Kwanini umuite mtu muuaji,gaidi,shetani,nk nawewe ni gaidi,muuaji,shetani,n.k,puuuuuumafu!!Why umuite mtu shoga? Wewe pia ni shoga
Si ndiyo uweke ushahidi alimuua na kwa kumtumia nani ,acheki kujaziwa makamasi vichwani na wajinga wenzenuUlitaka yeye ndio akaue kwa mikono yake?? Uko na very poor reasoning capacity
Kwahiyo hapo ni nyumbani kwake eti?you're brain less!!Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.
View attachment 2558558
CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.
Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
Huyo uliemtag hapo ni nan kamanda?
Baada ya kuutangazia umma hayo amechukua jatua gani hadi sasa?Kuna mabaloni (pichani) zaidi ya 20 noti yalikutwa ndani kwake baada ya kifo chake.
View attachment 2558558
CAG wa wakati huo alibaini trilioni 1.5 zimechukuliwa na rais.
Rais juzi juzi tu hapa ameutangazia umma kuwa fedha za plea bargaining zinefichwa China kwenye akaunti binafsi. Jiwe alikuwa mwizi
Wewe ndiyo utuambie alikopeleka si unaushahidi kuwa hao hapo wanaoonekana na yeye yupo?
Hio comment ilikua ya ngapi? Na Kuna mtu Gani alikua amekomenti ujinga ? Tujifunze kutunza heshima ya watu.Unajua tatizo linaanzia pale vijana wa chadema na vijana wa Samia mnapoanza kutumia Lugha za matusi kwa vijana wa JPM,Kwakweli sisi Team chato tunawavumilia sana.
Tundu aliambiwa na polisi amlete dereva atajiwe aliyempiga risasi hadi Tundu kamficha dereva
Dah
Tundulisu ndiye alikwambia Mh Dkt Magu ndiye alitaka kumuua au alimtumia watu wamuue?fanyeni kazi acheni majungu!!
Fanya yako, mkome mama.Ushahid plz tujitahidi kutoa hojankwa mifano na ushahid mana hakuna wa kukugusa,Mama keshajitenga nae anataman ata afukuliwe.
Kwa lipi au kivipi?mataifa mengine wamtambue kuwa ni mwamba nyie mmpige nani yuko sahihi?Jiwe hachafuliwi. Alijichafua mwenyewe
Huna akili ?Tundulisu ndiye alikwambia Mh Dkt Magu ndiye alitaka kumuua au alimtumia watu wamuue?fanyeni kazi acheni majungu!!
Rais wa Ukrain unajua alikuwa na fani gani kabla ya kuwa rais wa nchi yake au Weah wa Liberia alikuwa ni nani?
Unadhani ni nyumbani kwenu?Kwahiyo hapo ni nyumbani kwake eti?you're brain less!!
Tumefurahia kifo chake.Baada ya kuutangazia umma hayo amechukua jatua gani hadi sasa?
Taifa gani limtambue dikteta kuwa mwamba. Labda kama Chato imegeuka kuwa taifa.Kwa lipi au kivipi?mataifa mengine wamtambue kuwa ni mwamba nyie mmpige nani yuko sahihi?