Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Awafanye Nini Sasa??

Makafiri mmekuwa makonki wa wizi ndani ya Taifa hili,na haijalishi Rais ni nani.

Kwani unaongea kitu Gani usichoeleewa mgalatia??

Hoja iliyopo hapa ni kujitapa kwenu kuwa wasomi nchi hii ni nyinyi,eti nyinyi ndie wenhe IQ kubwa na elimu

Tukiwauliza elimu yenu faida yake Nini mbona Haina tija?

Mfano Tanesco mmejazana kama mmefungua kigango Cha Kanisa,kazi kuiba na kuzima umeme tuh,akili hizo mzitoe wapi makafiri??

Toka enzi ya Nyerere nyinyi wasomi ni wizi tuh hadi sasa Samia ni Rais Bado nyinyi ni vibaka tuh,hakuna la maana mnalojua
Mkuu hii chuki uliyonayo ni kama cancer, itakumaliza mwenyewe. Hebu jikite kwenye mada. Ufisadi ndani ya serikali ya CCM unafanywa na watu wote pamoja na wasio na dini. Mama angekuwa anafuata dini ange sign mkataba wa kijambazi wa bandari na kuupitisha kibabe bungeni? Angebariki wanayofanyiwa wamasai? Jikite kwenye mada. Ufisadi umefanyika na unaendelea kwenye awamu zote. usitake kusingizia kikundi cha watu fulani wakati mpaka mashehe wanasema muichague hii hii CCM.
 
Nafikiri tusichukulie kipimo cha kufaulu mtihami wa darasani kama kigezo pekee cha kuwa na IQ kubwa
Kufanya hivyo ni kupima IQ kwa kutumia uwezo wa watu wa kukariri. Anaye jua ku kariri zaidi ndiye anaonekana ana akili zaidi
Umewahi kujiuliza wenye IQ kubwa kwenye ubunifu wapo kundi gani?
Mfano:
  1. Kuna wanamuziki/maigizo/sanaa
  2. Wood work
  3. Drawings/paintings
  4. Mechanics (wapo wakisikiliza tu ngurumo ya gari wanakuambia shida zake zote)
  5. Wale watu wa pwani kwa mfano wana vipaji vingi tofauti hasa michezo... kwa bahati mbaya havitambuliki
  6. nk nk nk
Kama unafikiri kuimba ni rahisi, chukua professor umshindanishe kuimba na Diamond
Kuna mjinga anasema eti IQ ni reasoning tu😅😅huyu dogo kamaliza form six juzi kisa kasoma philosophy...Wakati hata vipaji wanapima kwa IQ ...IQ ni kipimo tu kwa umahiri na uwezo wa mtu katika jambo fulani anaweza kuwa vizuri darasani ila hajui hata kucheza basi ana IQ kubwa darasani ila kweny Mpira wakina Messi na Ronaldo.
 
Mkuu hii chuki uliyonayo ni kama cancer, itakumaliza mwenyewe. Hebu jikite kwenye mada. Ufisadi ndani ya serikali ya CCM unafanywa na watu wote pamoja na wasio na dini. Mama angekuwa anafuata dini ange sign mkataba wa kijambazi wa bandari na kuupitisha kibabe bungeni? Angebariki wanayofanyiwa wamasai? Jikite kwenye mada. Ufisadi umefanyika na unaendelea kwenye awamu zote. usitake kusingizia kikundi cha watu fulani wakati mpaka mashehe wanasema muichague hii hii CCM.

Usinitoe kwenye mstari ww kafiri...

Nijikite kwenye mada,kwani mada huoni MANTIKI yake ni nini?huoni kama imegeuka uwanja wa kashfa Kwa hawa jamaa zako kukashifu uislam na waislam??

Unataka tuwaambie Nini Sasa,kwani CCM ikishika Dola watumishi waliojazana huko serikalini wanaoshiriki wizi Kwa kias kikubwa SI ni nyinyi makafiri ambao mnajiita WASOMI??

Sasa Kuna kosa Gani tukiwaambia kuwa taifa hili linakuwa maskini shauri ya wizi wenu?
 
Wagalatia wengi ni washamba ,washaanza kushtuka ...Unakuta professor anakanyaga mafuta😅😅

Teh teh teh...

Au Profesa Zima linaweweseka Kwa mwamposa linatolewa mashetani,na kupewa mchanga wa upako akamwagie sebuleni kwake,teh teh.

Hovyo kabisa waimba kwaya
 
Western christian economic system 🤡

Taifa gani linajiendesha kiuchumi kama China katika ulimwengu wa kimagharibi ?
Deng xioping alimuiga ndugu yake wa singapore aliyeenda kumtembele aliyesomea chuo uingereza

Akachukua mfumo wa hong kong ambayo ilikua chini ya uingereza akachanganya na ule wa singapore yote ni mifumo ya magharibi
 
Kafiri baba Yako na mama Yako waliokacha imani za baba zao na kufuata za muarabu.
Unakasirika Nini kafiri wakati nakuambia ukweli??

Kafiri ni neno limetokana na lugha ya kiarabu ambayo maana yake ni MTU aliekufuru...

Ni MTU ambae ameacha kusadiki uwepo wa Mungu mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,na vyote vilivyomo...matokeo yake amekimbilia kuchukua na kuweka Imani ya kiumbe Cha Mungu na kukiita Mungu,hapo umekufuru na that's why ukaitwa kafiri..usichukie ni Haki yako hiyo,unless otherwise fuata Haki unayopaswa kuifuata.

Umeelewa kafiri?
 
Ukitaka tuseme Nini Sasa, makafiri wenzako wanaongea kunya na kashfa tuwachekee??

Sisi tunawaeleza lugha ambayo wao wataielewa vizuri ili akili iwakae sawa may be watapata ufaham,nchi hii imekuwa maskini Kwa miaka mingi sana lakin umaskini huu Kwa kias kikubwa unasabbishwa na wasomi wa kikafir waliojazana huko serikalini,wanachojua kikubwa ni wizi na ufisadi tuh
Nchi hii kuna mwizi kuliko Mzee wa msoga? Ufisadi upo Tu nchini na unafanywa na watu wa dini zote.
 
Kwanza binadamu mwenye akili timamu unaweza vipi ambiwa kuwa Mungu ni yule mzungu alietundikwa msalabani na wewe ukasadiki??

How comes MTU eti ni professor anaenda kupiga magoti anaomba lile lisesere la kizungu limsadiie??

Stupid kbs
Una hasira sana kuonesha jinsi Gani dini inakuendesha mpaka unakuwa mpumbavu. Mtu akiamini ng'ombe anakuwa anakuzuia wewe kuamini unachoamini!?
 
Nchi hii kuna mwizi kuliko Mzee wa msoga? Ufisadi upo Tu nchini na unafanywa na watu wa dini zote.

Ushahidi uko wapi??

Na wale makafiri wenzako màaskofu ambao walifikia hadi hatua ya kupokea pesa za wizi wa escrow unaweza kuwaitaje??

Shenzy kabisa,hadi fedha za wizi makafiri mnakimbizia makanisani kutoa fungu la Kumi??

Afanaaaleki....
 
Ni swala la kifalsafa mkuu upande wa pili wanaambiwa kwenye kitabu chao Kuna sayansi na mavitu yote mixa mazaga zaga yote mtume alishayagundua kitambo,Kwa hiyo watu wao hawawezi kuaminishwa au kuona umuhimu wowote kuhusu elimu Dunia,na wakati wagalatia wanahubiriwa usimwache elimu asepenge Kwa hyo kimtindo wanazingatia mahubiri ya padri/pastor.pia mikoa mingi ya pwani Kuna malezi ya hovyo kuliko bara,watoto wengi wa pwani ni wahuni wanaanza kula ndumu mapema kuliko huko bara inakolimwa
 
Hapo ndipo mataifa ya kiafrika yanapokosa simuluzi zinazounganisha taifa.

Yaani umoja haupo kila kakikundi kiwe cha kiimani, kikabila na kikanda wana simulizi zao za umoja katika uchache wao.

Lini nchi itakuwa na simulizi ya kitaifa kama USA, RUSSIA, CHINA, JAPAN n.k kadhalika.

Moja ya stori ya umoja ingeletwa na makabrasha yanayoelezea Tanzania yenye makabila mengi, imani tofauti pia jamii zikiwemo za kisomali, kihindi, kijerumani, kigiriki ziliungana chini ya jemedari mkuu mwalimu Nyerere kwenda kumpiga, kumfukuza na kumtupa mvamizi nduli nyoka Iddi Amin Dada nje ya mipaka yetu .....

Tatizo stori hizi za ushujaa wa jamii yetu tunazifanya ni siri kubwa na maveterani kama jenerali David Musuguri, makamanda na maofisa, wapiganaji na mgambo wapo lakini hatuoni kuwa vita ya Kagera ni moja ya simulizi ya umoja wetu katika mchanganyiko wetu kama taifa.

Nchi kama USA ama Russia simulizi hizi za umoja kupitia kumshinda adui mvamizi hutumika ktk mitaala ya shule, tamthilia, movie, mahojiano katika media House n.k kuonesha jambo lililofanyika kwa umoja mfano vita dhidi ya mvamizi Hitler, Napoleon n.k


A national narrative rationalizes and is supported by the nation's identity


Waandishi nguli, wanahistoria, wakutubi, wataalamu wa makumbusho na mali kale, watayarishaji movie, chuo cha ulinzi wa Taifa NDC, wizara ya utamaduni, elimu n.k wanaweza kabisa kuandaa dokumentari ndefu ikiwa na star Jenerali David Musuguri lakini imelenga kubeba ujumbe kama jamii yote moja iliweza kipindi fulani kushinda mvamizi kutoka nje


View: https://m.youtube.com/watch?v=BveT5bVV9p4


I couldn't agree more.
 
Una hasira sana kuonesha jinsi Gani dini inakuendesha mpaka unakuwa mpumbavu. Mtu akiamini ng'ombe anakuwa anakuzuia wewe kuamini unachoamini!?
Kwa kweli unanipa hasira SANA,binadamu mwenye utashi unaambiwa vipi huyu ng'ombe ni Mungu wako na wewe ukakubali??

Au unaambiwa vipi huyu sanamu la kizungu limeveshwa kichupi na kutundikwa kwenye mlingoti kuwa ni Mungu Mkuu na wewe ukakubali??

Mnanipa hasira SANA makafiri
 
Ushahidi uko wapi??

Na wale makafiri wenzako màaskofu ambao walifikia hadi hatua ya kupokea pesa za wizi wa escrow unaweza kuwaitaje??

Shenzy kabisa,hadi fedha za wizi makafiri mnakimbizia makanisani kutoa fungu la Kumi??

Afanaaaleki....
Hivi huwa kwanini watu wa aina yako kukubali muislam mwenzako amefanya kosa ni ngumu sana. Tangu enzi za Nyerere ufisadi upo ....na unafanywa na watu wote...usitake kutuambia hapa eti waislam ndiyo watu wasafi pekee. Hata vibaka, changudoa ,mashoga wa kiislam wapo tele kama vile mafisadi serikalini....jikite kwenye mada
 
Deng xioping alimuiga ndugu yake wa singapore aliyeenda kumtembele aliyesomea chuo uingereza

Akachukua mfumo wa hong kong ambayo ilikua chini ya uingereza akachanganya na ule wa singapore yote ni mifumo ya magharibi
China inatumia economic model ya magharibi🤡. Hebu nitajie nchi moja tu ya magharibi inayotumia economic model ya China ?

Achana na habari za Singapore, Hongkong maana hiyo ni different story inayo husisha sio hizo nchi mbili pekee humo utakuta mpaka Japan, Taiwan, Russia
 
China inatumia economic system ya magharibi. Hebu nitajie nchi moja tu ya magharibi inayotumia economic system ya China ?

Achana na habari za Singapore, Hongkong maana hiyo ni different story inayo husisha sio hizo nchi mbili pekee humo utakuta mpaka Japan, Taiwan, Russia
Economic system ya china ni socialism ambayo ni karl marx myahudi aliyezaliwa ujerumani alianzisha kupitia kijarida chake kinachoitwa das capitalism

Kuna mambo mengi sana hujui
 
Wakrsito hiyo asilimia 63 muitoe wapi wewe muimba kwaya??

Muislam mmoja anaruhisiwa kuoa hadi wake wanne, mgalatia mke mmoja tuh mtihan,logic ya kawaida tuh uwezo wa kuzaliana hivyo muutoe wapi?
Religion in Tanzania

Article



Talk

Language

Download PDF

Watch

Edit

Christianity is the largest religion in Tanzania, with a substantial Muslim minority. Smaller populations of Animists, practitioners of other faiths, and religiously unaffiliated people are also present.[2][1]


Christianity (61.4%)

Islam (35.2%)

No religion (1.8%)

Traditional faiths (1.4%)

Others (0.2%)

Kwa fikra zako, mwanaume mmoja akiwa na wake 4, kutakuwa na watoto wengi kuliko wanaume 4 ambao kila mmoja ana mke mmoja? Usilam zaidi upo maeneo ya pwani. Mtu mmoja anaoa wake 4, vijana wanakosa wasichama wa kuoa, wanaishia kwenye ufirauni. Na mafirauni hawazai.

Kwa ujumla upeo wako ni mdogo. Fikiria nchi kama Ethiopia, wakristo ndiyo majority, na nchi hiyo miaka yote imebakia kuwa ya pili kwa population kibwa katika Afrika baada ya Nigeria ambayo waislam wanawazidi wakristo kwa 5%. Kama hoja ya wake wengi ingekuwa inahold, basi sahizi population distribution kwa msingi wa utofauti wa dini, waislam wangekuwa tayari wanawazidi wakristo, au taratibu asilimia ya waislam ingekuwa inaongezeka zaidi kuliko ya wakristo. Na hii ni nchi ambayo wakati wa sensa unataja na dini yako.

Religion in Ethiopia consists of a number of faiths. Among these mainly Abrahamic religions, the most numerous is Christianity (Ethiopian Orthodoxy, P'ent'ay, Roman Catholic) totaling at 67.3%, followed by Islam at 31.3%. There is also a longstanding but small Ethiopian Jewish community.

Halafu nchi ikiwa na majority muslims huwa ni tatizo kubwa. Lazima ugaidi utajitokeza, maana hawakawii kutaka nchi iongozwe kwa sharia law, wakikataliwa, wanageuka kuwa magaidi.
 
Back
Top Bottom