a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza pata mawasiliano yao mkuuInasemekana ukiwahi anarudi,
Nimewahi kuona manzi wa chaliangu mmoja mwaka 2004 dodoma (chang'ombe) alirudi na alieleza alikokua na aliokuwa nao,akamtaja huyo bibi aliyekuwa ajiwahifadhi na kwa hasira kali walizokuwa nazo raia wakamfuta yule ajuza
Namba ya nini?Kama uko serious weka namba
Mmepigwa ,,Kuna jamaa mmoja anaitwa Mchungaji katekela aliwahi kua msukule baadae akapata Neema ya kutolea huko ,mtafute anaweza kuwasaidiaAlilalamika kipanda uso tu na kichwa kwa siku mbili akawa anaaga na maiti ilikua inatoa machozi akiwa anatolewa mochwari
leta elimu kidogo mkuu tujue anafanywaje fanywaje mpaka akamilike msukule.Ndio wanarudi mkuu ukiwahi kabla hajakatwa ulimi. Mtafute mtumishi gwajima
Kijana unabishana na wataaalam sasa endelea kubisha nikugeuze chura robo usivuke..Kuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..ni project ya watu wengi Tena wanaacha shughuli zote wanadeal na Hilo tu Moja...na ni kweli anaakaa nyuma ya mlango..mnapoenda kuaga maiti nae anaakuwa wa mwisho kuaga..mnapotoka makaburini nae wanamchepushia porini...
.
Kuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..ni project ya watu wengi Tena wanaacha shughuli zote wanadeal na Hilo tu Moja...na ni kweli anaakaa nyuma ya mlango..mnapoenda kuaga maiti nae anaakuwa wa mwisho kuaga..mnapotoka makaburini nae wanamchepushia porini...
.
Njoo unichukue😂😂..mi mwenyewe mzito..waulize Kilimanjaro mtu akipewa UFUMWA INATAKIWA aweje....back to your suggestion...kuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..mmiliki ni Mmoja ila kikosi kazi cha usaidizi huwa ni nyomi...na wachawi pia waoga wakiua wanasikilizia kama mtamaliza msiba..mkimaliza ndio wanaokata ulimi ishara ya kuwa mmekubali ndugu yenu ameendaKijana unabishana na wataaalam sasa endelea kubisha nikugeuze chura robo usivuke..
Mchawi anaye chukua mtu kuwa msukule ni mmoja tu na sio kikundi na ili akutoe pale nyuma ya mlango au popote ulipo ni lazima asimame jua linapo zamia na afanye ishara ya kumuita mtu wake Mpaka pale huyo mtu atakapo mfikia..
Na huondoka nae kwa kumbeba mgongoni au kwa kumshika mkono.. na huyo mtu anakuwa anaona watu lakn haelewi ni nini kinaendelea.
Sasa bisha tena nije kukuchukua msukule 😀
Kwa sasa sina mawasiliano yake maana ni kitambo kidogo,ila kama mna hakika kapotea kimazingara ukitafuta wataalam hasa kigoma huko ndiko inaaminika wako wa uhakika unafanikiwaNaweza pata mawasiliano yao mkuu
Wenyeji wa MAGU MWANZA,GAIRO MOROGORO watakuja kutuelezea kwa kina.Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )
swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.
NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
100% truly.Ushirikina tu, hapo mtaliwa hela.!!
Juzi saloon kuna mtu anakomaa dada yake walimuua kiuchawi eti wakati wanamtoa mochwari alikuwa anavuja jasho nikabaki nacheka tu 😹😹😹
Nikawaambia kule mochwari alikaa kwenye friji km samaki lazima atoke maji ni barafu ile inayeyuka..!
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )
swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.
NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukraniKuu