Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Ukiona mwanaume anakwambia hawez chepuka ata itokee nn kwa kigezo kua anajiheshimu hyo ni ana matatizo ambayo ataki yajulikane popote zaidi ya yeye na mke wake.

Kiukweli sisemi kama kujizuia hatuwezi ila uwezi niambia upo kwenye ndoa miaka 5 na hujawai kuruka ukuta labda uwe umeolewa au umetengenezwa.
Hiyo ni imani kaka. Hujafanya kuchunguza uthibitishe kama kweli wasio chepuka wanamatatizo wote au la. Ila nafikiri wapo wasio na matatizo ila wameamua tamaa zao zote wazimalize kwa mwanamke mmoja! Ni bora kuwa mbunifu kilasiku kweny tendo ili kukidhi haja yako na kuenjoy mwanamke wako kuliko kumtaka wa nnje.. Nnje wapo wengi hutomaliza haja hiyo.
 
Kutochepuka ni mpaka uamue aisee na ujifunge mkanda kweli kweli kwakua opportunities zinatokea sana inalulazimu tu kusuuza rungu kama nature inavyotaka

Mimi binafsi bado sijafikia kuamua kujitesa. Ila kama wacheza mpira wanavyosemaga wanatundika daluga/kustaafu na mimi siku moja ntatundika penis. Kwa sasa Mungu nisamehe[emoji23][emoji23]
[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mwanaume anakwambia hawez chepuka ata itokee nn kwa kigezo kua anajiheshimu hyo ni ana matatizo ambayo ataki yajulikane popote zaidi ya yeye na mke wake.

Kiukweli sisemi kama kujizuia hatuwezi ila uwezi niambia upo kwenye ndoa miaka 5 na hujawai kuruka ukuta labda uwe umeolewa au umetengenezwa.
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe?

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mwanaume anakwambia hawez chepuka ata itokee nn kwa kigezo kua anajiheshimu hyo ni ana matatizo ambayo ataki yajulikane popote zaidi ya yeye na mke wake.

Kiukweli sisemi kama kujizuia hatuwezi ila uwezi niambia upo kwenye ndoa miaka 5 na hujawai kuruka ukuta labda uwe umeolewa au umetengenezwa.
Hakuna ukweli hapa,wanaume wasiochepuka wapo,sema wewe ndio huwezi
 
Ungeweka vizuri mwanaume kuridhika na mwanamke mmoja.

Sijawahi muona kwa watu wote ninaowafahamu kuanzia baba zangu, kaka zangu , rafiki zangu n.k.

Huenda wakawepo wachache, ila amini nakwambia ukiona hivyo jua kuna shida mahala.
 
Kuna wanaume wakichanganya k tu basi ataandamwa na mikosi lukuki ikiwemo kufilisika, kupoteza deals ama kazi, biashara kukwama nk, hivyo mtu wa hivi akishajijua nyota yake inachafuliwa kutokana na umalaya anajituliza tulii, ila mpaka ukambahatishe sasa🤔🤔,, mwanaume wangu yupo kundi hili
Hiyo ni imani kaka. Hujafanya kuchunguza uthibitishe kama kweli wasio chepuka wanamatatizo wote au la. Ila nafikiri wapo wasio na matatizo ila wameamua tamaa zao zote wazimalize kwa mwanamke mmoja! Ni bora kuwa mbunifu kilasiku kweny tendo ili kukidhi haja yako na kuenjoy mwanamke wako kuliko kumtaka wa nnje.. Nnje wapo wengi hutomaliza haja hiyo.
 
Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.

Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Labda Kama hana hela,mgonjwa au hana nguvu za kiume
 
Habari yako ndugu msomaji.

Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake.

Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi.

Ukweli ni kwamba, japokuwa wapo wanaume waliojengewa au kujijengea tabia hii, kinachomfanya mwanaume achepuka ni kukosa CONTROL dhidi ya asili yake ambayo ni HUNTERS/WAWINDAJI. Hii ni asili yetu kama wanaume, kuwawinda wanawake kwa kila namna ili kuwapata kimapenzi.

Baada ya kuelewa chanzo, sasa utanielewa nikisema SWALI halitakiwi kuwa NI KWELI HAKUNA MWANAUME ASIE CHEPUKA? bali linatakiwa liwe JE, INAWEZEKANA MWANAUME ASICHEPUKE?. Ukweli ni kwamba WAPO WANAUME WASIO CHEPUKA na INAWEZEKANA KABISA.

Yafuatayo ni mambo matatu yanayoweza mfanya mwanaume aitawale asili yake na hatimae kutochepuka kabisa:

KUWA NA MALENGO:

Hapa simaanishi zile ndoto zisizo na kichwa wala mkia, mfano unasema malengo yako ni kuwa na pesa nyingi! Sasa Ukiwa na hela ndio utafahamika kama nani? Ninaposema malengo namaanisha lile kusudi la wewe kuwepo duniani. Usiniambie ulizaliwa ili tu uwe na pesa.

Hakuna kiumbe hatari zaidi duniani kama mwanaume asie na malengo. Huyu ni sawa na risasi iliyokosa muelekeo.

Ukiwa na malengo, utakuwa na muelekeo katika maisha na hutakuwa na muda wa kupoteza kuwinda winda wanawake.

2. MARAFIKI:

Huji kukuta swala anatembea msafara mmoja na Simba, labda ajichanganye na nyumbu. Wazungu wanasema,

"Show me your friends and I will tell you who you are."

Ukiwa na mke au mpenzi basi kaa na rafiki wenye wake/wapenzi pia. Ukikaa na nyumbu au wanaokula majani wakati wewe unakula nyama mwisho wa siku utajikuta unakuwa kama wao. Mwanaume mwenye malengo hakai vijiweni kupiga soga hata sikumoja. Vijiwe wanakaaga swala na nyumbu sio masimba dume embu jiheshimu. Asilimia kubwa vijiwe vinamfanya mwanaume atamani kufanana au kuwazidi wenzake ambao wanatembea na wanawake wanne kwa wiki! Maranyingi hizi ndio story za vijiweni, story zinazohamasisha kuwatumia wanawake kimapenzi; ukikaa nao utaishia kuingia kwenye hii ligi tu!

3. TAFUTA ROLE MODEL/MENTOR:

Hili ndio kosa wanalolifanya wanaume wengi sana. Hakuna kitu muhimu kama kuwa na mtu unaejifunza toka kwake na anaeweza kukushauri. Wanaume wengi hawajui kuchagua mentors/role models hivyo unakuta mtu anauwezo wa kibiashara lakini role model wake ni CHRIS BROWN! wapi na wapi???

Tafuta role model anaeweza kufanya lile unalofanya wewe. Na awe kafanikiwa katika hilo. Sio lazima awe perfect lakini katika yale unayovutiwa kuyafanya awe ameyamudu.

Namna ya kumchagua role model:

Usiangalie umri wakeHakikisha haishi maisha ya kuigizaAwe na uwezo wa kukusaidia katika unalojifunza toka kwakeAwe na mafanikio katika unalojifunza toka kwakeAwe na sifa ya uongoziSio lazima awe ndugu au mtu wa karibu. Hata akiwa taifa tofauti ni sawa.View attachment 1880033
NDIYO. ASIYE NA HELA
 
Kuna wanaume wakichanganya k tu basi ataandamwa na mikosi lukuki ikiwemo kufilisika, kupoteza deals ama kazi, biashara kukwama nk, hivyo mtu wa hivi akishajijua nyota yake inachafuliwa kutokana na umalaya anajituliza tulii, ila mpaka ukambahatishe sasa🤔🤔,, mwanaume wangu yupo kundi hili

Shukulu Mungu upate mume alietulia, mpole, hana malafiki nje, mtu wa ibada utayafulahia sana maisha mamy.
 
Mimi nimeacha kuchepuka lakini kitu nimeshindwa kuacha ni nyeto aisee.

Nitakaza weeee labda miezi miwili ila sasa nikiwa naoga najikuta tu najisemea ngoja leo nipige kwa mara mwisho lakini waaapi.

Ila nyeto tamu jamani tuacheni masikhara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.

Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
kuchepuka ni kupoteza muda? How?
 
Back
Top Bottom