Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
NNaam" mkuuYah.
Ukijiona uko kwenye state kama ya mleta mada bas jua kuwa
- unaishi kwa malengo na unakimbizana sana kuona malengo yanatimia
- una ratiba yenye mambo mengi sana, yan unaanza siku ukijua unatakiwa kuwa wapi saa ngap kufanya jambo gani. Mara nyingi ukiwa kwenye hali hii unajikuta hata dakika 5 kwako ni muda wa thaman sana.