Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

Mi sikubaliani na hayo kwani watoto wanarithi tabia kutoka kwa wazazi wote na tena nusu kwa nusu. Pia huwezi pima intelligence ya mtu kwa uwezo wa darasani tu. Intelligence ya mtu inatakiwa ipimwe katika vitu vyote vinavyo mfanya huyu mtu kuishi katika mazingira ya aina zote. Hebu mfano majibu ya profesa wenu muhongo pamoja na ukubwa wa CV yake unaweza sema ni intelligent? Mimi katika kumsikiliza kwangu naona anakosa skill flani ambayo haipatikani darasani. Je? Unasemaje kwa mtu kama Steve jobs ambae hats chuo hakuhitimu utasema alikua less intelligent? Kama Intelligence ingekua inherited kirahisi kama msemavyo basi leo tungekua tunawasikia watoto wa akina Eisten tu na watu wengine kama wao. Acheni kumdanganya mtoa mada. Intelligence ya mtu hutegemea mazingira uliyo Julia muhusika.

Kwa hiyo kuwa intelligent kwako lazima uwe good public speaker? maana naona unamponda Muhongo kwa kumsikiliza...basi sawa
 
Give me a break...vipaji bongo???kwa mazingira yapi ya ku apply hivyo vipaji????

Yani mwanangu wa kiume kabisa anambie mama I want to be a designer...ntamtoa dima...

Tuache unafiki...kila mzazi hapa anataka mtoto wake asome...sababu future haiko certain...labda huko first world...

Ndiyo maana hatupati watu wa bunifu kwasababu ya mawazo kama haya. Yaani wewe unashindwa hata kutambua vipaji mbalimbali vya wanao na kuwaendeleza na kuwaguide ipasavyo unabaki kuwamezesha jambo moja tu darasani. Watu jiniasi duniani ni wale walii fika mahali wakatumia mazingira yao vizuri bila kuwaza grade zao darasani beside formal education is narrow na inaua vipaji vya watoto na uwezo wao wa kufikiri because always they think what they are going to attain in they final exams.
 
Kwa vigezo vyao alifeli lakini inaonekana walitaka aende shule ambayo inamfaa zaidi..

Kwa kusema "inaonekana walitaka aende shule ambayo inamfaa zaidi" unakuwa unadokeza ni kama vile alifanyiwa hila na akafelishwa.

Sasa nikuulize, kwa nini "inaonekana" hivyo? Na anayeona hivyo hivyo ni nani na nani? Au ni wewe tu?
 
Kwa hiyo kuwa intelligent kwako lazima uwe good public speaker? maana naona unamponda Muhongo kwa kumsikiliza...basi sawa

Njia moja wapo ya kukufahamu wewe ninani is through what you speak in public. Nimeandika mengi umeliona hilo tu?
 
Uhusiano unaweza kuwepo na usiwepo.

Na si kwa mama tu, hata baba, babu, bibi, mjomba, shangazi na wengineo.

Mtu unaweza kurithi akili za babu yako kutoka vizazi kadhaa vilivyopita na unaweza kurithi moja kwa moja toka kwa wazazi.

Ni mambo yasiyotabirika kirahisi ingawa uwezekano wa kurithi kutoka kwa wazazi ni mkubwa zaidi kuliko wazazi wa vizazi vilivyopita.

Hili jibu lingetakiwa kufunga mjadala mzima!!
Halafu wanasema mbeba mabox kumbe ni an undercover genologist and philosopher!
 
Are you referring to me or Muhongo...lol...(maana unaongelea speech na hujawai niona naongea)
You want me to feel shy/ashamed...?
Ungejua unae argue nae kadata ungejaribu kwingine...
Lakini inaonekana unavutiwa na mwandiko wangu...ndio maana umeamua kuni follow...lol

Njia moja wapo ya kukufahamu wewe ninani is through what you speak in public. Nimeandika mengi umeliona hilo tu?
 
Nilisoma article nyingi tu zina prove kuwa akili ya mtoto inatoka kwa mama...

Na pia kuna majarida kadhaa yenye kuhusianisha ukubwa wa nyonga za mwanamke na uwezo wa kiakili wa watoto wazaliwao...

Wenye nyonga kubwa hutoa watoto werevu zaidi ya wale wenye nyonga ndogo...
 
Mmmmnnnnhhh...article nyingi ngapi?
Basi sie black tungeongoza kwa akili duniani...

Umenikumbusha kuna siku tulikuwa na mjadala (wakati wa dinner fulani)...
Rafiki zangu wa nchi fulani Europe ambayo ni ya kifalme wakaanza kusema queen au princess haruhusiwi kuzaa kwa njia ya kawaida...
Na sababu ni imani kuwa kuzaa kwa kawaida kunamuumiza mtoto na hata kuathiri intelligensia yake (kama nakumbuka)
Nilishangaa sana...ila ndio hivyo nchi nyingi za kifalme hawataki mfalme mtarajiwa adhurike...

Wenyewe walikuwa wanacheka wanaona kama funny...

Na pia kuna majarida kadhaa yenye kuhusianisha ukubwa wa nyonga za mwanamke na uwezo wa kiakili wa watoto wazaliwao...

Wenye nyonga kubwa hutoa watoto werevu zaidi ya wale wenye nyonga ndogo...
 
Kama binti kilaza na wewe kilaza, definitely mtoto atakua kilaza! Ila ukiwa genius basi watoto watakuwa size ya kati na wachache vilaza na wengine magenius
We hujawahi shangaa watoto wa mama professor na baba professor wanakuwa magenius, ila ikitokea wamepata kilaza anakuwa kilaza kwelikweli
 
Are you referring to me or Muhongo...lol...(maana unaongelea speech na hujawai niona naongea)
You want me to feel shy/ashamed...?
Ungejua unae argue nae kadata ungejaribu kwingine...
Lakini inaonekana unavutiwa na mwandiko wangu...ndio maana umeamua kuni follow...lol

Siyo wewe nilikua nasema kama itatokea ha ha ha haaa! Napenda ku argue na wadada waliodata kama wewe maana at the end I will learn something. Ila naamini una lugha nzuri tu that's all.
 
Kuna uhusiano wa ki-urithi kati ya uwezo wa akili ya mtoto na uwezo wa akili ya mama.wataalam wanadai kuwa mtoto ana uwezekano mkubwa wa kurithi akili ya mama kwa 75% na baba humrithisha mtoto kwa 25% tu.kwa hiyo ukioa mke butu una hatari ya kuzalisha mabumunda.teh teh. Namaanisha watoto wenye uwezo mdogo ea i.q.
 
je ni haki kutumia matokeo ya darasani/shule kama njia pekee ya kujua intelijensia ya mtu?

i.q hupatikana kwa kuchukua umri wa makuzi/umri wa akili mara 100. Mie naona si halali kwani mtoto anaweza kuwa na skill nyingine ambayo haikupimwa.
 
Nimeshawahi kuweka uzi hapa MMU...

Hiyo article hata mimi nshaiona...
Ila ndio hivyo...najaribu kuwa criticize hao waloiandika...
Maana nikiangalia wanawake wengi wa UK mfano...huwezi tofautisha t.ako, kiuno, na tumbo...lakini wana watoto vichwa...

But hey...nyonga ni nini?...isije kuwa sijaelewa chochote hapa...inaweza kuwa ni upana wa kiuno...lol
 
But hey...nyonga ni nini?...isije kuwa sijaelewa chochote hapa...inaweza kuwa ni upana wa kiuno...lol

Hahaha...nimemaanisha hips sijui kama tafsiri yake nimepatia maana kuna maneno tunayatumia kwa nadra...

Unajua uwezo wa kiakili unaweza kudumazwa au kuboreshwa....

Mimi nadhani sisi hatuna mbinu bora za kuboresha uwezo wa watoto wetu kila si kwamba uwezo wa kiakili ni mdogo...
 
Back
Top Bottom