Kaka , nakuunga mkono sana kaka...Ndivyo unavyoamini mkuu?
Wengi hamuelewi majukumu ya mwanaume hasa anapoamua kuwa Baba wa familia,nimekuwa na rafiki zangu ambao wanaendekeza huu umwamba ila kila wakati jasho lao hulitumia kwa maumivu makali sana mf:yupo mmoja siku hiyo anaogopa kupokea simu ananiambia niipokee mimi nidanganye amesahau simu kisa anayepiga ni ma.laya wake aliyemuahidi kumlipia kodi miezi 6 Tabata (yeye mwenyewe anaishi chumba na sebule Tegeta na
Baba yako asinge chepuka usinge zaliwa.Habari yako ndugu msomaji.
Hili ni swali la kizazi cha leo, watu wengi wamelijibu kutokana na hisia zao na sababu mbali mbali zisizo na ukweli. Leo tulijibu katika uhalisia wake.
Kabla hujajibu lazima ujue hili, nini kinapelekea wanaume kuwasaliti wapenzi wao? Tuanze na mzizi.
sawa.View attachment 1880033
Hata kama nimepumbazwa nadhani haikuhusu
Baba yako asinge chepuka usinge zaliwa.
Wasio chepuka ni WALOKOLE PEKE YAO.
Hujawahi kuwa mwanaume ww kaaa kwa kutulia hujui raha ya kuzichakata papuchi tofauti tofauti......Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.
Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Khaa kwa hiyo mumeo mambo yakimuendea alijojo unajua kachapa nje!!?Kuna wanaume wakichanganya k tu basi ataandamwa na mikosi lukuki ikiwemo kufilisika, kupoteza deals ama kazi, biashara kukwama nk, hivyo mtu wa hivi akishajijua nyota yake inachafuliwa kutokana na umalaya anajituliza tulii, ila mpaka ukambahatishe sasa🤔🤔,, mwanaume wangu yupo kundi hili
Mumeo atakuwa ni big time player amejua kutwist akili yako hongera zake wapo wachache maplayer kama hao wenye vikombe......Hata kama nimepumbazwa nadhani haikuhusu
Unaleta michezo ww....Baba yako asinge chepuka usinge zaliwa.
Wasio chepuka ni WALOKOLE PEKE YAO.
Mwenyezi Mungu akuhifadhiNdivyo unavyoamini mkuu?
Wengi hamuelewi majukumu ya mwanaume hasa anapoamua kuwa Baba wa familia,nimekuwa na rafiki zangu ambao wanaendekeza huu umwamba ila kila wakati jasho lao hulitumia kwa maumivu makali sana mf:yupo mmoja siku hiyo anaogopa kupokea simu ananiambia niipokee mimi nidanganye amesahau simu kisa anayepiga ni ma.laya wake aliyemuahidi kumlipia kodi miezi 6 Tabata (yeye mwenyewe anaishi chumba na sebule Tegeta na familia) acha mizinga ya saloon etc na maendeleo hana.
Ukitoa kuogopa dhambi ya uzinzi kutulia na mwanamke mmoja kuna manufaa sana (wachache wamefanikiwa kuyajua),kwanza unakuwa huru mimi simu zangu muda wowote mahali popote mke wangu anashika passwords zote anazijua wakati mwengine nikiwa mbali hutoa yeye maelezo,kufanya sex iliyo safi na kwa uhuru,salama na ya furaha,wakati fulani bado mgeni kwenye ndoa mke wangu alipojifungua first born wetu nikaiga kutoka nje nilikutana na ex ujinga ujinga nikajaa,hofu hofu nimevaa mipira nikiwaza gharama nilizotumia mpaka kukamilisha hiyo mission nikaona ni ujinga,ukishakuwa na watoto wawili+ (though ninao wawili bado nitaongeza Mungu akipenda najiona niko aged 50) najua ndoto zao nimezibeba mimi kutumia pesa 100K pasi na manufaa siioni faida yake zaidi nitawaza niifanyie nini kwa kesho yao au bora waitumie wao kuvaa kula ada etc.
Kuwa muaminifu kwenye ndoa hukupa amani ya maisha,muda wote nyumba inatamalaki furaha mke anacheka watoto wanafurahi hakuna hisia mbaya dhidi yako watoto wanaijua ratiba ya Baba yao kurudi nyumbani ni furaha sana unaingia home watoto wanakufurahia na wanakupa taarifa siku yao ilivyoisha najua hata siku sipo wataukumbuka uwepo wangu (ukiwa mzinzi haya yote utayafanya muda gani wakati ukirudi wamelala?)
Wapo bwana ingawa mimi simo.Mada yako nimeipenda na nipo hapa 100% nikisema wapo wanaume waaminifu. Jaman usiusemee moyo pamoja na mapungufu ya kibinadamu namshukuru Mungu sana mume wangu kwa hili kasalimika na nazidi kumwomba Mungu azidi kumuhifadhi.
Akiwaza majukumu yake, familia yake bado haoni sababu ya kuchepuka.
Wanaume waaminifu wapo na namshukuru Mungu mume nilienae ni miongoni mwa waaminifu
Kwa nia yako tu na ukamwomba Allah kwa yakini hili ni jepesi.Wapo bwana ingawa mimi simo.
Nimemshuhudia jamaa mmoja hivi. Wallaahi mpaka namuonea wivu kwa alivyo natamani kuwa kama yeye.
Mungu amuongoze yule kijana. Ni ustadh kisha ni mtu wa karate..
Hajawahi kuzini tangu ameoa mpaka sasa miaka 15 imepita
Niombee Noelia maana napenda Wanawake Mimi Acha kabisa.Yaani mashine ipo hai hai muda wote.Naweza kumshughulikia wife usiku mzima,lkn kesho yake akikatiza mdada mrembo mashine inadinda kisawasawa, natamani kuacha kabisa tabia hii lkn nashindwa.Maombi yako muhimu sana.Wapo wanaume wasiochepuka ila wengi ni wenye umri kuanzia miaka 40 na kupanda hao ndo wanatosha kwenye hii mada yako, ambapo ni kwamba chini ya umri huo anakuwa amefanya uwindaji wa aina zote halali na haramu akiamua kutulia na mwanamke mmoja wengi wao hutulia kabisa, ila ndo sio wote wengine huendeleza kujitutumua mpaka uzeeni na wengi wao huzeeka kwa aibu sana.
Hakuna tuzo kwenye kubadili wanawake, watajisifia ndo uanaume lakini waliofanya hizi mambo ukiongea nao katika umri wao wa uzee wanajutia sana muda waliopoteza.
Nyeto nilifanikiwa kuiacha ila Mbunye kuiacha ndo muziki.Mimi nimeacha kuchepuka lakini kitu nimeshindwa kuacha ni nyeto aisee.
Nitakaza weeee labda miezi miwili ila sasa nikiwa naoga najikuta tu najisemea ngoja leo nipige kwa mara mwisho lakini waaapi.
Ila nyeto tamu jamani tuacheni masikhara.
Una muda gani mkuu tangu umeacha?Nyeto nilifanikiwa kuiacha ila Mbunye kuiacha ndo muziki.
[emoji23][emoji23]hatari tupuKe wenyewe tunafika bei hata km umeoa....lazima tule nae sambamba huyo kimdada.
hasa km kim- dada chenyewe kinajishebedua shebedua....
Kwani nini bana....
lazima tujue yaliyoko ndani......tuipigize hiyo hata kuhonga nitahonga tu kwani sh.ngapi?????
Akilemaa tuu!! Kosa!!! ana nyang'anywa kabisaaaa harudi!! Tuone!!
Achana na ile kitu mkuu.Niombee Noelia maana napenda Wanawake Mimi Acha kabisa.Yaani mashine ipo hai hai muda wote.Naweza kumshughulikia wife usiku mzima,lkn kesho yake akikatiza mdada mrembo mashine inadinda kisawasawa, natamani kuacha kabisa tabia hii lkn nashindwa.Maombi yako muhimu sana.