Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Hauni hao wakristo wamekufa wote 🤣🤣🤣

Huoni mkristo wa kwanza ndo aliua nchi kubaribu viwanda kweny mikoa kisa mikoa hyo inaishi waislamu

Huoni mkristo wa Kwanza aliweka mikakati ya kufelisha waislamu mpaka ulipokuja mfumo wa mamba chini ya kigoma malima
Udini mbaya
 
Kwenye suala la Elimu ni kutokana na suala zima la ukoloni. Shule za Kimisionari zilikuwa nyingi na wakati ule ilikuwa bure kwa lengo la kupata wasaidizi ambao ni indigenous. Wakristo (Wakatoliki) walikuwa na nafasi kubwa sana ya kusoma Shule hizo (Seminari) Waislamu hawakubahatika hilo kutoka kwa Waarabu. Waarabu hawakuja na suala la Shule zaidi ya Madrassa tu, watu wajifunze dini na lugha kiarabu. Kwahiyo kwa sasa elimu ni kwa wote na ni suala la muda tu Rais anaweza kutoka dominion yoyote kwa upande wa Wakristo anaweza kuwa mlokole, KKT, Anglican hata msabato. Na hata Waislamu anaweza kuwa yeyote tu. Kuhusu kupokezana Mkristo na muislamu hiyo ni Planned kabisa lakini ni nyuma ya pazia ila sijajua ni Party (ccm) level au ni national level. Hapa ukimuuliza kiongozi yeyote hawezi kukubali kwamba ni planned atakwambia inatokea tu.

Observation ni nzuri na ni kweli japo hatujajua sababu ni nini, ila pia hapo kila anapoingia muislamu watendaji wa serikali huwa hawana hofu ya kufanya ufisadi, yaani huwa wanajihisi wapo huru sana kulinganisha na akiwa Mkristo huwa wapigaji wanaingiwa na uoga wa kufanya ufisadi. Nahisi Waislamu wanapenda amani na watu wote kwa ma Fundisho ya Dini yao. Au waislamu watusaidie msingi wa kuwaonea huruma wapigaji unatokana na Mafundisho ya dini? Au Labda kuna Maandiko yanayowaongoza?
 
Wanabodi,

Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.

Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.

Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
  1. Julius Kambarage Nyerere
  2. Ali Hassan Mwinyi
  3. Benjamin William Mkapa
  4. Jakaya Mrisho Kikwete
  5. John Pombe Magufuli
  6. Samia Suluhu Hassan
Dini Zao
  1. Mkiristu
  2. Muislamu
  3. Mkiristu
  4. Muislamu
  5. Mkiristu
  6. Muislamu
KImahesabu ni tatu kwa tatu!.
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote!.

Denominations zao
  1. Mkiristu RC
  2. Muislamu
  3. Mkiristu RC
  4. Muislamu
  5. Mkiristu RC
  6. Muislamu
Kwa Wakristu, rais akiwa Mkiristu je ni lazima awe RC?. Kwanini wote walioshika urais ni RC only?!. Is this planned or it just happened?.
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.

Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Ismailia, Ahamadia, Answasumna, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.

Uhai wao
  1. Amekufa
  2. Yuko Hai
  3. Amekufa
  4. Yuko Hai
  5. Amekufa
  6. Yuko Hai
Kwa upande wa uhai, hapa ni 3-0, (tatu bila!) Wakristu wote down, Waislamu wote up!.
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?!.

Elimu Zao
  1. Straight to University Masters Level
  2. Aliunga Unga ila alipata Masters
  3. Straight to University Masters Level
  4. Aliunga Unga Ila alipata Bachelor ya GPA flani!.
  5. Straight to University Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air!)
  6. Aliunga Unga to Masters!.
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.

Matumizi ya Busara
  1. Busara Sana
  2. Busara Sana na ustaatarabu
  3. Hakuna Busara Ila Ustaatabu
  4. Muungawana, Busara, Ustaarabu
  5. Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
  6. Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Kwanini watu wa dini fulani ndio wanaonekana na busara zaidi kuliko wa dini nyingine?. Jee kuna uhusiano wa dini ya mtu na busara?

Dhana ya Udikiteta
  1. Dikiteta
  2. Hakuwa Dikiteta
  3. Dikiteta
  4. Hakuwa Dikiteta
  5. Dikiteta
  6. Sio Dikiteta
Viongozi wetu madikiteta au wenye udikiteta ni wa dini fulani tuu!. Jee kuna uhusiano wa dini na udikiteta?.

NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!
Paskali
Huu uzi nimecheka sana....ila hapo kwenye mipasho umemuonea tu, mwanamke yoyote lazima awe na hulka ya mipasho angalia hata kina doroth Gwajima
 
Huu uzi nimecheka sana....ila hapo kwenye mipasho umemuonea tu,
Mkuu kimsboy , we endelea tuu kucheka sana kwasababu kucheka ni Afya, you will live long!, mashoga wa kucheka ni "ncheke ninenepe"!.

JF tumemsaidia sana JK na JPM, sasa ni zamu ya kumsaidia Mama!, huko unakodhani nimemuonea tuu, ndiko kumsaidia kwenyewe.

Mtu yoyote akiwa rais, automatically ana asume dualism, yaani anakuwa na dual personality. Personally ya kwanza ni ile personality ya human being, hivyo Samia is a human being, she can speak anything as a human being. Personality ya pili ni personality ya presidential personality. Kwenye personality hii the president is a super human, she is perfect, hawezi kukosea na haulizwi na yeyote, na hata kuongea Samia kama Samia yuko huru, kuongea lolote na kutumia maneno yoyote as a human being, lakini Samia as a president, lazima aongee ki presidential, lazima atumie maneno ya ki presidential only!.

Kwenye hili, enzi za JPM, niliwahi kuuliza Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?
kiukweli tulimsaidia sana, hivyo nimeuliza Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?

Sisi watu wa msaada, tumeisha anza kumsaidia kwenye hili.
mwanamke yoyote lazima awe na hulka ya mipasho angalia hata kina doroth Gwajima
Not necessarily, the biggest difference between a man and a woman is not zile organs!, it's the brain!. Women feels, men thinks. Kwenye kazi kuna kazi zinazowahitaji watu wanao feels kuliko wanaothink, hivyo ni kazi za femininity na feminism hivyo zina accommodates mipasho!.

President is job used to be men's job that requires thinking, hivyo hata Mwanamke feminists akiukwa urais, she has to think like men!. There is no room for mipasho kwenye urais. Hili kiukweli kabisa Mama needs kusaidiwa na mimi kiukweli nimeanza kusaidia saidia!. Mofano ni hii - Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?
- Kauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!.
P
 
Mkuu kimsboy , we endelea tuu kucheka sana kwasababu kucheka ni Afya, you will live long!, mashoga wa kucheka ni "ncheke ninenepe"!.

JF tumemsaidia sana JK na JPM, sasa ni zamu ya kumsaidia Mama!, huko unakodhani nimemuonea tuu, ndiko kumsaidia kwenyewe.

Mtu yoyote akiwa rais, automatically ana asume dualism, yaani anakuwa na dual personality. Personally ya kwanza ni ile personality ya human being, hivyo Samia is a human being, she can speak anything as a human being. Personality ya pili ni personality ya presidential personality. Kwenye personality hii the president is a super human, she is perfect, hawezi kukosea na haulizwi na yeyote, na hata kuongea Samia kama Samia yuko huru, kuongea lolote na kutumia maneno yoyote as a human being, lakini Samia as a president, lazima aongee ki presidential, lazima atumie maneno ya ki presidential only!.

Kwenye hili, enzi za JPM, niliwahi kuuliza Je, aachwe aseme tu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?
kiukweli tulimsaidia sana, hivyo nimeuliza Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?

Sisi watu wa msaada, tumeisha anza kumsaidia kwenye hili.

Not necessarily, the biggest difference between a man and a woman is not zile organs!, it's the brain!. Women feels, men thinks. Kwenye kazi kuna kazi zinazowahitaji watu wanao feels kuliko wanaothink, hivyo ni kazi za femininity na feminism hivyo zina accommodates mipasho!.

President is job used to be men's job that requires thinking, hivyo hata Mwanamke feminists akiukwa urais, she has to think like men!. There is no room for mipasho kwenye urais. Hili kiukweli kabisa Mama needs kusaidiwa na mimi kiukweli nimeanza kusaidia saidia!. Mofano ni hii - Kwa “nonsense” ya Sukari, Rais Samia anastahili pongezi. Je, tuishie kwenye "nonsense" ya Sukari tu au tuangazie na "nonsense" nyingine zote?
- Kauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!.
P
JPM hakuunga unga kwenda University?
Haujui kuwa alikuwa mwalimu wa sekondari kabla ya kuingia UD?

Jakaya alipasua tena digrii ya mwaka 1974, ilikuwa ni kwa top cream ya nchi. Wachache sana enzi hizo walikuwa wanapata degree.
 
JPM hakuunga unga kwenda University?
Haujui kuwa alikuwa mwalimu wa sekondari kabla ya kuingia UD?

Jakaya alipasua tena digrii ya mwaka 1974, ilikuwa ni kwa top cream ya nchi. Wachache sana enzi hizo walikuwa wanapata degree.
Mtetezi wa mafisadi unahangaika sana.
 
HAO WOTE NI DINI MOJA ROMAN CATHOLIC NDIO WALIANZISHA UISLAMU KWA LENGO LA KUTAWALA DUNIA.

HAKUNA RAIS ATAKAYEKUJA KUTOKEA TANZANIA LAZIMA AWE ROMAN AU ISLAMIC.

INGIA HATA chat GTP uone padre wa RC ALIYEANZISHA UISLAMU.
 
Back
Top Bottom