Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Habari.

Niwatakie mapumziko mema ya uhuru wa nchi yetu pendwa Tanganyika,

Turudi kwenye mada,nataka kujua kama kuna uhusiano wa akili (intelligence) mama na mtoto,yaani kama uwezo wa akili wa mama unaweza kua na madhara(effects/impacts) kwa mtoto atakae mzaa.

Kuna binti niko nae kama rafiki,uwezo wake wa darasani ulikua mdogo sana,akili ya darasani ni ndogo sana lakini ni mzuri sana kwa umbile na mwenendo/tabia..

Je anaweza akaja kuzaa watoto wenye akili ndogo darasani kama yeye au watakua tofauti?

Karibuni.
Haiwezekani kuwa mama ana akili ndogo na mtoto atakaye zaliwana na huyu mama awe kuwa na akili ndogo Mkuu Kichwa Ndio Mtu Kwa mawazo yangu akili kila mtu anazaliwa nayo akili huwezi kurithi kwa baba wala kwa mama maradhi ndio unaweza kurithi au maumbile au uso laikini akili kila mtu anazaliwa nayo kwa fikra zangu.

Bibie Mtende hujambo? nime kumiss siku nyingi ulikuwa upo wapi bibie?
 
Kwa mtu smart inapasa aangalie mambo mengi kabla ya kuoa/kuolewa ili kuepuka ukilaza sasa sijui kama hili ni practical

Ni practical kwa baadhi ndio maana unaweza sikia, "ile kapo hawaendani kabisa" kumbe jamaa kalenga madini!!!
Au utasikia "mkewe mzuri ila anatoka na mdada hana mbele wala nyuma"!!!
 
Kisayansi ndio...
Japo watu wanaweza kupinga...
Unajua kuna wanawake wana akili lakini hawakuwa na access na shule...
Hivyo usiseme mimi nina akili lakini mama yangu si msomi...

Nilisoma article nyingi tu zina prove kuwa akili ya mtoto inatoka kwa mama...



Nadhani mtoto kwa mama anarithi ujanja zaidi lakini akili iko kwa baba zaidi.
Ndio maana mama anadili zaidi na tabia za mtoto hivyo kama mama atakua mshamba na mtoto naye atakua mshamba.

Kuna mzee mmoja alizaa watoto wengi kwa kuingilia ndoa za watu lakini watoto wote aliokua amezaa kuanzia kwenye familia yake mpaka nje walikua na akili sana.
Kuna nyumba nyingine alikua amezaa mtoto mmoja kati ya nane na yule wa kwake pekee ndio alikua yuko very bright katika kila kitu.

Ndio maana hata wayahudi wanaozaliwa kwa upande wa baba wanakua na akili zaidi.
 
Habari.

Niwatakie mapumziko mema ya uhuru wa nchi yetu pendwa Tanganyika,

Turudi kwenye mada,nataka kujua kama kuna uhusiano wa akili (intelligence) mama na mtoto,yaani kama uwezo wa akili wa mama unaweza kua na madhara(effects/impacts) kwa mtoto atakae mzaa.

Kuna binti niko nae kama rafiki,uwezo wake wa darasani ulikua mdogo sana,akili ya darasani ni ndogo sana lakini ni mzuri sana kwa umbile na mwenendo/tabia..

Je anaweza akaja kuzaa watoto wenye akili ndogo darasani kama yeye au watakua tofauti?

Karibuni.


Mkuu, pamekuwa na mitazamo mingi sana kuhusiana na IQ ya mtoto in relation to those of his/her parents..

Katika hili kuna mkanganyiko sana, kwa mfano kwa baadhi ya maandiko ambayo niliwahi pitia kipindi cha nyuma, mengi yana point out kuwa kuna nafasi ya mzazi wa kike/mama kumrithisha mtoto IQ kubwa ukicompare na mzazi wa kiume.


Wengine wakasema kwamba when it happens both parents are smart na mtoto akabahatika kureceive pia kutoka kwa baba, mara nyingi hawa watoto huwa exceptional kwa maana smartness/vichwa haswaa..

Sasa nadhani ni vyema na wataalamu nao wakatujuza kama hii kitu ni sawa au si sawa...


Kuna mtu aliwahi sema, akili tunazaliwa nazo na haziongezeki kwa kupanda vidato au kwa njia nyingine, isipokuwa akili uliyozaliwa nayo it can only be sharpen na hapo ndo inaonekana mtu akili eti zimeongezeka kwa mitazamo ya watu
 
unataka kutumia matokeo gani?

Sio njia sahihi na wala matokeo hayatumiki kupima intelligence ya mtu bali kuangalia ni kwa kiasi ameelewa yale aliyofundishwa kwa kuzingatia malengo maalum.
 
Haina ubishi...kama darasani umeenda afu perfomance yako zero...ni ngumu kunishawishi eti una akili...
Hapa utetezi uwe kwa wale walionyimwa elimu kabisa tokana na ubaguzi kijinsia au umasikini...

Intellincy ni multiple.ANAWEZA KUWA ZERO DARASANI LAKINI AKA-EXCEL AS A FOOTBALLER,MUSICIAN, ATHLETICS N.K, STIL5 HE/SHE IS INTELLIGENT.WATU KAMA PELE,MARADONA,MESSI,RONALDO N.K,WANA AKILI KUBWA JAPO WENGI HAWAKUWA SMART DARASANI.AKILI IMEGAWANYIKA BANDUGU, AKILI YA MARKS NI TOFAUTI NA NEWTON ISAA BUT ARE BOTH EXTREME INTELLIGENTS!
 
There is absolute no correlation between the intelligence of a mother to her children. The only close relativity is,mother spend most of their time to influence kids in behavior and growing up skills. Other factors for high intell is influenced by either personal efforts,environment,class and the very first hand surrounding the child submitted to.
All children are born with absolute inhibitor neurons that can make them learn or adapt anything so fast and their capability reduces as they grow old.

This is my personal research !!
 
umeona eeeh mtu kama mambo ya darasani yanampiga chenga huwezi kusema ana iq nzuri
na hata hao wasioenda shule kuna mambo flani flani lazima wanakuwa na utambuzi wa hali ya juu kuthibitisha iq zao

inawezekana sana ndugu.mtu mwenye uwezo mkubwa kiakili kwenye hisabati anaweza kuwa mbaya sana kwenye lugha, na kinyume chake.mwanamuziki kama michael jackson yawezekana alikuwa very poor class lakini genius kwenye mziki.
 
The question should have been whether intelligence is a product of nature or nurture.

Kwa mfano mama yake na Pele au Maradona atakuwa intelligence sana kupita wamama wa wachezaji wengine?

Uko utafiti unadai kuwa intelligence ya wazazi inachangia kwa asilimia 40 tuu, zilizobakia ni mazingira.

But the crucial question, is how do you measure intelligence anyway?
 
Haiwezekani kuwa mama ana akili ndogo na mtoto atakaye zaliwana na huyu mama awe kuwa na akili ndogo Mkuu Kichwa Ndio Mtu Kwa mawazo yangu akili kila mtu anazaliwa nayo akili huwezi kurithi kwa baba wala kwa mama maradhi ndio unaweza kurithi au maumbile au uso laikini akili kila mtu anazaliwa nayo kwa fikra zangu.

Bibie Mtende hujambo? nime kumiss siku nyingi ulikuwa upo wapi bibie?

sijamo,daah hata mie nimekuiss nilikua kwenye mgao wa escrow ndo maana sijaonekana jamvini,rugemarila amenipa mgao wa maana
 
Unataka kuoa mke au akili?? Hivi babako angekuwa na akili kama zako ungekuwepo leo wewe?
hana akili huko darasani amefikaje?
wewe unajua kupima akili ya mtu wewe? kuna watu wameoa wake hawajui hata a,b,c halafu bado life is wonderful..
we mtoto...!!? usirudie tena..
au kama umekasirika kaoe CALCULATOR...escrow we..
 
Back
Top Bottom