Kid...Kuna haja ya kurudi pale kwenye kaburi la Shujaa Nduna Songea Mbano na kumuomba wapi alipo ficha siri ya vijana wake kukaa miaka miwili wakiwa wanapigana kwa kutumia silaha za jadi wakipambana na wajeruman waliokua wanatumia silaha za moto.
Au kuna uongo wa mtu mmoja akaona amzalilishe mzee Kinjekitile au dawa ya Kinjekitile ilikua ya ukweli ndiyo maana vita vikakaa kwa muda mrefu?
Sio kweli kabisa kitu hicho rejea Yeremia 8:8Okay mkuu na juu ya kinjegetile kuwaambia nduguze waite maji pale risasi zinapo pigwa kuna ukweli kwa kiasi gan juu ya ili?
Dah!!..very ironic, yaani kusapoti hoja yako dhidi ya shujaa kinjekitile unaweka evidence kitabu alicholeta von wissmanSio kweli kabisa kitu hicho rejea Yeremia 8:8