Je, kuna ukweli kuhusu dunia kwenda kasi?

Je, kuna ukweli kuhusu dunia kwenda kasi?

SI unit ya time ni second. Je second inapatikana vipi?
Tunaona miaka mingi imepita hadi leo kwa mujibu wa sayansi cesium 133 ndo inatumika kupima a pulse of second sawa na 9,192,631,770 Hertz.

Hizo namba ni matokeo ya microwave energy ziki sweep backward and forward na each cycle ina complete exactly kwenye hizo number za frequency.

Kwa mantiki hiyo muda ni ule ule, kinachobadilika ni vile kadri umri unaongezeka tunapunguza mambo ya kutunza as image tofauti na mtoto, na vile vile technology imekuwa hivyo mambo ni mengi inapelekea kukosa focus ndipo tunaona kuwa muda unakwenda kasi sababu ya distraction, mtu anayeishi kwenye msongamano wa watu na anayeishi kwenye utulivu wana experience tofauti ya muda.
Facts, mkuu. Makes some sense.
 
Emb elezea kwa ufupi time dilation mkuu, ukute ndo nachotafuta!
Kwa mujibu wa kanuni za Relativity kama zilivyoelezewa awali kabisa na Albert Einstein, upitaji wa muda ni kitu kinachotegemea vitu kadhaa.

1. Unategemea velocity (special relativity)
2. Unategemea gravity (general relativity)
3. Unategemea frame of reference

1. Velocity

Ukiwa na mapacha Kulwa na Doto wamezaliwa siku moja, Doto akabaki duniani halafu Kulwa akapanda spaceship kwenda nyota iliyopo kwenye mfumo wa Alpha Centauri, Proxima Centauri 4.246 kwa average velocity ya 90% the speed of light (in theory, practically we do not have the technology to reach this speed), kwa kika unit 1 of tine on board the observer on earth will count 2 and a quarter units.

Kwa Doto ataona Kulwa katumia miaka 4.71 kufika Proxima Centauri, kwa Kulwa mwenyewe ataona katumia miaka 2.06.

Kwenda na kurudi Doto ataona Kulwa katumia miaka 9.42 na Kulwa ataona katumia miaka 4.12.

Yani kama Kulwa na Doto wote watakuwa na miaka 20 kabla ya kutenganishwa, wakati Kulwa anarudi, atakuwa na miaka 24.12 wakati Doto atakuwa na miaka 29.42. Kutakuwa na tofauti ya miaka 5.3 katika umri wa watu mapacha waliozaliwa siku moja, tofauti itakayokuwa imesababishwa na time dilation.

2. Passage ya time ukiwa karibu na kitu chenye gravity kubwa inakuwa slower than ukuwa mbali nacho. Ukipanda juu kabisa kwenye jengo la Burj Khalifa time ina flow slower than pale chini, by a very tiny fraction. Kwa sababu pale chini ni karibu zaidi na gravity ya dunia kuliko juu. Gravity ina slow down the passage ya time.

3. Frame of reference. Kwa mtu aliye kwenye spaceship Kulwa, na mtu aliyeachwa dunianiDoto. Mtu aliyekaa juu Burj Khalifa na mtu aliyekaa chini, wote wataona muda unaenda sawa, tofauti itaonekana ukiwalinganisha hawa wstu walio katika frames of references tofauti.
 
Kwa mujibu wa kanuni za Relativity kama zilivyoelezewa awali kabisa na Albert Einstein, upitaji wa muda ni kitu kinachotegemea vitu kadhaa.

1. Unategemea velocity (special relativity)
2. Unategemea gravity (general relativity)
3. Unategemea frame of reference

1. Velocity

Ukiwa na mapacha Kulwa na Doto wamezaliwa siku moja, Doto akabaki duniani halafu Kulwa akapanda spaceship kwenda nyota iliyopo kwenye mfumo wa Alpha Centauri, Proxima Centauri 4.246 kwa average velocity ya 90% the speed of light (in theory, practically we do not have the technology to reach this speed), kwa kika unit 1 of tine on board the observer on earth will count 2 and a quarter units.

Kwa Doto ataona Kulwa katumia miaka 4.71 kufika Proxima Centauri, kwa Kulwa mwenyewe ataona katumia miaka 2.06.

Kwenda na kurudi Doto ataona Kulwa katumia miaka 9.42 na Kulwa ataona katumia miaka 4.12.

Yani kama Kulwa na Doto wote watakuwa na miaka 20 kabla ya kutenganishwa, wakati Kulwa anarudi, atakuwa na miaka 24.12 wakati Doto atakuwa na miaka 29.42. Kutakuwa na tofauti ya miaka 5.3 katika umri wa watu mapacha waliozaliwa siku moja, tofauti itakayokuwa imesababishwa na time dilation.

2. Passage ya time ukiwa karibu na kitu chenye gravity kubwa inakuwa slower than ukuwa mbali nacho. Ukipanda juu kabisa kwenye jengo la Burj Khalifa time ina flow slower than pale chini, by a very tiny fraction. Kwa sababu pale chini ni karibu zaidi na gravity ya dunia kuliko juu. Gravity ina slow down the passage ya time.

3. Frame of reference. Kwa mtu aliye kwenye spaceship Kulwa, na mtu aliyeachwa dunianiDoto. Mtu aliyekaa juu Burj Khalifa na mtu aliyekaa chini, wote wataona muda unaenda sawa, tofauti itaonekana ukiwalinganisha hawa wstu walio katika frames of references tofauti.
Exactly mkuu, japo hii scenario haihusiani na ishu niliyodiscuss kwenye uzi ila tyr nimepata concepts kuhusu muda. Kuna movie nilicheki inaitwa the flash by marvels. wamegusia hio point ya velocity kuwa if you accelerate beyong the speed of light unaweza kufikia hatua ya traverse dimensions za mda, ukarudi na kubadilisha matukio, japo walikuja kugundua dimension ya muda iko multidimensional yaan ukibadilisha a tiny speck of it unaweza jikuta umeingia dimension nyngine tofauti kabis na ile uliyopo. Japo hizi zinaonekana kama fictions ila ukiangalia kwa jicho la physics zina make sense japo kwa mbali sana.

Point zako zote zipo sawa(variations of time based on velocity, gravity, and reference point)sema, kwa inshu yangu itakuwa psychological kama ulivyo eleza.
 
Ndo maana nikasema alienotice hilo, masaa hayawezi kubadilika.
Kwa mawazo yangu ni kuwa kadiri unavyokua ndiyo ''unaona'' masaa yanazidi kwenda mbio. Nakumbuka nilipokuwa Primary school nilikuwa naona siku haziendi kabisa. Sekondari zikakimbia kidogo. Nilipoanza maisha ndiyo miaka inakatika mpaka natamani igande kwanza.
 
Kwa mawazo yangu ni kuwa kadiri unavyokuwa ndiyo ''unaona'' masaa yanazidi kwenda mbio. Nakumbuka nilipokuwa Primary school nilikuwa naona siku haziendi kabisa. Sekondari zikakimbia kidogo. Nilipoanza maisha ndiyo namna mika inakatika mpaka natamani igande kwanza.
The same to me, kumbe ni psychological hiyo kuna member kaeleza hapa Kiranga kuwa perception ya mda inaendana na ukuaji so mm nimeielewa, kuwa kadri unavyokuwa rate ya kuperceive mkimbio wa muda nayo inaongezeka
 
hata kama kuna effect au mabadiliko katika revolution basi itachukua miaka mingi sana kuweza kuobserve difference ya muda. kwa huo umri wako usiofika hata 30 years 😂(joking). huwezi notice hiyo difference iliyotokea. hiyo ni perception yako tu mkuu .
 
hata kama kuna effect au mabadiliko katika revolution basi itachukua miaka mingi sana kuweza kuobserve difference ya muda. kwa huo umri wako usiofika hata 30 years 😂(joking). huwezi notice hiyo difference iliyotokea. hiyo ni perception yako tu mkuu .
For sure, it's a psychological thing. Kuna member kaelezea tayari 🤣
 
We define a day as 86,400 seconds, or 24 hours – the time it takes for Earth to rotate once. However, the Earth doesn’t rotate perfectly uniformly. Usually, the Earth’s rotation is actually slowing down so that the length of the day increases by about 1.8 milliseconds per century, on average. This means that 600 million years ago a day lasted only 21 hours.

In 2020 scientists made a startling discovery. They found that, instead of slowing down, the Earth has started to spin faster. It is now spinning faster than at any time in the last 50 years. In fact, the shortest 28 days on record all occurred during 2020.

As yet, scientists are not entirely sure what is causing this increase in Earth’s rotation rate, but some have suggested it could be due to the melting of glaciers during the 20th Century, or the accumulation of large quantities of water in northern hemisphere reservoirs. However, experts predict that this speeding

 
In 2020 scientists made a startling discovery. They found that, instead of slowing down, the Earth has started to spin faster. It is now spinning faster than at any time in the last 50 years. In fact, the shortest 28 days on record all occurred during 2020.

As yet, scientists are not entirely sure what is causing this increase in Earth’s rotation rate, but some have suggested it could be due to the melting of glaciers during the 20th Century, or the accumulation of large quantities of water in northern hemisphere reservoirs. However, experts predict that this speeding

Does that affect our time perception? I've read about speeding too but was about the concept of universe's expansion...
 
Hii inategemea na situation.
Mfano Wenye madai au matarajio Fulani mazuri, huona tarehe haziendi, Hii ni tofauti na wanaodaiwa (Wenye madeni) 😂
 
Hii inategemea na situation.
Mfano Wenye madai au matarajio Fulani mazuri, huona tarehe haziendi, Hii ni tofauti na wanaodaiwa (Wenye madeni) 😂
Imekaa ki theory zaidi🤣🤣
 
Kadri miaka inavyozidi kwenda, pia speed ya muda unaongezeka. Siku hizi unashangaa tu kumekucha hujakaa sawa giza hilo.

Je kuna uwezekano dunia iinazunguka kwa kasi with time, I mean kadri decades na centuries zinavyo ongezeka na earth's rotation or revolution pia inaongezeka?

Ma astrologists na wenye kuliona hili leteni experiences.
saivi tuu labda mambo ya kufanya umekua nayo mengi kuliko zamani na muda hautoshi kwaiyo unaona muda unaenda Kasi kuliko mambo ya kufanya
 
Does that affect our time perception? I've read about speeding too but was about the concept of universe's expansion...
Kwani siku ni nini ? Kama dunia huwa inapunguza mwendo kama article inavyosema na miaka 600 iliyopita siku ili-last kama 21 hours na sasa for some reason imeongeza kasi basi ule mzunguko badala ya kuchukua 86,400 seconds, or 24 hours inachukua muda tofauti kwahio saa nane na nusu ya jumapili ambayo ingebidi iwe according to mwendo wa miaka mia sita huenda kwa kasi ya sasa ikawa ni saa 10 au vice versa....
 
Kwani siku ni nini ? Kama dunia huwa inapunguza mwendo kama article inavyosema na miaka 600 iliyopita siku ili-last kama 21 hours na sasa for some reason imeongeza kasi basi ule mzunguko badala ya kuchukua 86,400 seconds, or 24 hours inachukua muda tofauti kwahio saa nane na nusu ya jumapili ambayo ingebidi iwe according to mwendo wa miaka mia sita huenda kwa kasi ya sasa ikawa ni saa 10 au vice versa....
Kwenye hizo concept ukiziaplly hazileti realism ndo maana wakawa kama wana predict hivi. Ila kuna member kaeleza jinsi time iko affected na varieties kama velocity, gravity na reference point.
 
Kwenye hizo concept ukiziaplly hazileti realism ndo maana wakawa kama wana predict hivi. Ila kuna member kaeleza jinsi time iko affected na varieties kama velocity, gravity na reference point.
Tukijibu swali moja baada ya jingine kuhusu dunia kwenda kasi au slow ukweli ndio huo mzunguko wake haujawahi kuwa uniform na kwa kipindi kirefu watu walifahamu kwamba inapunguza kasi ila sasa hivi kasi imeongezeka ingawa ni negligible....

Kwa watu sasa hivi kuona kwamba muda hautoshi (hivyo unakwenda kasi) ni kwamba mambo yamekuwa mengi muda mchache...

Nadhani kama ulishakuwa kwenye paper mfano hesabu, la masaa matatu unashusha nondo upo swali la nne kati ya maswali ishirini alafu mwalimu anakwambia bado saa moja na nusu nadhani unaweza ku-relate jinsi utakavyoshangaa ni wapi dakika zimepotea.....

Ila tukiongea precisely tunaweza kuchunguza ukweli wa kwamba saa (clocks) kwenye equator na poles haziendi kwa speed sawa.....
 
Tukijibu swali moja baada ya jingine kuhusu dunia kwenda kasi au slow ukweli ndio huo mzunguko wake haujawahi kuwa uniform na kwa kipindi kirefu watu walifahamu kwamba inapunguza kasi ila sasa hivi kasi imeongezeka ingawa ni negligible....

Kwa watu sasa hivi kuona kwamba muda hautoshi (hivyo unakwenda kasi) ni kwamba mambo yamekuwa mengi muda mchache...

Nadhani kama ulishakuwa kwenye paper mfano hesabu, la masaa matatu unashusha nondo upo swali la nne kati ya maswali ishirini alafu mwalimu anakwambia bado saa moja na nusu nadhani unaweza ku-relate jinsi utakavyoshangaa ni wapi dakika zimepotea.....

Ila tukiongea precisely tunaweza kuchunguza ukweli wa kwamba saa (clocks) kwenye equator na poles haziendi kwa speed sawa.....
Facts, kuna nadharia nyingi ambazo scientists wenyewe zinawachenga, Albert Einstein alishawahi kusema time is but a stubborn illusion so inchanganya sana. Hata research zao zina vary.

Psychological facts pia kama swala la mtihani ulivyoeleza watu wengi wana relate...

hasa kwenye point yako ya mwisho. Clocks differ kwenye poles na equator. Sio mara ya kwanza kusikia hilo
 
Facts, kuna nadharia nyingi ambazo scientists wenyewe zinawachenga, Albert Einstein alishawahi kusema time is but a stubborn illusion so inchanganya sana. Hata research zao zina vary.
Nadhani tukiacha hilo na kwenda practically kwa kuweka saa moja kwenye poles nyingine kwenye equator, tunaweza tukaja na jibu rahisi tu kwa kuona kwamba baada ya muda majira zitakazosomeka zitakuwa tofauti..., Lakini utofauti huo haupo sababu dunia imeamua kuchukua muda kutoka kwenye reference moja ambapo time nyingine zote zina-refer hapo.... Ni kama tulivyoamua ku-regulate mwaka / miaka kila baada ya miaka minne kwa kuongeza siku moja ili ule muda dunia unaochukua kulizunguka jua ile robo isiongezeka na kuleta madhara ya seasons.....

These are all man made for our convenience.....
 
saa yako ya mkononi naye huwa unarekebisha mara kwa mara?
 
Back
Top Bottom