Je, Kuna watu wasio na Imani na Rais? Mbona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha Watu mazuri yake? Wanaomsifu wana Iman naye?

Kusifu na kuabudu rais ilianzia kipindi cha jiwe naona mazoea yashajenga tabia.
 
Inchi yetu ni ya kujikimu wala siyo ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…