Je, kutafutiwa mke wa kuoa ni vibaya?

Je, kutafutiwa mke wa kuoa ni vibaya?

Inawezekana kabisa, mapenzi hayana formula kuna jamaa walioa madem wa humu jf.. yani umeona profile umetekenya kidogo ngoma isambe iyoo.. ukifanikiwa kupata wa jf basi yeyote hatokushinda, tukutane Love connect ntakuelekeza mule sifa wanazopenda mwiko kusema huna hela na usiwe mbaguzi wa singo maza ishi humo.
 
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
sio vibaya kabisa
 
Hakuna shida, kama ni kweli umeshindwa mwenyewe, omba wazazi au wazee wako wakutafutie!
 
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
Sio vibaya.Mimi nilimtafutia mdogo wangu ubavu wake ingawa kwa gharama ya kufilisiwa vyote nilivyokuwa navyo.Cha msingi wapo wana enjoy maisha wenyewe
 
Back
Top Bottom