi. Wanatengeneza rekodi fake ya mapato, kuanzia viingilio hadi udhamini. Mianya yote ya taarifa husika inazibwa. Pesa inazunguka inawarudia wahuni ikiwa saaafi.
Senti mbili zangu.
ni dunia nzimaMwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna bendi moja iliitwa Mviko Sound ,ilikuwa ikimilikiwa na mmoja wa wanafamilia yetu
Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje kumi kuliko kumiliki bendi.
Wanawake kumi unaweza kuwatumia kama nguvu kazi au hata wakakuzalia watoto,sasa dume sima linaomba hela ya saloon kunipodoa masaa saba kazi yake kwenye bendi ni kutajataja tu majina ya mapedejezee wa mjini,mwisho wa mwezi anataka mshahara wake wakati kiingilio kwenye onesho hakizidi 5000,bendi ina wanamuziki zaidi ya 20.
Turudi kwenye mpira wetu,hakuna timu hata moja inayotengeneza faida kwa msimu,timu inasajili mchezaji kwa milioni 500, mshahara wake milioni 20 kwa mwezi,msimu mzima ana goli mbili,watamtumia mpaka msimu ambao atamaliza bila goli na kwenda timu ndogo bure baada ya msimu kuisha,no value for monet on that playet.
Gate collection ya maana ni Simba na Yanga,baada ya makato yote timu huambulia kama milioni 300 ambayo haitoshi hata kumsajili mchezaji mmoja wa maana
Mechi ya Namungo na Kagera Sugar msimu uliopita iliingiza laki saba,baada ya makato timu ikaambulia laki mbili,haitoshi hata mafuta ya gari iliyowaoeleka.
Tv rights,udhamini wa NBC na wadhamini wengine,malipo ya vilabu vinavyofanya vizuri kimataifa,,nk havikidhi hata nusu ya gharama, kuendesha timu ni gharama sana,cha ajabu kuna timu mikoani eti zinaporana wachezaji na makocha toka vimabu vikubwa vitatu vya Dar es Salaam, wanatoa wapi hela
Ukiondoa Dewji na Bakhresa wafadhili wakubwa hao wengine biashara zao sio kubwa kihivyo
Tusidanganyane mpira haulipi kihivyo
Kama haujaelewa omba ufafanuliwe ila usikaze hilo fuvu. Nimeshakwambia kuna rekodi feki za mapato zinatengenezwa na hapo ndiyo pesa inapowarudia wahusika ikiwa safi. Kuwa mjanja kdg basi.hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwake
Nafikiri kumiliki timu ya mpira ni biashara kama zingine, hiyo pesa ya kuwalipa mishahara na usajili inarudi kwenye makusanyo ya viingilio , kuwauza wachezaji , pesa za wazamini pamoja na malipo kutokana na kuchukua vikombe mbalimbali pamoja na kushiri mashindano ya kimataifa (cafcl).hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwake
ok, ila mkuu unachukulia utakatishaji pesa kama kitu rahisi sana hata kama ukitengeneza rekodi feki za mapato je,unaongeza namba au unapunguza..hapo utaingia kwenye kesi ya ukwepaji kodi TRA na sidhani kama timu zetu zinaigiza mapato ya maana kiasi cha watakatishaji kurudisha pesa zao maana matumizi ya timu zetu ni makubwa kuliko mapato wanayoingiza ukija kutoa gharama za timu hamna hela ya maana inayobaki wengine wana hasi kabisa.! usisahau kuna kuna kitengo cha kuzuia fedha haramu za utakatishaji -FIU na ukileta mbinu za kitoto kwenye kutakatisha pesa unadakwa mapema so lazima njia iwe ndefu kidogo kuruka viunzi ila hizi njia fupi zilizotajwa humu tunadanganyana tuKama haujaelewa omba ufafanuliwe ila usikaze hilo fuvu. Nimeshakwambia kuna rekodi feki za mapato zinatengenezwa na hapo ndiyo pesa inapowarudia wahusika ikiwa safi. Kuwa mjanja kdg basi.
Ili kujustify mapato yanayoripotiwa, lazima na gharama nazo ziwe zimeshiba, ndio tunachokiona kwa baadhi ya hivi vilabu.
FFP ya UEFA imewabadilisha sana Ulaya.Hata Al Ahly ukiangalia mapato yao na matumizi hayaendani, na sio hao tu hata ulaya ipo hivyo
Wewe kweli kichwa kigumu. Naona umemiss sehemu niliyosema "mianya yote ya taarifa inazibwa", umeelewaje kauli hiyo? Unadhani anayefanya inshu hizi ni mtu hohehahe?ok, ila mkuu unachukulia utakatishaji pesa kama kitu rahisi sana hata kama ukitengeneza rekodi feki za mapato je,unaongeza namba au unapunguza..hapo utaingia kwenye kesi ya ukwepaji kodi TRA na sidhani kama timu zetu zinaigiza mapato ya maana kiasi cha watakatishaji kurudisha pesa zao maana matumizi ya timu zetu ni makubwa kuliko mapato wanayoingiza ukija kutoa gharama za timu hamna hela ya maana inayobaki wengine wana hasi kabisa.! usisahau kuna kuna kitengo cha kuzuia fedha haramu za utakatishaji -FIU na ukileta mbinu za kitoto kwenye kutakatisha pesa unadakwa mapema so lazima njia iwe ndefu kidogo kuruka viunzi ila hizi njia fupi zilizotajwa humu tunadanganyana tu
EngongaWe unadhani Hersi ni msafi yule?
fikiria tena
We ni punguani tu huna ulijualo. baki hivyo hivyo.Hesabu za kilimo cha matikiti hizi
Ile ni yanga B...ni kama mwanachama mwenye ushawishi mkubwa yanga a, kaamua kua na yanga b ..sababu, yawezekana kupambana na simba na vilabu vingine vnavyokuja kwa kasiImagine wanataka kumpa mkataba kocha Gamondi???
Singida BS Inanitia shaka sana...Hela inatoa wapi?
Duh!Ile ni yanga B...ni kama mwanachama mwenye ushawishi mkubwa yanga a, kaamua kua na yanga b ..sababu, yawezekana kupambana na simba na vilabu vingine vnavyokuja kwa kasi
Hili nakuunga mkono.Viongozi wengi wa vilabu vya soka Tanzania ni watu wa Usalama wa Taifa wenye ajenda kubwa sana zaidi ya michezo.
Na hawa huwa hawagusiki hata wakifanya money laundering.