Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Mie mwenyewe, nilidhani HIJJA ilianzishwa na Isack
uislamu umeanzishwa na muhammad 600AD,kabla hakukuwahi kuwepo din ya uislamu,wala hakuna hata kitabu au historia kuliwahi kuwepo din ya islam ,

hakuna muislamu mwenye hata kipande cha karatas kuwa kabla ya muhammad paliwahi kuwa na din ya uisamu,

historia za din kama ubudha zilizokuwepo kabla hata ya ukristo zipo, ila uislamu hakuna na hutapata

Buddhism is one of the world's largest religions and originated 2,500 years ago in India

huyo isaka,ibrahimu,yakobo wanasingiziwa hao ni wayahud kama yakobo had kuwa taifa la israel
 
We poyoyo kweli kweli unailinganisha Qur'an na mkusanyiko wa vitabu (Biblia) vilivyotungwa na watu? Huwezi kuilinganisha Qur'an na Biblia hata kidogo, huwezi linganisha maneno ya Mwenyezi Mungu na manaeno ya binadam wenzio.

Ni ujuha huo.
 
Vitabu vya historia vya kibinadam vipo vingi sana na huwezi kuvifananisha na Qur'an. Unajidanganya tu.

Biblia inakupa solution ipi ya maisha ya kila siku? Biblia ingekupa solution za maisha yako ya kila siku ungekuwa na ushoga na mashoga kwa asilimia kubwa sana kwa wakuu na wanaoongoza makanisa hayo? Takriban wote ni mashoga. Una solution ipi hapo kama unaongozwa na Biblia?

Soma...
 
Umewahi kujiuliza kwa nini vitabu vya uganga viuzwe karibu na misikiti na sio karibu na makanisa?
Tuoneshe hilo duka na hivyo vitabu vya uganga vinavyouzwa karibu ya msikiti. Acha uongo.
 
Reactions: Tui
Ninavyofaham mimi hakuna uhusiano WOWOTE
hata hivyo waislam wana amini kuwa, kwa mtu aliyekwenda kuhiji huku ameacha mambo yake vizuri, na maanisha ameomba msamaha kwa aliowakosea au kusahihisha makosa yake kabla ya kwenda; huwa anasamehewa makosa yake yote
Hao uliokutana nao huenda wamejiona kama wamesamehewa makosa yao basi wataweza kuombea/kuponya nk
 
hizo ni tabia za watu,hata zenji kwenye uislamu 99% wanaongoza kwa ushoga

Biblia inasisitiza kila mara kwamba ushoga ni dhambi (mwanzo 19:1-13; mambo ya walawi 18: 22; warumi 1:26-27; wakorintho wa kwanza 6:9). Warumi 1:26-27 inatufundisha ya kwamba ushoga ni njia mojawapo ya kumkana na kutomtii Mungu. Mtu anapodumu katika dhambi na kutokuamini biblia inatuambia ya kwamba “Mungu huwaachilia” kutenda maovu zaidi ili wapate kujua ubatili wa maisha bila Uwepo wa Mungu. Wakorintho wa kwanza 6:9 inasema kuwa mashoga hawataurithi ufalme wa Mungu.

Mungu haumbi mwanadamu mwenye tamaa ya ushoga. Biblia inatuambia mtu huwa shoga kwa sababu ya dhambi. (warumi 1:24-27), na pia kwa sababu ya uamuzi wake mwenyewe. Mtu anaweza kuzaliwa na msukumo juu ya ushoga kama vile watu pia huzaliwa na msukumo juu ya fujo na dhambi nyinginezo. Hili halihalalishi dhambi yoyote inayofanywa na wanadamu. Je, mtu akizaliwa na msukumo wa hasira mbaya, ni halali aendeleze hasira zake mbaya? La, hasha. Hata kwa ushoga pia si halali.

Hata hivyo Biblia haiitaji dhambi ya ushoga kuwa ndiyo kubwa zaidi. Kila dhambi ni chukizo kwa Mungu. Ushoga ni mojawapo ya mambo yaliyoorodheshwa katika wakorintho wa kwanza 6:9-10 yatakayozuia mtu asiingie katika ufalme wa Mungu. Kulingana na Biblia msamaha wa Mungu juu ya shoga upo sawa na wa mzinzi, muabudu sanamu, muuaji, mwizi na kadhalika. Mungu tena aahidi uwezo juu ya kushinda dhambi, pamoja na ushoga, kwa wale wote watakao mwaminiYesu kristo kwa wokovu wao (wakorintho wa kwanza 6:11; wakorintho wa pili 5:17).
 
Kwa uchache tazama tu Waislam na wasio Waislam uone maadili ya kibinadam unayapata wapi, bila kujidanganya nafsi yako.
waislam wana maadili gani ya maana

ushoga,ugaidi,n.k
ZANZIBAR: UNGUJA YATAJWA KUONGOZA KWA UKAHABA NA USHOGA

Waziri Dkt. Saada Salum Mkuya amesema #Unguja ina Wanawake 4,854 na Pemba 700 wanaofanya Biashara ya kuuza miili yao

Wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja #Zanzibar ni 3,300

Soma - https://jamii.app/UshogaUkahaba

Watu 20 wakamatwa kwa kushtumiwa ushoga Zanzibar - RFI



MAUSIA/MAADILI YA MUNGU WALIPEWA WAYAHUDI ,KUPITIA BIBLIA(AGANO LA KALE NA JIPYA)

Warumi 3

Neno: Bibilia Takatifu

Uaminifu Wa Mungu​

3 Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Je, kutahiriwa kuna faida yo yote? 2 Ndio, zipo faida nyingi. Kwanza, Mungu aliwaka bidhi Wayahudi maagizo yake. 3 Na hata kama baadhi yao hawaku amini,je, kutokuamini kwao kutamfanya Mungu aache kuwa mwaminifu? 4 Hata kidogo!Mungu ataendelea kuwa wa kweli hata kama kila mwan adamu atakuwa mwongo. Kama ilivyoandikwa katika Maandiko,“Wewe Mungu, uthibitishwe kuwa wahaki katika maneno yako, na mshindi katika hukumu.”
 
 
Biblia inakupa solution ipi ya maisha ya kila siku?
Biblia. Kumbukumbu la Torati 18:10-11

[10]Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

[11]wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

Mungu alipiga marufuku wabashiri lakini Mohammad anajiita mbashiri
Alipiga marufuku kuwaomba wafu lakini maislam yanaendelea kuwaomba makaburini
 
Kwa uchache tazama tu Waislam na wasio Waislam uone maadili ya kibinadam unayapata wapi, bila kujidanganya nafsi yako.
Biblia. Mambo ya Walawi 26:1

[1]Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


 
 
Kwa nini mnabusu jiwe?
 
Walitaka kuwatapeli watu tu,hakuna uhusiano wowote yoyote anayekwenda hijja anatarajiwa ajipambe na "sifa za kumcha Allah" ikiwa kinyume chake hata hijja yake inatia shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…