Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Ndivyo unavyoamini mkuu?

Wengi hamuelewi majukumu ya mwanaume hasa anapoamua kuwa Baba wa familia,nimekuwa na rafiki zangu ambao wanaendekeza huu umwamba ila kila wakati jasho lao hulitumia kwa maumivu makali sana mf:yupo mmoja siku hiyo anaogopa kupokea simu ananiambia niipokee mimi nidanganye amesahau simu kisa anayepiga ni ma.laya wake aliyemuahidi kumlipia kodi miezi 6 Tabata (yeye mwenyewe anaishi chumba na sebule Tegeta na
Kaka , nakuunga mkono sana kaka...
Wewe ni mwanaume kweli...
 
Hii mada iliibuka sehemu ya kazi jana, 99% ya wanaume waliokuwwpo pale walikiri wamechepuka.

Huwa nasema, at some point in life, mwanaume lazima atapiga puchu, mwanaume ataanguka katika uzinzi.

Cheating is a choice though, unaamua sasa nacheat, Ila kuna internal factors katika hili.

Huwa nawaambia wanawake, usimnyime mume wako.
 
Habari yako ndugu msomaji.

Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake.

Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi.
sawa.View attachment 1880033
Baba yako asinge chepuka usinge zaliwa.

Wasio chepuka ni WALOKOLE PEKE YAO.
 
Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.

Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Hujawahi kuwa mwanaume ww kaaa kwa kutulia hujui raha ya kuzichakata papuchi tofauti tofauti......
 
Kuna wanaume wakichanganya k tu basi ataandamwa na mikosi lukuki ikiwemo kufilisika, kupoteza deals ama kazi, biashara kukwama nk, hivyo mtu wa hivi akishajijua nyota yake inachafuliwa kutokana na umalaya anajituliza tulii, ila mpaka ukambahatishe sasa🤔🤔,, mwanaume wangu yupo kundi hili
Khaa kwa hiyo mumeo mambo yakimuendea alijojo unajua kachapa nje!!?
 
Ndivyo unavyoamini mkuu?

Wengi hamuelewi majukumu ya mwanaume hasa anapoamua kuwa Baba wa familia,nimekuwa na rafiki zangu ambao wanaendekeza huu umwamba ila kila wakati jasho lao hulitumia kwa maumivu makali sana mf:yupo mmoja siku hiyo anaogopa kupokea simu ananiambia niipokee mimi nidanganye amesahau simu kisa anayepiga ni ma.laya wake aliyemuahidi kumlipia kodi miezi 6 Tabata (yeye mwenyewe anaishi chumba na sebule Tegeta na familia) acha mizinga ya saloon etc na maendeleo hana.

Ukitoa kuogopa dhambi ya uzinzi kutulia na mwanamke mmoja kuna manufaa sana (wachache wamefanikiwa kuyajua),kwanza unakuwa huru mimi simu zangu muda wowote mahali popote mke wangu anashika passwords zote anazijua wakati mwengine nikiwa mbali hutoa yeye maelezo,kufanya sex iliyo safi na kwa uhuru,salama na ya furaha,wakati fulani bado mgeni kwenye ndoa mke wangu alipojifungua first born wetu nikaiga kutoka nje nilikutana na ex ujinga ujinga nikajaa,hofu hofu nimevaa mipira nikiwaza gharama nilizotumia mpaka kukamilisha hiyo mission nikaona ni ujinga,ukishakuwa na watoto wawili+ (though ninao wawili bado nitaongeza Mungu akipenda najiona niko aged 50) najua ndoto zao nimezibeba mimi kutumia pesa 100K pasi na manufaa siioni faida yake zaidi nitawaza niifanyie nini kwa kesho yao au bora waitumie wao kuvaa kula ada etc.

Kuwa muaminifu kwenye ndoa hukupa amani ya maisha,muda wote nyumba inatamalaki furaha mke anacheka watoto wanafurahi hakuna hisia mbaya dhidi yako watoto wanaijua ratiba ya Baba yao kurudi nyumbani ni furaha sana unaingia home watoto wanakufurahia na wanakupa taarifa siku yao ilivyoisha najua hata siku sipo wataukumbuka uwepo wangu (ukiwa mzinzi haya yote utayafanya muda gani wakati ukirudi wamelala?)
Mwenyezi Mungu akuhifadhi
 
Mada yako nimeipenda na nipo hapa 100% nikisema wapo wanaume waaminifu. Jaman usiusemee moyo pamoja na mapungufu ya kibinadamu namshukuru Mungu sana mume wangu kwa hili kasalimika na nazidi kumwomba Mungu azidi kumuhifadhi.
Akiwaza majukumu yake, familia yake bado haoni sababu ya kuchepuka.
Wanaume waaminifu wapo na namshukuru Mungu mume nilienae ni miongoni mwa waaminifu
 
Mada yako nimeipenda na nipo hapa 100% nikisema wapo wanaume waaminifu. Jaman usiusemee moyo pamoja na mapungufu ya kibinadamu namshukuru Mungu sana mume wangu kwa hili kasalimika na nazidi kumwomba Mungu azidi kumuhifadhi.
Akiwaza majukumu yake, familia yake bado haoni sababu ya kuchepuka.
Wanaume waaminifu wapo na namshukuru Mungu mume nilienae ni miongoni mwa waaminifu
Wapo bwana ingawa mimi simo.

Nimemshuhudia jamaa mmoja hivi. Wallaahi mpaka namuonea wivu kwa alivyo natamani kuwa kama yeye.

Mungu amuongoze yule kijana. Ni ustadh kisha ni mtu wa karate..

Hajawahi kuzini tangu ameoa mpaka sasa miaka 15 imepita
 
Wapo bwana ingawa mimi simo.

Nimemshuhudia jamaa mmoja hivi. Wallaahi mpaka namuonea wivu kwa alivyo natamani kuwa kama yeye.

Mungu amuongoze yule kijana. Ni ustadh kisha ni mtu wa karate..

Hajawahi kuzini tangu ameoa mpaka sasa miaka 15 imepita
Kwa nia yako tu na ukamwomba Allah kwa yakini hili ni jepesi.
 
Ke wenyewe tunafika bei hata km umeoa....lazima tule nae sambamba huyo kimdada.

hasa km kim- dada chenyewe kinajishebedua shebedua....
Kwani nini bana....

lazima tujue yaliyoko ndani......tuipigize hiyo hata kuhonga nitahonga tu kwani sh.ngapi?????

Akilemaa tuu!! Kosa!!! ana nyang'anywa kabisaaaa harudi!! Tuone!!
 
Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.

Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Niombee Noelia maana napenda Wanawake Mimi Acha kabisa.Yaani mashine ipo hai hai muda wote.Naweza kumshughulikia wife usiku mzima,lkn kesho yake akikatiza mdada mrembo mashine inadinda kisawasawa, natamani kuacha kabisa tabia hii lkn nashindwa.Maombi yako muhimu sana.
 
Mimi nimeacha kuchepuka lakini kitu nimeshindwa kuacha ni nyeto aisee.

Nitakaza weeee labda miezi miwili ila sasa nikiwa naoga najikuta tu najisemea ngoja leo nipige kwa mara mwisho lakini waaapi.

Ila nyeto tamu jamani tuacheni masikhara.
Nyeto nilifanikiwa kuiacha ila Mbunye kuiacha ndo muziki.
 
Ke wenyewe tunafika bei hata km umeoa....lazima tule nae sambamba huyo kimdada.

hasa km kim- dada chenyewe kinajishebedua shebedua....
Kwani nini bana....

lazima tujue yaliyoko ndani......tuipigize hiyo hata kuhonga nitahonga tu kwani sh.ngapi?????

Akilemaa tuu!! Kosa!!! ana nyang'anywa kabisaaaa harudi!! Tuone!!
[emoji23][emoji23]hatari tupu
 
Niombee Noelia maana napenda Wanawake Mimi Acha kabisa.Yaani mashine ipo hai hai muda wote.Naweza kumshughulikia wife usiku mzima,lkn kesho yake akikatiza mdada mrembo mashine inadinda kisawasawa, natamani kuacha kabisa tabia hii lkn nashindwa.Maombi yako muhimu sana.
Achana na ile kitu mkuu.
Yaani kuna hisia fulani zinazochanganyika na maswali kichwani unapomuona demu mpya.
Ukimuona bonge unajiuliza dah huyu sijui mbunye yake iko tofauti,ukimuona kimbaumbau unajiuliza huyu anaonekana mtundu sana,ukimuona mrefu kama twiga unasema dah huyu sijui mbunye yake itakuwa imekaaje,ukimuona mbilikimo kama tausi au dorah unasema dah huyu special case atakuwa mtamu kwa vyovyote.
Ukishajiuliza hayo maswali moyo unalipuka unamlia mingo kuhakikisha unamnasa
 
Back
Top Bottom