Michezo Ina hela sana hasa hizi team zikienda kimataifa sema ndio bado hatujaangalia hili jambo kwa jicho la pekee ila michezo imeitajirisha Uingereza na Spain kwa mda mrefu sanaKuna timu kubwa mwaka jana,Rais waje akisema kwenye mkutano mkuu kuwa walikuwa na nakishi ya milioni nyingi sana
Football clubs ni Money Laundry schemes.Tanzania inawezekana kuna money laundering mpaka Ikulu.
Wewe unafikiri zile milioni mia saba kwa timu, mia moja hamsini kwa kanisa hili, mia moja hamsini kwa kanisa lile, mia moja kwa msikiti, anazotoa rais bila kufanyiwa auditing zote ni za walipa kodi?
Wakati huo huo mnasikia watoa rushwa wakubwa wa dunia kina Adani na DP World wanakutana na rais na kupewa deals Tanzania?
Hapo hata kama hujui kusoma picha huoni?
Inasikitisha sana, nchi kwa hatuheshimu Sheria na uoga wa kufanya uhalifu haupo tena.Tanzania inawezekana kuna money laundering mpaka Ikulu.
Wewe unafikiri zile milioni mia saba kwa timu, mia moja hamsini kwa kanisa hili, mia moja hamsini kwa kanisa lile, mia moja kwa msikiti, anazotoa rais bila kufanyiwa auditing zote ni za walipa kodi?
Wakati huo huo mnasikia watoa rushwa wakubwa wa dunia kina Adani na DP World wanakutana na rais na kupewa deals Tanzania?
Hapo hata kama hujui kusoma picha huoni?
Wanadanganya,Azam,Simba na Yanga hawajawahi kuuza mchezaji hata bilioni moja kwa miaka ya karibuni,sembuse SingidaHakuna Biashara nzuri kama mpira kwa sasa,, hao Singida Big Star msimu huu wamemuuza mchezaji wao Benjamin Tanimu kwenda Ulaya kwa zaidi ya billion 2,, hakuna cha utakatishaji pesa wala nini ni hesabu tu na ku-take risk ya kile unachowekeza,, mchawi mtaji,,
Ni kweli ila Simba na Yanga wanajitahidi ila hicho kiasi wanachopata kimataifa ni usajili wa wachezaji wawili au watatu tu wa kimataifaMichezo Ina hela sana hasa hizi team zikienda kimataifa sema ndio bado hatujaangalia hili jambo kwa jicho la pekee ila michezo imeitajirisha Uingereza na Spain kwa mda mrefu sana
Yaani unaona biashara za GSM za kitoto eeeeh?Ukiondoa Dewji na Bakhresa wafadhili wakubwa hao wengine biashara zao sio kubwa kihivyo
Njia za kurudisha hizo pesa kwao haziwezi kuwekwa wazi,si rahisi kuzijua,oesa ya halali inauma kuitapanya nkuuinamaama ni mm tu sijaelewa kuhusu money laundering maana nyie mnasema wanatakatisha pesa ambazo hazina maelezo zimepatikanaje au zimetoka chanzo haramu lakini mm nijuavyo ukitakatisha pesa basi lazima hio hela irudi tena kwako baada ya kuwa safi sasa kwa mifano iliyotolewa humu mara kanisa mil.150, msikiti mil.100, stars mil.700 hizi utasemaje za money laundering waliopewa wanazitumia kujengea na wachezaji wa stars wamegawana huo mpunga wala hazijarudi kwa aliezitoa ili afaidike nazo tena hio eti hizo pesa zinatakatishwa kivp hasa ikiwa hela hazirudi tena mikononi kwa mwenye nazo ..sasa hawa wanaopiga kelele ooh hio utakatishaji pesa hivi wanajua maana yake hasa au wanafata mkumbo tu...wanaojua watusaidie hii money laundering ikoje
Mviko Sound ya Tabata. Nakumbuka 2000-2001mviko sound alikuwepo Waziri Sonyo na Jado FFU. umenikumbusha mbalii