Order mantodea wee sijui manini nii acha kabisaKama nakumbuka kuna mjinga anaitwa entomology daah kuna mineno ya kijinga sana ambayo sikujua kama ntakutana na maneno kama hayo.
Mara coccidioidomycota tehehehhe
🤣🤣🤣 Pole Sana mkuu ......kikubwa uli survive tu shukuru Maulana .....Wee ya chuo ilinitoa jasho organic1 mwaka wa kwanza na organic 2 yaani pamoja na ubabe wangu wa organic advance ila hapa nilikaaa, wengi walidisco sababu ya organic chem aseee baada ya kumaliza chuo nilikuwa nikiona majengo nasisimka
Resimic mixtures,enentiomeric excess kudadek!organic chemistry hasahasa zile mechanisms
veterinary pathology ilikuwa hatari sana.
Eee!Imagine huyu unatakiwa kumuandaa ili nguo zivalike na umtengeneze sura/ uso kwa ajili ya kuagwa na ndugu zake hasa kama ni mkristo
Acha tu fadha alikuwa mkaksi anafundisha hivi anaenda kugoogle paper huko harvard na wapi wapi sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pole Sana mkuu ......kikubwa uli survive tu shukuru Maulana .....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa wote tumesoma science. Duh hatari.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna ndugu yangu naishi naye home alirudi analia juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]C1 aisee... Pepa ina 18 printed pages ni balaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji119][emoji119]Imagine huyu unatakiwa kumuandaa ili nguo zivalike na umtengeneze sura/ uso kwa ajili ya kuagwa na ndugu zake hasa kama ni mkristo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi kuna somo lilikuwa lina lecturer msengee. Yaani kwanza kufundisha hajui, halafu akimaliza pindi anauliza mwenye swali.
Ukijitokeza kuuliza anaku-crash.
Basi kuna siku tumegonga paper lake, nikapata 19 ( kiukweli wakifaulu watu hata 5 hawafiki kati ya wanafunzi 66 ).
Nikawa nina hofu ya Supp.
Bahati nzuri, alijichanganya kumbe hakurekodi maksi, akampa CR hiyo kazi ya kurekodi maksi[emoji1787]
Nilichofanya, nikachana ile paper ya juu, yenye maksi 19%, nikatumia kalamu nyekundu nikajiandikia 69% nikapeleka kwa CR[emoji1787][emoji1787]
Mbona hii ni very simple mkuu.Kuna show inaitwa numerical analysis ndo naisoma saahz hii kitu unaweza changanya na unga ikawa sumu ya nyoka
Af Kuna linear algebra....Mbona hii ni very simple mkuu.
Kwamba nayo ni ngumu..?Af Kuna linear algebra....
Advanced Physics ilikuwa balaa. Ilinitesa kinoma.
Sijui nimsingizie teacher
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha dah, Mm ilikuwa ile Organic Chemistry kila nkikaza naona mapicha picha kwangu ilikuwa bora hata nikapambane na physics kuliko yule mdudu aisee
Reaction mechanism it's all about electophile, nucleophile, polarity & electronegativity principles, ukizijua hizo ni very easy.organic chemistry hasahasa zile mechanisms
veterinary pathology ilikuwa hatari sana.
kweli kbs lakin kuna kisub topic nadhani aromatic hydrocarbon aisee ilikuwa balaa tupu mambo ya ketones,aldehydes na amines.Reaction mechanism it's all about electophile, nucleophile, polarity & electronegativity principles, ukizijua hizo ni very easy.
[emoji119][emoji119]
Kuna kazi ngumu sana dunianiEee!