Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ndio nahofia , vip heshima itapungua kwa mke au jamii ndio itaounguza heshima kuwa nimetafutiwa?Me sidhani kama kuna ubaya ni approach nzuri kwa kuwa wao wanaweza kuwa wanawajua watu wazuri wanao faa kuwa mke ila huoni kama inapunguza heshima kidogo kuona umetafutiwa mke kwa kipindi
Comments bora sana kaka sina hata cha kuongeza, shida ni jamii tu sijui inachukuliaje hili swalaUpo tayari kujifuza kupenda?
Unaweza kujifunza kupenda?
Umagharibi umeleta uhuru, watu hawawezi tena kujifunza kupenda kama zamani, wanaona ni lazima umjue mtu kwanza,
Ila mimi naona hakuna shida.
Ingekuwa maamuzi binafsi ni sahihi, basi watu walioingia kwenye mahusiano kabla ya ndoa wasingeachana.
Naamsio vibaya, Mbona zamani vijana walikuwa wanachaguliwa wenza. Kikubwa mme na mke wajue wajibu wao kwenye ndoa.
Naomba unipe japo sababu kwanini haifai, kumbuka ni mke sio mchumba kupata mke wa kuoa sio jambo dogo hata waliotafute wenyewe wengi wameachnaKwa karne hii hapana na haifai kabisa. Huo utaratibu ulifaa sana nyakati za nyuma kidogo, kwa sasa haiwezekani kuchaguliwa mke.
Sasa kama umeshindwa kujichagulia mwenyewe ukichaguliwa huna budi kumkubaliMh sawa nimeshindwa ila sio ndio unaletewa ilimrad mtu hapana
Nakupa mfano, unaishi Dar na kufanya kazi huko. Wazazi wapo Kigoma kijijini, wanakuambia uje uoe binti wa kijijini ambaye humjui. Huyu binti hata kama yupo kijijini haimaanishi tabia yake ni njema, siku hizi hata huko hali ni mbaya sana. Zamani iliwezekana kwa sababu maadili hakuna, sio mabinti wala vijana wanaojitunza, unaweza kuchaguliwa mchumba na msidumu, mkaja kusingizia "kuchaguliwa mchumba"!Naam
Naomba unipe japo sababu kwanini haifai, kumbuka ni mke sio mchumba kupata mke wa kuoa sio jambo dogo hata waliotafute wenyewe wengi wameachna
WISDOM 100%Kuna muda utafika utagundua kupata mke sio jambo dogo
Hiyo sababu sioni kama inamashiko, kuomba kuchaguliwa ni kwa kuwa wazazi huwa wanajua mke mwenye tabia njema ninyupi so kwa tabia labda umbadilishe wewe ila wazazi hawawezi kukuletea mke mwenye tabia mbovu mtoto waoNakupa mfano, unaishi Dar na kufanya kazi huko. Wazazi wapo Kigoma kijijini, wanakuambia uje uoe binti wa kijijini ambaye humjui. Huyu binti hata kama yupo kijijini haimaanishi tabia yake ni njema, siku hizi hata huko hali ni mbaya sana. Zamani iliwezekana kwa sababu maadili hakuna, sio mabinti wala vijana wanaojitunza, unaweza kuchaguliwa mchumba na msidumu, mkaja kusingizia "kuchaguliwa mchumba"!
Kwa kizazi hiki kilichokosa maadili huwezi kumchagulia mtu mke/mume. Vijana wameharibika, utanichagulia vipi mke, zamani tulikutana na bikira so unajua kabisa hapa nimepata mtu, leo hizo bikira hakuna, ni bora kumuacha mtu achague mke based on anavyoona mwenyewe kwa mapungufu anayoyaona na kufikiri kwamba anaweza kuyahimili.Hiyo sababu sioni kama inamashiko, kuomba kuchaguliwa ni kwa kuwa wazazi huwa wanajua mke mwenye tabia njema ninyupi so kwa tabia labda umbadilishe wewe ila wazazi hawawezi kukuletea mke mwenye tabia mbovu mtoto wao
👏👏, ahsante sanaKwa kizazi hiki kilichokosa maadili huwezi kumchagulia mtu mke/mume. Vijana wameharibika, utanichagulia vipi mke, zamani tulikutana na bikira so unajua kabisa hapa nimepata mtu, leo hizo bikira hakuna, ni bora kumuacha mtu achague mke based on anavyoona mwenyewe kwa mapungufu anayoyaona na kufikiri kwamba anaweza kuyahimili.
Hii ni shidaKuna muda utafika utagundua kupata mke sio jambo dogo
👏👏, ahsante sana
Je kwa kijana wa kiume anaetaka mwenyewe achaguliwe kuna shida hapo?
Mke mtafute mwenyewe utakaempenda umshawishi akukubali sio wa kutafutiwa. Huwa hawadumu kwakua ulikua huna tamaa naeKuna muda utafika utagundua kupata mke sio jambo
Kwanini,
Experiences za maisha hazifanani mkuu. Kama mtazamo tu!👏👏, ahsante sana
Je kwa kijana wa kiume anaetaka mwenyewe achaguliwe kuna shida hapo?
Mwanamke wa kutafutiwa huwezi mjua kiundani zaidi maana hata hao wanao kutafutia ni wazi hawamjui kwa upana,maana wazazi wa binti hawawezi kumuongelea vby binti yao kwa wazz wa mwanume,mana shida yao ni mahali na binti yao aolewe haya mengine watawaficha,hivyo tafuta utakaempenda kisha msome taratibu kwa kipindi chenu cha uchumba ili ujue madhaifu yakeNdugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
kuhusu mke, hata wale waojitafutia bado maamuzi yao yanakuwa influenced directly ama indirectly na watu walio karibu nao.Mke mtafute mwenyewe utakaempenda umshawishi akukubali sio wa kutafutiwa. Huwa hawadumu kwakua ulikua huna tamaa nae
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?