DOKEZO Je,kuna money laundering kwenye timu zetu? Baadhi ya timu zina matumizi ya kufuru kuliko mapato

DOKEZO Je,kuna money laundering kwenye timu zetu? Baadhi ya timu zina matumizi ya kufuru kuliko mapato

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakuna Biashara nzuri kama mpira kwa sasa,, hao Singida Big Star msimu huu wamemuuza mchezaji wao Benjamin Tanimu kwenda Ulaya kwa zaidi ya billion 2,, hakuna cha utakatishaji pesa wala nini ni hesabu tu na ku-take risk ya kile unachowekeza,, mchawi mtaji,,
Huwezi kuelewa hata hiyo biashara yaweza kuwa mojawapo.
 
Back
Top Bottom