MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Nilipomuona tu nkasema anatukanisha wasomi kweli unaweza kua msomi na ukawa mjinga ndo Masha na baadhi ya viongozi wetuAliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Masha ni miongoni mwa waumini wa huyo Tapeli!
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .
1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?
2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?
3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?
4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?
USSR
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .
1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?
2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?
3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?
4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?
USSR
Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .
1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?
2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?
3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?
4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?
USSR
Ukificha maradhi utakufaWewe naye wakati mwingine huwa sikuelewi, kwenye komenti yangu wapi nimewataja UVCCM au CHADEMA. Si kila mjadaa lazima tuingize itikadi zetu za kisiasa, unataka kuwa kama kada mwenzangu Lucas Mwashambwa
Ni kama wmbavyo tunawaambia kuhusu Mwamposa kuwa ni tapeli, lkn hawasikii. Ipo siku Mwamposa naye ataanza kujigamba na kuwalingishia waumini wake yale mahoteli anayojenga mkoani Mbeya.Huyu jamaa watanzania huwa nawashanga sana
Mtu kaanza kuuza vipodozi tena kwa magendo mpaka akashtukiwa...mara kawa nabii π
Hivi watu wanashindwa kuchuja mambo na kuelewa
Huyu mtu tokea mwanzo tulikuwa tunawambia siyo watu tu hawasiki hawaambiliki
Alafu kesi hizi za mambo ya kiimani huwa ni ngumu kumshtaki mtu maana,yeye atakuambia mimi sijawalazimisha kuja
Ova
ππππ Nashindwa nimtukane yeye au niwatukane wafuasi wake πππ Kumbe ilikua fakeWaumini wake wanajskiajeπππutumwa ... Fake P unakumbuka kiboko aliwahi fufua wafuππππhii kupenda miujiza ya haraka inawafanya watu kuwa misukule ya manabii feki
Adui wa viongozi wako ni Chadema tu. The rest ni marafiki. Kwa hiyo usitegemee chochote maana hao manabii feki wanapendwa sana na ccm! Kisa tu wanawasaidia kuwafanya wananchi kuwa misukule.Hilo ni swali tu kama huna jawabu kaa mbali na huu uzi .
1.Kwakuwa sasa ni dhahiri kuwa alikuwa nabii feke na ewatapeli watanzania wengi pesa na mali zao anaweza kuletwa ajibu ?
2 .Je sisi na DR Congo tunamkataba wa kubadilishana waharifu?
3.kule Congo yupo na watanzania kadhaa aliondoka nao akiwepo muuji na mtekaji maarufu wa Buza Erasmos maarufu kama mapanga aliyetumia mwanya ule kutoroka na mlinzi wa zamani wa Diamond waletwe pamoja ?
4.Mali zake zilizopo hapa Tanzania zipigwe mnada watu walipwe fidia?
USSR
Si msukuma yuleNilipomuona tu nkasema anatukanisha wasomi kweli unaweza kua msomi na ukawa mjinga ndo Masha na baadhi ya viongozi wetu
Huyo kasha yakoroga atakipata anacho kitafuta nchi hii sio kama anavyo dhani yeyeHuyo alitakiwa kuwa mpole ila kwakuwa anataka sifa anachokifanya kwasasa ndo ile inaitwa KUNYEA KAMBI, nawatu roho inawauma kweli kwajinsi anavyotuona wabongo wote hatuna akili, mpunga ukikata ndo atajua, labda nahuko awaokote