Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stevie Wonder😎😎😃😃Wa kumuoa haumwoni kivip? Nenda huko vijijini unarudi nao Lori zima
Ahsante kwa mchango wako,kumbe sionmbaya kijana ukaomba msaada jwa wazazi kukutafutia mkeSio vibaya inategemeana na mke mwenyewe utakaeletewa, je mtaendana? utampenda na kumkubali? Atakupenda na kukubaliana na hali yako? Zamani wazee wetu ndio ilikuwa hivyo sema walikuwa wanazingua kwenye kulazimisha hata kama hujampenda ukishataftiwa ndio huyohuyo
😁😁 kwamba sijui? Nyie vijana nawajua ,mnataka mke wa maonyesho, halafu hapo hapo mnataka awe na tabia njema na vigezo vingine vyote kwa wakati mmoja ,wake hawa huku wanabeti ona sasa.Kuna muda utafika utagundua kupata mke sio jambo
Kwanini,
Me sidhani kama kuna ubaya ni approach nzuri kwa kuwa wao wanaweza kuwa wanawajua watu wazuri wanao faa kuwa mke ila huoni kama inapunguza heshima kidogo kuona umetafutiwa mke kwa kipindiNdugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
😁😁😁😁😁😁 kwamba sijui? Nyie vijana nawajua ,mnataka mke wa maonyesho, halafu hapo hapo mnataka awe na tabia njema na vigezo vingine vyote kwa wakati mmoja ,wake hawa huku wanabeti ona sasa.View attachment 3221119
chama jana tu kimepata wanachama wapya alfu kumi na tatu na miambili ishirini!.Dah nilidoj bhna kumbe kataa ndoa bado inaendelea?
Madharau hayo mkuu, hao ndio wake sasa,kamwe hutokuja kulalamika humu.😁😁😁😁