Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Kuna uhusiano wa ki-urithi kati ya uwezo wa akili ya mtoto na uwezo wa akili ya mama.wataalam wanadai kuwa mtoto ana uwezekano mkubwa wa kurithi akili ya mama kwa 75% na baba humrithisha mtoto kwa 25% tu.kwa hiyo ukioa mke butu una hatari ya kuzalisha mabumunda.teh teh. Namaanisha watoto wenye uwezo mdogo ea i.q.

Mimi sina hakika sana na hizo tafiti zinazodai akili ya mtu 75% hurithi toka kwa mama. Nionavyo ni hakuna njia ya kujua kwa uhakika kama hivyo ndivyo ama sivyo.

Majuzi juzi tu hapa Lisa Ling wa CNN alikuja na documentary yake This is Life With Lisa Ling na moja ya mada katika hizo docus ilikuwa "A sperm bank just for supersmart people".

Kwa kifupi ni kwamba, hiyo sperm bank ilikuwa inakusanya mbegu za wanaume ambao ni majiniasi na kuzihifadhi na kuziuza kwa wanawake wanaotaka kuzaa watoto wenye akili.

Cheki kipande cha makala ya CNN kilivyosema:
The moms didn't have to be geniuses
They had to be married (although there was an exception made for at least one single mother), but the mothers did not have to take an IQ test or go through any genetic screening.

Binafsi naamini sayansi bado haiko settled kwenye hilo jambo la urithi wa akili. Kwa makala nzima ya CNN bofya hapa.

 
Last edited by a moderator:
labda kwa nchi zenye wanaume wenye mke zaidi ya mmoja...huu utafiti unaweza kuwa more accurate...
Ndio mtajua mtoto akili anatoa kwa baba au mama yake...
 
sasa nimegundua kwann wale wanaotafutaga wachumba humu huwa wanazingatia sn kiwango cha elimi, utackia awe na elimu angalau kuanzia kdt cha4 na kuendelea, wengine awe na elimu ya degree moja na kuendelea, kumbe sababu huwa ni hii!!!
 
mimi sina hakika sana na hizo tafiti zinazodai akili ya mtu 75% hurithi toka kwa mama. Nionavyo ni hakuna njia ya kujua kwa uhakika kama hivyo ndivyo ama sivyo.

Majuzi juzi tu hapa lisa ling wa cnn alikuja na documentary yake this is life with lisa ling na moja ya mada katika hizo docus ilikuwa "a sperm bank just for supersmart people".

Kwa kifupi ni kwamba, hiyo sperm bank ilikuwa inakusanya mbegu za wanaume ambao ni majiniasi na kuzihifadhi na kuziuza kwa wanawake wanaotaka kuzaa watoto wenye akili.

Cheki kipande cha makala ya cnn kilivyosema:


Binafsi naamini sayansi bado haiko settled kwenye hilo jambo la urithi wa akili. Kwa makala nzima ya cnn bofya hapa.



inawezekana maana nakuna kipimo kaalum cha kupima i.q ila wanajaribu tu kuhusianisha kati ya umri wa makuzi na umri wa akili mf. Mtoto mwenye umri wa makuzi miaka kumi na nne akichezea matope inasemekana umri wake wa akili huwianishwa na umri wa mtoto wa miaka 3 ambaye ndiye anastahili kuchezea matope.na hivyo i.q ya mtoto yule itawekwa kwenye kundi la iq za chini.(hapa hakuna kamashine ka kupimia teh teh.)
 
Last edited by a moderator:
inawezekana maana nakuna kipimo kaalum cha kupima i.q ila wanajaribu tu kuhusianisha kati ya umri wa makuzi na umri wa akili mf. Mtoto mwenye umri wa makuzi miaka kumi na nne akichezea matope inasemekana umri wake wa akili huwianishwa na umri wa mtoto wa miaka 3 ambaye ndiye anastahili kuchezea matope.na hivyo i.q ya mtoto yule itawekwa kwenye kundi la iq za chini.(hapa hakuna kamashine ka kupimia teh teh.)

Mimi nadhani ni game of chances tu. Kwa sababu, kama nilivyotolea mfano hapo awali, nilikuwa na jirani ambao wazazi wote wawili ni maprofesa tena kwenye fani za sayansi lakini watoto wao hata common sense hawakuwa nazo achilia mbali akili za darasani.

Na nina dada-binamu ambaye mama yake hata kusoma vizuri hajui lakini sasa hivi huyo binti yupo chuoni akisomea shahada ya usanifu majengo. Mdingi wake naye si mwenye 'akili' nyingi kivile - ni mjeda tu wa V tatu.

Sasa hapo utaona kabisa kuwa huyo binti hakurithi toka kwa mama wala baba. Who knows karithi toka kwa nani.

Halafu, sidhani kama ni lazima sana kurithi akili toka kwa mtu. Nadhani hata wewe mwenyewe tu DNA yako inaweza ikawa configured kihivyo, kwamba ukawa na maakili mengi tu.

Pamoja na hayo, bado naamini katika uwezekano wa mtu kurithi akili kutoka kwa wazazi wote wawili kuwa ni mkubwa zaidi kuliko kurithi kutoka kwa babu au bibi au hiyo ya DNA yako mwenyewe.
 
Huu uzi unaonekana watu wanakometi tu, kiushidani bila kufikiri kwa kina.,

mkuu utafiti hapa umekometi tu ili kutimiza wajibu(hapo hongera) lakn nakuona umekometi bila kufanya utafiti wowote hata kwenye ubongo au kulejea katika muonekano wa hali ya kawaida.

mkuu utatifi nakuomba fanya utafiti kwa watoto waliozaliwa na wakinamama wanaofanya kazi ya kufundisha shuleni. but remember usiache kuleta feedback

samani mkuu kama nimetumia lugha ya kuuzi.

Pamoja sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Kisayansi ndio...
Japo watu wanaweza kupinga...
Unajua kuna wanawake wana akili lakini hawakuwa na access na shule...
Hivyo usiseme mimi nina akili lakini mama yangu si msomi...

Nilisoma article nyingi tu zina prove kuwa akili ya mtoto inatoka kwa mama...
Ina maana baba hana mchango wowote kwenye akili. Huwa wanasema mama anachangia nusu ya chromosomes na baba nusu kufanya 46 ambako humo kuna kila kitu.
 
Ina maana baba hana mchango wowote kwenye akili. Huwa wanasema mama anachangia nusu ya chromosomes na baba nusu kufanya 46 ambako humo kuna kila kitu.
ndio hivyo tena...
Nimekumbuka tulikuwa na kaka mtukutu...
Baba alikuwa anasema tabia za wajomba zake hizi...
Sie tulokuwa na akili anasema tumerithi kwake...
Hao ndio wanaume...
Mazuri yakwao...mabaya ya wake zao...

Ila mimi kwa observation yangu watoto wa mke kilaza nao wanakuwa kilaza...
Kuna baba alikuwa jirani yetu...
Kichwa kweli...lakini watoto kichwani hamna kitu...nilikuwa nikimuangalia nakumbuka hii theory...
Huyu mbaba alioa jimama la magomeni...ukimwona mkewe utasema ngingi la wapi kumbe mke wa mtu...
Na alikuwa sugar mummy muonga pesa za mumewe...navyoandika alisha rest in peace...
 
Ina maana baba hana mchango wowote kwenye akili. Huwa wanasema mama anachangia nusu ya chromosomes na baba nusu kufanya 46 ambako humo kuna kila kitu.

Wazazi wote wana mchango kwa mtazamo wangu, kwani mgawanyo wa DNA huwa ni 50% kutoka kwa kila mzazi.

Mtaalamu mmoja anasema hivi:

So children have 50% of each of their parents' DNA, but that doesn't translate into 50% of their traits. Which parent a child most resembles is basically down to chance, but their overall genetic make-up has an equivalent contribution from each parent. A child is no more likely to resemble their father than their mother.

Umeona hiyo ya 'chance'? Niliisema awali hiyo!

Na hata sayansi nayo haina majibu ya uhakika kuhusu hili suala la akili.

Tafiti nyingi ukizisoma, kwa kuangalia lugha na maneno yatumiwayo, utagundua kuwa hili suala bado halijapatiwa majibu ya uhakika.

Na hata hizo tafiti zinazotoa madai ya kwamba watoto hurithi kiasi kikubwa cha akili kutoka kwa mama, ni si watoto wote bali ni wale wa kiume tu ambao huonekana kurithi akili zao toka kwa mama (ingawa bado hakuna ushahidi wa kutosha kuhitimisha pasi na shaka).

Ona hiki kipande cha habari kutoka gazeti la Daily Mail:

Thank your parents if you're smart: Up to 40% of a child's intelligence is inherited, researchers claim
  • New estimate is lower than those given by previous studies
  • Researchers analysed DNA and IQ test results from 18,000 children
  • They suggest a range of genes may affect intelligence cumulatively

Hao wanasema 'up to 40%' ndiyo tunarithi. Kuna wengine hudai ni asilimia 70 na kitu. Wengine hadi asilimia 80! Huo ni ushahidi tosha kwamba hili suala bado halina majibu ya uhakika.

Habari inaendelea hivi:

Up to 40 per cent of a child's intelligence is passed down from the parents, according to a new study.
The finding from the largest ever genetic study of childhood intelligence adds yet more fuel to the debate over whether intelligence is a product of nature or nurture.

Using genetic data and IQ scores of thousands of children from four countries, researchers from the University of Queensland found attempted to separate out the environmental effects.

They found that between 20 and 40 per cent of the variation in childhood IQ is due to genetic factors, less than the 40 to 50 per cent suggested by previous research.

Kama tunaweza kurithi kimo, mfanano wa sauti, haiba, tabia, sura, maumbile, na sifa zingine bainishi, basi sina shaka kuwa hata akili nazo kwa kiasi fulani huwa tunarithi. Uhakika wa kwamba tunarithi toka kwa nani, hiyo huwa ni bahati tu.

Kwa mfano tu, kuna wasichana ambao huwa hawafanani kabisa mama zao lakini wanafanana sana na baba zao. Na kuna wavulana ambao huwa wanafanana sana na mama zao na hawafanani hata kidogo na baba zao. Kuna watoto wengine huwa wanafanana na wazazi wote wawili. Na kuna watoto ambao huwa hata hawafanani kabisa na wazazi wao.

Kwa hiyo, haya huwa ni mambo ya chance zaidi. Lakini chances hizo huongezeka pale unapokuwa na vitu viwili vyenye sifa bainishi zinazofanana, mfano wazazi wote wawili wakiwa warefu basi uwezekano wa watoto wao kuwa warefu ni mkubwa zaidi kuliko wazazi ambao mmoja ni mfupi na mwingine ni mrefu.

Kwenye akili na kwenyewe nadhani kutakuwa ni hivyo hivyo. Wazazi wote wawili wakiwa vizuri kichwani basi uwezekano wa watoto nao kuwa vizuri kichwani unaongezeka (ingawa si guarantee).

Source
 
Kama binti kilaza na wewe kilaza, definitely mtoto atakua kilaza! Ila ukiwa genius basi watoto watakuwa size ya kati na wachache vilaza na wengine magenius
We hujawahi shangaa watoto wa mama professor na baba professor wanakuwa magenius, ila ikitokea wamepata kilaza anakuwa kilaza kwelikweli

Maelezo yako yanapingana,mfano ulioutoa wa mke prof na mme prof na maelezo yako kwenye sentensi ya kwanza yanapingana.

Mama prof baba prof mtoto kilaza anatoka wapi?
 
Thank your parents if you're smart: Up to 40% of a child's intelligence is inherited, researchers claim.
Up to 40 per cent of a child's intelligence is passed down from the parents, according to a new study.

The finding from the largest ever genetic study of childhood intelligence adds yet more fuel to the debate over whether intelligence is a product of nature or nurture.
Using genetic data and IQ scores of thousands of children from four countries, researchers from the University of Queensland found attempted to separate out the environmental effects.

They found that between 20 and 40 per cent of the variation in childhood IQ is due to genetic factors, less than the 40 to 50 per cent suggested by previous research.

Dr Beben Benyamin, from the University of Queensland, told ABC: 'This estimate from DNA information is lower than family studies, but it is consistent with the conclusion childhood intelligence is heritable.'

Dr Benyamin and his colleagues analysed DNA samples from 18,000 children aged six to 18 from Australia, the Netherlands, the UK and the U.S, along with their IQ scores.

They looked for any correlations between patterns of differences in the youngsters' DNA with patterns of differences in their IQ.

Findings showed that a gene known as FNBP1L was significantly linked to childhood intelligence. The same gene had previously been shown to be the most significant gene in predicting adult intelligence.
Usually when looking at how genetic factors influence individual traits scientists prefer to look for gene variants known as single-nucleotide polymorphisms (SNPs), as these give more precise genetic information, ABC reported.

However, Professor Benyamin said, the study did not find any single SNP gene variant that could strongly predict childhood intelligence.
'But when we looked at the combined effect of all SNPs we can estimate the contribution of genetics to be about 20 to 40 per cent of the difference in IQ,' he said.

That means it could be many genes that contribute to intelligence in children, with each having a small, but cumulative effect, the study suggests.

Understanding the factors influencing intelligence is important since IQ is a good predictor for lifespan, educational achievement and adult income, said Professor Benyamin.

The findings may also help researchers to better understand intellectual disability, he added.

Hayo mambo siyo mepesi hivyo, soma zaidi Thank your parents if you're smart: Up to 40% of a child's intelligence is inherited, researchers claim | Daily Mail Online
http://www.nature.com/mp/journal/vaop/ncurrent/full/mp2014105a.html
 
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja. Otherwise kila mama intelligent angeproduce watoto WOTE intelligent.
 
Hapa najisemea mimi sio sayansi........
Kwa sura na baadhi ya tabia kwa baba but asilimia kubwa ya akili nimetoa kwa mama na hata nifanyayo mengi nimefuata kwake...........................
 
Kuna familia mtoto mmoja kipanga na wanaobaki wote ni vilaza kwelikweli. Naungana na Nyani Ngabu kwamba hii ni game of chances tu.
 
Last edited by a moderator:
Je ni haki kutumia matokeo ya darasani/shule kama njia pekee ya kujua intelijensia ya mtu?

nimependa sana jibu lako mkuu, ur spot on first uhusiano wa akili kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto upo infact si mama pekee bali wote, ila pia kupima kwa matokeo ya darasani akili si sawa maana kuna issue ya mazingira nk so sio sahihi kumjudge mtu kwa matokeo ya darasan alone ingawa matokeo ya darasan ndio universal accepted way kwa sasa so its challenge!!!
 
Back
Top Bottom