ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tabia inapimwa Kwa vyeti vya taaluma?Usaili wa siku moja unatosha kumpima mtu kuliko vyeti yake vya kitaaluma? kumbuka katoka form4, six, cheti au diploma, degree, je dk 30 za usahili zinatosha kweli kumpima mtu huyo??
Kwangu mimi sio kitu cha ulazima sababu kwa mwalimu usaili wake sio wa mtu na mtu ila ni mwalimu mwenye na mwanafunzi wake je unazani watakaomfanyia mwalimu wa GEOGRAPHY au CHEMISTRY watakuwa watu wa professional wa ilo somo au hayo masomo? kama jibu ni ndio basi serikali inatumia gharama nyingi kupanga bajeti kwa kitu ambacho wanamnufaisha mtu mmoja na kufanya duplication of ajira kama mwalimu wa geo ana anaweza kuajiriwa utumishi na shuleni at the same time? na kama jibu ni hapa basi kufanyiwa interview na mtu ambae sio professional wa ilo somo basi sio kupata watu sahihi ila ni kupata mtu anahitajika na mtu na sio taasisi flani au serikali.Leta hoja yako, ijikite kwenye
1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.
Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe usaili wakati kaujiriwa kama ilivyo kada zingine
Kusoma na kuwa na vyeti hakutoshi moja kwa moja kwenda kuajiriwa. Anayeajiriwa ni mtu na sio vyeti, vyeti ni viambatanisho tu kuthibitisha kuwa mhusika aliwahi kupitia mafunzo fulani na kufuzu. Vyeti vinaweza kutumika kama tiketi tu ya kuingia kwenye foleni ya kwenda kwenye usaili, lakini uwezo wako ndio utakupa ajira.Huo ni usumbufu tu. Eti usaili wa mahojiano ufanyikie mkoa ulioomba ukafanye kazi( Kwa afya). Si mngesema tu utafanya kazi huko huko unakoishi ili uombe huko huko na usaili ufanyikie huko huko. Alafu Kaa ukijua chimbuko la usaili ni kukwepa lawama tu hakuna kingine. Mfano wewe umesoma uhasibu sijuwi astashahada, stashahada au shahada Kwa kuwa serikali Haina uwezo au hata ubunifu, ikafanya pawe na usaili ili hata ukiendelea kuwa jobless ibainike wewe uli fail paper la interview au kingine kinachofanana na interview.
unaweza kuwa na hoja ila hoja yako ikalenga kama ukanamizajii mtu kasoma miaka minne au mitatu chuo afu waliomfundisha uliwaamini na kuwapa mandatory ya kumtarain huyo mtu leo hii utamkashifu vip mtu kuwa vyeti vyake havitoshi wakati wew ndo uliajiri watu wa kumtrain?? bora ungesema hivi interview ni muhimu sababu nafasi ni chache ili kuwapunguza nyia rahisi ni kufanya interview.Kusoma na kuwa na vyetu hakutoshi moja kwa moja kwenda kuajiriwa. Anayeajiriwa ni mtu na sio vyeti, vyeti ni viambatanisho tu kuwa mhusika aliwahi kupitia mafunzo fulani na kufuzu. Vyeti vinaweza kutumika kama tiketi tu ya kuingia kwenye foleni ya kwenda kwenye usaili, lakini uwezo wako ndio utakupa ajira.
Binafsi usaili nauunga mkono ila sio wa multiple choice ya dk 40 at least mahojiano ya mdomo na practicalHakuna hata sababu ya msingi ya kufanya usaili tofauti na kukwepa lawama za majobless
yes formative assement et unamfanyia mwalimu na watu wa afya unasema unataka watu bora tuko serious kwelii??? au ndo kutaka taifa liwe la kitapelitapeli tu?? sababu kinachofata hapo ni rushwa na sio kufanya usailiBinafsi usaili nauunga mkono ila sio wa multiple choice ya dk 40 at least mahojiano ya mdomo na practical
Huwezi kupima umahili wa mtu kwa kutumia formative assessment huo ni uwongo
unajibu lakin utakuwa umetumia mihemko sana bila kuja na hoja mkuuu,, swali ni kwamba interview ya nurse mnaongea tu ndani ya dk tano unasema huyu nimepata muuguzi bora mkienda kupewa dawa za kichwa mkapewa za kifafa ndo mtaelewa usaili ulikuwa hauna maana yyte kwa hizi kada mbiliMbona hizi kelele zimeanzia kwenu waalimu wakat tangu kitambo watu wa kada zngn walikuwa wanafanya usaili na hawajawahi kulalamika?
Mwajiri anataka kuthibitisha wewe mwenye vyeti una upeo na maarifa kiasi gani kufaa katika kazi zake.Leseni zao zinakuja hai Kwa muda Gani?
Unahitaji kuelewa kua Kila mwaka Kuna CPD (Continuous medical/Pharmaceutical education na CME zinafanywa) na wanataaluma hupimwa ujuzi wao na kama wako below wanafutiwa leseni zao.
Kama wako assessed Kila mwaka na bodi husika ya Nini USAILI. Mwajiri anahitaji kujua Nini kwenye interview wakati mamlaka/bodi husika inatambua wanataaluma wao wenye sifa ya kuajiriwa?
Mkuu huyo jamaa sio kuwa haelewi ila analeta ligi za kada na kujimwambafai na kujiona kada yake ni bora kuliko za wengine analeta ushabiki na sio kujadili kwa hojaunajibu lakin utakuwa umetumia mihemko sana bila kuja na hoja mkuuu,, swali ni kwamba interview ya nurse mnaongea tu ndani ya dk tano unasema huyu nimepata muuguzi bora mkienda kupewa dawa za kichwa mkapewa za kifafa ndo mtaelewa usaili ulikuwa hauna maana yyte kwa hizi kada mbili
usaili wa afya ni very very intersive if serikali ikiamua kusema tunaka watu makini lakini sio wa kufanya mtiani wa multiple choice na oral kuulizwa 5 uestion only
mwalimu uwezi kumfanyia usaili chumbani kama mnatongozana mwalimu apelekwe darasani afanye maandalizi ya somo husika ndo utajua kweli huyu ni mwalimu au huyu kagushiiii
Inaonekana una msongo wa mawazo chuki na kukukosa Ajira, hii mada haitaji mihemko hata kidogo labda nikuambie tu baada ya hili zoezi hakutakuwa na usaili tena ni sehemu ya majaribio tu Kuona ni namna gani sahihi ya kuweza kutafuta watu kuajiri ..Utumishi shikilieni hapo hapo, hakuna kada kuajiriwa bila usaili.
Kwan kada ya ualimu na afya wana u-special upi mpaka wasifanye usaili wakati kada zingine zinafanya usaili?
Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie hata kidogo.
Shida sio assessment, shida ni aina gani ya assessment tipo choice halijawahi ku assess umahili wa mtu kwenye kutibu mgonjwa wala kufundisha mwanafunziMwajiri anataka kuthibitisha wewe mwenye vyeti una upeo na maarifa kiasi gani kufaa katika kazi zake.
Kwa kifupi sana, vyetu havitoshi kujieleza kuhusu upeo na maarifa aliyonayo mtu kwa wakati huu.
Upo sahihi katika hili.. Idadi kubwa ha wahitimu na uchache wa nafasi za AjiraKwa sasa waombaji ni wengi mno sasa kwenye ushindani kama huo kila mtu anataka hizo ajira usaili ndio namna pekee ya kuweka usawa wa kupata nafasi kutokana na majibu ya usaili wenye score nzuri za usaili watapata ajia ila kama nafasi za ajira ni 50 na waombaji ni 10 hapo hakuna maana yeyote ya usaili.
Ndugu yangu, fahamu tu kusoma na kupata vyeti ni jambo moja, na kuajiriwa ni jambo lingine tofauti kabisa.unaweza kuwa na hoja ila hoja yako ikalenga kama ukanamizajii mtu kasoma miaka minne au mitatu chuo afu waliomfundisha uliwaamini na kuwapa mandatory ya kumtarain huyo mtu leo hii utamkashifu vip mtu kuwa vyeti vyake havitoshi wakati wew ndo uliajiri watu wa kumtrain?? bora ungesema hivi interview ni muhimu sababu nafasi ni chache ili kuwapunguza nyia rahisi ni kufanya interview.
pia kaka mtu kasoma miaka mitatu haumini vyeti vyake je ndani ya dk 5 na maswali yako matano ndo utamuuumini ???
tujenge hoja sio kuja na majibu ulioyasikia mtaani huko bila kuyatafakirii kwa kina ?
Kusoma na kuwa na vyeti hakutoshi moja kwa moja kwenda kuajiriwa. Anayeajiriwa ni mtu na sio vyeti, vyeti ni viambatanisho tu kuthibitisha kuwa mhusika aliwahi kupitia mafunzo fulani na kufuzu. Vyeti vinaweza kutumika kama tiketi tu ya kuingia kwenye foleni ya kwenda kwenye usaili, lakini uwezo wako ndio utakupa ajira.
Msingi wa usaili unabaki ule ule tu kukwepa lawama za kwanini vijana/raia hawana ajira?Hakuna ajira rasmi isiyokuwa na usaili. Neno usaili ni neno pana, na usaili unaweza kufanyika kwa namna mbali mbali, tofauti tofauti. Kitendo tu cha kuambiwa andika barua ya kuomba ajira na upeleke vyeti vyako na kisha mwajiri kuvipitia ili kuona kama unakidhi hiyo nafasi huo nao ni usaili.
Sasa Katika mazingira ya uhaba wa ujira, ushindani wa kuajiriwa, mivurugano ya mafunzo, ujanja ujanja, upendeleo wa kuajiriwa na malengo mahususi ya mwajiri, suala la kuwepo USAILI MPANA NA MAHUSUSI ni jambo muhimu na lazima. Huwezi kuepuka usaili.
Naitwa Emmanuel Issac Mbaga, haya nenda ukabaneInaonekana una msongo wa mawazo chuki na kukukosa Ajira, hii mada haitaji mihemko hata kidogo labda nikuambie tu baada ya hili zoezi hakutakuwa na usaili tena ni sehemu ya majaribio tu Kuona ni namna gani sahihi ya kuweza kutafuta watu kuajiri ..
Sasa wewe na depression zako usiharibu mada acha watu watoe mitazamo watu wachukue maoni kila mada nakuona unashabikia sana haya mambo tafuta kazi na nalaiti nikijua jina lako siwezi kuruhusu kijana kama wewe mwenye mihemko hizi kupata kazi
Sasa Kama ni kukidhi, si Kuna kipindi Cha matazamio??Ndugu yangu, fahamu tu kusoma na kupata vyeti ni jambo moja, na kuajiriwa ni jambo lingine tofauti kabisa.
Huwezi kumlazimisha muajiri amuajiri mtu mwenye vyeti tu wakati malengo ya muajiri yako zaidi au nje ya vyeti.
Narudia tena kuandika hapa, cheti ni uthibitisho kuwa ulipita mafunzo na kufuzu, usaili ni kipimo cha muajiri kuona kama unakidhi na kutosha kufanya kazi zake.
Hiyo ni hoja nyingine, tofauti na hii.Shida sio assessment, shida ni aina gani ya assessment tipo choice halijawahi ku assess umahili wa mtu kwenye kutibu mgonjwa wala kufundisha mwanafunzi
Kwani objective of education Kwa Tanzania ni ipi.Tabia inapimwa Kwa vyeti vya taaluma?
Mimi nilitegemea mfano kada za Afya wangefanyia Usaili kwa Mgonjwa maana ndiyo kazi yake ya kila siku..Shida sio assessment, shida ni aina gani ya assessment tipo choice halijawahi ku assess umahili wa mtu kwenye kutibu mgonjwa wala kufundisha mwanafunzi
Bloom's taxonomy of education unaielewa vyema??Kusoma na kuwa na vyeti hakutoshi moja kwa moja kwenda kuajiriwa. Anayeajiriwa ni mtu na sio vyeti, vyeti ni viambatanisho tu kuthibitisha kuwa mhusika aliwahi kupitia mafunzo fulani na kufuzu. Vyeti vinaweza kutumika kama tiketi tu ya kuingia kwenye foleni ya kwenda kwenye usaili, lakini uwezo wako ndio utakupa ajira.