DOKEZO Je,kuna money laundering kwenye timu zetu? Baadhi ya timu zina matumizi ya kufuru kuliko mapato

DOKEZO Je,kuna money laundering kwenye timu zetu? Baadhi ya timu zina matumizi ya kufuru kuliko mapato

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
inamaama ni mm tu sijaelewa kuhusu money laundering maana nyie mnasema wanatakatisha pesa ambazo hazina maelezo zimepatikanaje au zimetoka chanzo haramu lakini mm nijuavyo ukitakatisha pesa basi lazima hio hela irudi tena kwako baada ya kuwa safi sasa kwa mifano iliyotolewa humu mara kanisa mil.150, msikiti mil.100, stars mil.700 hizi utasemaje za money laundering waliopewa wanazitumia kujengea na wachezaji wa stars wamegawana huo mpunga wala hazijarudi kwa aliezitoa ili afaidike nazo tena hio eti hizo pesa zinatakatishwa kivp hasa ikiwa hela hazirudi tena mikononi kwa mwenye nazo ..sasa hawa wanaopiga kelele ooh hio utakatishaji pesa hivi wanajua maana yake hasa au wanafata mkumbo tu...wanaojua watusaidie hii money laundering ikoje
Ngoja nikupe elimu ya kitaa.

Iko hivi, watu wana pesa chafu, wanaiingiza kwenye timu ya mpira, pesa inatumika kusajili wachezaji na benchi la ufundi. Wanatengeneza rekodi fake ya mapato, kuanzia viingilio hadi udhamini. Mianya yote ya taarifa husika inazibwa. Pesa inazunguka inawarudia wahuni ikiwa saaafi.

Senti mbili zangu.
 
Ngoja nikupe elimu ya kitaa.

Iko hivi, watu wana pesa chafu, wanaiingiza kwenye timu ya mpira, pesa inatumika kusajili wachezaji na benchi la ufundi. Wanatengeneza rekodi fake ya mapato, kuanzia viingilio hadi udhamini. Mianya yote ya taarifa husika inazibwa. Pesa inazunguka inawarudia wahuni ikiwa saaafi.

Senti mbili zangu.
hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwake
 
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kuna bendi moja iliitwa Mviko Sound ,ilikuwa ikimilikiwa na mmoja wa wanafamilia yetu

Kufikia mwaka 2004 bendi ikafa,huyu ndugu yangu akasema ni bora kuwa na wanawaje kumi kuliko kumiliki bendi.

Wanawake kumi unaweza kuwatumia kama nguvu kazi au hata wakakuzalia watoto,sasa dume sima linaomba hela ya saloon kunipodoa masaa saba kazi yake kwenye bendi ni kutajataja tu majina ya mapedejezee wa mjini,mwisho wa mwezi anataka mshahara wake wakati kiingilio kwenye onesho hakizidi 5000,bendi ina wanamuziki zaidi ya 20.

Turudi kwenye mpira wetu,hakuna timu hata moja inayotengeneza faida kwa msimu,timu inasajili mchezaji kwa milioni 500, mshahara wake milioni 20 kwa mwezi,msimu mzima ana goli mbili,watamtumia mpaka msimu ambao atamaliza bila goli na kwenda timu ndogo bure baada ya msimu kuisha,no value for monet on that playet.

Gate collection ya maana ni Simba na Yanga,baada ya makato yote timu huambulia kama milioni 300 ambayo haitoshi hata kumsajili mchezaji mmoja wa maana

Mechi ya Namungo na Kagera Sugar msimu uliopita iliingiza laki saba,baada ya makato timu ikaambulia laki mbili,haitoshi hata mafuta ya gari iliyowaoeleka.

Tv rights,udhamini wa NBC na wadhamini wengine,malipo ya vilabu vinavyofanya vizuri kimataifa,,nk havikidhi hata nusu ya gharama, kuendesha timu ni gharama sana,cha ajabu kuna timu mikoani eti zinaporana wachezaji na makocha toka vimabu vikubwa vitatu vya Dar es Salaam, wanatoa wapi hela

Ukiondoa Dewji na Bakhresa wafadhili wakubwa hao wengine biashara zao sio kubwa kihivyo

Tusidanganyane mpira haulipi kihivyo
ni dunia nzima

soka kuna namna, we piga hesabu tu hata kwa team za ulaya utaona
 
hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwake
Kama haujaelewa omba ufafanuliwe ila usikaze hilo fuvu. Nimeshakwambia kuna rekodi feki za mapato zinatengenezwa na hapo ndiyo pesa inapowarudia wahusika ikiwa safi. Kuwa mjanja kdg basi.

Ili kujustify mapato yanayoripotiwa, lazima na gharama nazo ziwe zimeshiba, ndio tunachokiona kwa baadhi ya hivi vilabu.
 
hata hujaeleweka mfano ww unazo bilion moja ukaiingiza kwenye timu ya mpira zikasajili na kulipa mishajara wachezaji maana yake bilioni imeishia mifukoni mwa wengine kihalali...sasa ishu ni kwako ww uliyetoa hiyo bilion kwa lengo utakatishe pesa iwe safi kisha uje kuitumia kwenye mzunguko halali lakini ulikozifanyia manuva hazikurudi zimetumika..pia umesema pesa hiyo inazunguka inawarudia wahuni kivp wakati ishatumiwa kwa kusajili na kulipa mishahara ya wachezaji na makocha ina maana hao waliolipwa wanamrudishia mtakatishaji pesa yake.! mm naona hii money laundering wengi wetu hatujui undani wake ila tunafata mkumbo tu kishabiki hatuna maelezo yaliyonyooka eti mtu atakatishe pesa alafu isirudi kwake
Nafikiri kumiliki timu ya mpira ni biashara kama zingine, hiyo pesa ya kuwalipa mishahara na usajili inarudi kwenye makusanyo ya viingilio , kuwauza wachezaji , pesa za wazamini pamoja na malipo kutokana na kuchukua vikombe mbalimbali pamoja na kushiri mashindano ya kimataifa (cafcl).
Pesa inayopatikana huko hua inarudi Kwa mabosi.
 
Kama haujaelewa omba ufafanuliwe ila usikaze hilo fuvu. Nimeshakwambia kuna rekodi feki za mapato zinatengenezwa na hapo ndiyo pesa inapowarudia wahusika ikiwa safi. Kuwa mjanja kdg basi.

Ili kujustify mapato yanayoripotiwa, lazima na gharama nazo ziwe zimeshiba, ndio tunachokiona kwa baadhi ya hivi vilabu.
ok, ila mkuu unachukulia utakatishaji pesa kama kitu rahisi sana hata kama ukitengeneza rekodi feki za mapato je,unaongeza namba au unapunguza..hapo utaingia kwenye kesi ya ukwepaji kodi TRA na sidhani kama timu zetu zinaigiza mapato ya maana kiasi cha watakatishaji kurudisha pesa zao maana matumizi ya timu zetu ni makubwa kuliko mapato wanayoingiza ukija kutoa gharama za timu hamna hela ya maana inayobaki wengine wana hasi kabisa.! usisahau kuna kuna kitengo cha kuzuia fedha haramu za utakatishaji -FIU na ukileta mbinu za kitoto kwenye kutakatisha pesa unadakwa mapema so lazima njia iwe ndefu kidogo kuruka viunzi ila hizi njia fupi zilizotajwa humu tunadanganyana tu
 
ok, ila mkuu unachukulia utakatishaji pesa kama kitu rahisi sana hata kama ukitengeneza rekodi feki za mapato je,unaongeza namba au unapunguza..hapo utaingia kwenye kesi ya ukwepaji kodi TRA na sidhani kama timu zetu zinaigiza mapato ya maana kiasi cha watakatishaji kurudisha pesa zao maana matumizi ya timu zetu ni makubwa kuliko mapato wanayoingiza ukija kutoa gharama za timu hamna hela ya maana inayobaki wengine wana hasi kabisa.! usisahau kuna kuna kitengo cha kuzuia fedha haramu za utakatishaji -FIU na ukileta mbinu za kitoto kwenye kutakatisha pesa unadakwa mapema so lazima njia iwe ndefu kidogo kuruka viunzi ila hizi njia fupi zilizotajwa humu tunadanganyana tu
Wewe kweli kichwa kigumu. Naona umemiss sehemu niliyosema "mianya yote ya taarifa inazibwa", umeelewaje kauli hiyo? Unadhani anayefanya inshu hizi ni mtu hohehahe?
 
Imagine wanataka kumpa mkataba kocha Gamondi???
Ile ni yanga B...ni kama mwanachama mwenye ushawishi mkubwa yanga a, kaamua kua na yanga b ..sababu, yawezekana kupambana na simba na vilabu vingine vnavyokuja kwa kasi
 
Kwa marungu haya ya Trump zitaanza kufa mda si mrefu
Ukiona miradi iliyoaanza imesimama ghafla ujue ni Trump effects
 
Back
Top Bottom