Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

Abstract algebra, ilinikimbiza kiasi chake, ila mwisho wa siku nilitoboa.
 
Physics Advanced level, ilinisumbua nikakonda hadi nikawa kama nimeathirika na ugonjwa wa kisasa. Mungu si Mzee Mkumba, NECTA nikatusua vibaya sana. Kwa chuo Pathology ilinisumbua sana, hadi nikajutia na kuilaana siku niliyochagua kusoma course yenye hilo somo, lakini Mungu akanisaidia nikatoboa kiulaini kama unyoya
 
pole mkuu
l
 
Biochemistry na hii Pathology hivi vitu vilinitesa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…