Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Habari.

Niwatakie mapumziko mema ya uhuru wa nchi yetu pendwa Tanganyika,

Turudi kwenye mada,nataka kujua kama kuna uhusiano wa akili (intelligence) mama na mtoto,yaani kama uwezo wa akili wa mama unaweza kua na madhara(effects/impacts) kwa mtoto atakae mzaa.

Kuna binti niko nae kama rafiki,uwezo wake wa darasani ulikua mdogo sana,akili ya darasani ni ndogo sana lakini ni mzuri sana kwa umbile na mwenendo/tabia..

Je anaweza akaja kuzaa watoto wenye akili ndogo darasani kama yeye au watakua tofauti?

Karibuni.

BKppAOsCMAE87AY.jpg
 
Yup!

Ndo maana ufaulu wa darasani kama kipimo cha uwezo wa akili ya mtu si sahihi.

Ni kweli kabisa si sahihi,kwa mfano shule zetu hizi za kayumba hasa Secondary watoto wengi wanafeli kwasababu lugha ni tatizo,wakati mwingine hawaelewi kabisa hata nini kinafundishwa inabidi ameze jinsi lilivyo kila kitu,wakati mwingine wanaelewa ila kueleza lile jambo kwa kiingereza inakuwa tatizo.

Halafu kuna masomo mengine yanakuwa shida kueleweka kiuhalisia,mfano hesabu za logarithm ni shida kabisa kwa wanafunzi wengi,au masomo ya science mengi hufundishwa kwa nadharia tu kueleweka kiuhalisia ni ngumu,mwanafunzi anasoma habari za Benzene au hydrogen chloride hata hajui ikoje anabaki anaunda image zake kichwani,au anajifunza habari za injini ya ndege na ufanyaji kazi wake lakini hajawahi hata kuiona kiuhalisia mwanafunzi anabaki anaunda image zake tu kichwani mwisho wa siku anaweza kufeli,je akifeli tumuhukumu huyu mwanafunzi kwamba hana akili?

Uhusiano wa mama na mtoto kiakili upo lakini mimi naona ni katika mambo ya common sense,ila nachoelewa hasa na nimekihakikisha ni tabia,tabia ya mama ina athari kubwa sana kwa mtoto,na hasa mtoto akiwa ana shinda muda mwingi na mama,na wakati mwingine haihitaji sana kujua tabia ya mama unapoenda kwa watu ukimwangalia tu mtoto utapata picha watu wa hiyo nyumba wana tabia gani.
 
Uhusiano uko mkubwa kati ya akili au watoto na.mama yao genetically. Na ndiyo maana zamani hasa koo za kichifu zilikuwa zinachunguza akili na behaviour ya kwa wajomba. Mimi binafsi kwenye ukoo wetu au familia yetu tuna akili ila hazishindi za ukweni kwangu kwa wachagga. Wanangu sikupata nao tabu ya tuition na walikuwa hawaendi. Na muda mwingi si kusoma sana bali pia kujifunza utundu wa kila kifaa na umeme. Kidato cha nne wote one single digit na vyuoni wote first class. Mmoja wazungu walimng'ang'ania.
 
Uhusiano uko mkubwa kati ya akili au watoto na.mama yao genetically. Na ndiyo maana zamani hasa koo za kichifu zilikuwa zinachunguza akili na behaviour ya kwa wajomba. Mimi binafsi kwenye ukoo wetu au familia yetu tuna akili ila hazishindi za ukweni kwangu kwa wachagga. Wanangu sikupata nao tabu ya tuition na walikuwa hawaendi. Na muda mwingi si kusoma sana bali pia kujifunza utundu wa kila kifaa na umeme. Kidato cha nne wote one single digit na vyuoni wote first class. Mmoja wazungu walimng'ang'ania.

Kwa hiyo kumbe akina sie ambao tulifeli shuleni si kosa letu.

Tumerithi ukiazi toka kwa mama.
 
Uhusiano uko mkubwa kati ya akili au watoto na.mama yao genetically. Na ndiyo maana zamani hasa koo za kichifu zilikuwa zinachunguza akili na behaviour ya kwa wajomba. Mimi binafsi kwenye ukoo wetu au familia yetu tuna akili ila hazishindi za ukweni kwangu kwa wachagga. Wanangu sikupata nao tabu ya tuition na walikuwa hawaendi. Na muda mwingi si kusoma sana bali pia kujifunza utundu wa kila kifaa na umeme. Kidato cha nne wote one single digit na vyuoni wote first class. Mmoja wazungu walimng'ang'ania.

Nakubaliana na wewe kiasi kuwa na akili inategemea family background zote mbili wao walikuwaje kiuwezo ndo mana zamani wazazi walikua wanaangalia vitu vingi tu kabla ya mtu kuoa au kuolewa ndo ilikua inaweza kuleta waelewa wenye kujitambua inaweza ikawa sio mama mwenye nazo lakini wakawepo ndugu wengine nature ya akili inaweza Ku play kote more kwa asilimia kubwa
 
Simple mathematics mkuu....
Kama umeridhika na mama atakae kuzalia mtoto hakuna ubaya ukazaa nae pia maisha yakaendele.
Kuhusu akili na uwezo wa mtoto atakae zaliwa, isiwe sababu mkuu, maan nayeye atakuja kupendwa tu kama wewe ulivyo mpenda mama yake
 
Kuna watu hapa duniani ambao darasani hawakufanya vizuri na sasa wanakubalika kuwa ni baadhi ya majiniasi waliowahi kutokea hapa duniani.

Huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Winston Churchill ambaye alifeli mara mbili entrance exam ya Royal Military College, huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Benjamini Franklin, huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Charles Darwin, hata Albert Einstein ambaye naye hakuwa mzuri darasani na ambaye alifeli entrance exam ya Polytechnic Institute ya Zurish hutathubutu kuhoji uwezo wa ubongo wake.

ALBERT EINSTEIN haukupaswa kumtolea mfano kama huu kaka Jamaa ni GENIUS.
Hakufeli in such na ndio maana aliongoza kwenye physics na mathematics,na mbona alivoenda Argovian Cantonal School aliongoza.
Attachment ya cheti chake iyo hapo inaonyesha 1---6 na 6 no highest score
 

Attachments

  • 1418140086194.jpg
    1418140086194.jpg
    51.5 KB · Views: 297
Ni kutokana na mtoto umleavyo na iman ni kitu pekee kinachoweza kubadili kutoa kuwa kujumlisha ukimlea vizur na kumjenga kuwa jasir na asiye kubar kushindwa kilahic anakua hi
 
uwezekano upo watoto mara nying iq wanarithi kwa mama

Siyo kweli watoto hurithi tabia kwa wazazi wrote wawili na ndiyo maana wewe hufanani na baba yako wala mama yako. Kama mtoa mada utapata mtoto wa kike na huyo Dada na akawa less intelligent darasani basi inawezekana mama yako wewe au bibi yako alikua less intelligent kwani mama anaweza kua na impact kubwa kwa mtoto wa kiume kuliko wa kike.
 
Halafu unaposema mtu ni less intelligent unatumia kipimo gani?
 
ALBERT EINSTEIN haukupaswa kumtolea mfano kama huu kaka Jamaa ni GENIUS.
Hakufeli in such na ndio maana aliongoza kwenye physics na mathematics,na mbona alivoenda Argovian Cantonal School aliongoza.
Attachment ya cheti chake iyo hapo inaonyesha 1---6 na 6 no highest score

Je, alifeli au hakufeli entrance exam ya Polytechnic Institute ya Zurish?
 
Inasemekana mtoto anarithi 80% ya akili ya mama. Kwa hiyo uwezekano upo. PS. Akili za darasani inategemea pia na kitu mtu anasomea.
 
Kisayansi ndio...
Japo watu wanaweza kupinga...
Unajua kuna wanawake wana akili lakini hawakuwa na access na shule...
Hivyo usiseme mimi nina akili lakini mama yangu si msomi...

Nilisoma article nyingi tu zina prove kuwa akili ya mtoto inatoka kwa mama...

Mi sikubaliani na hayo kwani watoto wanarithi tabia kutoka kwa wazazi wote na tena nusu kwa nusu. Pia huwezi pima intelligence ya mtu kwa uwezo wa darasani tu. Intelligence ya mtu inatakiwa ipimwe katika vitu vyote vinavyo mfanya huyu mtu kuishi katika mazingira ya aina zote. Hebu mfano majibu ya profesa wenu muhongo pamoja na ukubwa wa CV yake unaweza sema ni intelligent? Mimi katika kumsikiliza kwangu naona anakosa skill flani ambayo haipatikani darasani. Je? Unasemaje kwa mtu kama Steve jobs ambae hats chuo hakuhitimu utasema alikua less intelligent? Kama Intelligence ingekua inherited kirahisi kama msemavyo basi leo tungekua tunawasikia watoto wa akina Eisten tu na watu wengine kama wao. Acheni kumdanganya mtoa mada. Intelligence ya mtu hutegemea mazingira uliyo Julia muhusika.
 
Kuna watu hapa duniani ambao darasani hawakufanya vizuri na sasa wanakubalika kuwa ni baadhi ya majiniasi waliowahi kutokea hapa duniani.

Huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Winston Churchill ambaye alifeli mara mbili entrance exam ya Royal Military College, huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Benjamini Franklin, huwezi kuhoji uwezo wa kiakili wa Charles Darwin, hata Albert Einstein ambaye naye hakuwa mzuri darasani na ambaye alifeli entrance exam ya Polytechnic Institute ya Zurish hutathubutu kuhoji uwezo wa ubongo wake.

Good explanation.
 
Hakuna....


Huu uzi unaonekana watu wanakometi tu, kiushidani bila kufikiri kwa kina.,

mkuu utafiti hapa umekometi tu ili kutimiza wajibu(hapo hongera) lakn nakuona umekometi bila kufanya utafiti wowote hata kwenye ubongo au kulejea katika muonekano wa hali ya kawaida.

mkuu utatifi nakuomba fanya utafiti kwa watoto waliozaliwa na wakinamama wanaofanya kazi ya kufundisha shuleni. but remember usiache kuleta feedback

samani mkuu kama nimetumia lugha ya kuuzi.
 
Last edited by a moderator:
Hizo ni exceptions...na unajua plausible reason?
Watu wenye akili kupitiliza huwa hawako conventional...akiambiwa kulia yeye anasema kushoto...
Kwa hiyo wana mtazamo tofauti...na darasani ukiwa tofauti na anayetunga na kusahihisha lazima ufeli...

Ndio maana wanafunzi wengi wanamezea utofauti wao mpaka wamalize shule...

Hapo ndio kufeli kunaweza kukawa ni sababu ya akili zilizozodi badala ya ujinga...ila watu wa hivyo si wengi...

Ndiyo maana hatupati watu wa bunifu kwasababu ya mawazo kama haya. Yaani wewe unashindwa hata kutambua vipaji mbalimbali vya wanao na kuwaendeleza na kuwaguide ipasavyo unabaki kuwamezesha jambo moja tu darasani. Watu jiniasi duniani ni wale walii fika mahali wakatumia mazingira yao vizuri bila kuwaza grade zao darasani beside formal education is narrow na inaua vipaji vya watoto na uwezo wao wa kufikiri because always they think what they are going to attain in they final exams.
 
Back
Top Bottom