Je, kutafutiwa mke wa kuoa ni vibaya?

Je, kutafutiwa mke wa kuoa ni vibaya?

Kama umeona shida kupata mke mwema basi kuomba kwa wazazi ni jambo jema sana
Wao wanajua familia nyingi na wanawajua watu wema
Kama utapata kwa njia hiyo ni vizuri sana
Unakuta mama anamjua mzazi mwenye ukarimu na tabia nzuri na watoto wenye heshima
Bora kuwa na mama mkwe na baba mkwe wema kuliko mama mkwe fyatu hapo ukosee kidogo kwa mwanae, atajaza mtaa
 
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
Waarabu na wahindi wanatafutiwa wake na ninadra sana kuona wakiachana. Wazazi wanajua mambo mengi na familia nyingi zenye malezi mema hivyo wanao kuchagulia mke ni mara chache sana ukakuta hana maadili tafauti na hawa wakujitafutia hujui hata background yake
 
Waarabu na wahindi wanatafutiwa wake na ninadra sana kuona wakiachana. Wazazi wanajua mambo mengi na familia nyingi zenye malezi mema hivyo wanao kuchagulia mke ni mara chache sana ukakuta hana maadili tafauti na hawa wakujitafutia hujui hata background yake
Naunga mkono hoja 💯
 
Kama umeona shida kupata mke mwema basi kuomba kwa wazazi ni jambo jema sana
Wao wanajua familia nyingi na wanawajua watu wema
Kama utapata kwa njia hiyo ni vizuri sana
Unakuta mama anamjua mzazi mwenye ukarimu na tabia nzuri na watoto wenye heshima
Bora kuwa na mama mkwe na baba mkwe wema kuliko mama mkwe fyatu hapo ukosee kidogo kwa mwanae, atajaza mtaa
Nakuunga mkono 100000% umemaliza kaka na hiyo ndio point yangu
 
Nakuunga mkono 100000% umemaliza kaka na hiyo ndio point yangu
Asante sana
Unajua kadri tunavyokua ndio tunajifunza, na umri unasaidia sana
Vijana wa leo hawajui haya kwa sababu wengi wamegubikwa na utandawazi na wengi wanaishi na vimada tu
Ndio maana ndoa zinapondwa kwa sababu hawapati watu wema
 
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?

Bro unakwama wapi, wakati mitandao ya kijamii iko katika kila kona?
 
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
Vibaya mno, hasa Kwa kipindi hiki, labda zamani ila Kwa kipindi hiki ndiyo chanzo mwanamke kukudharau na kukuona boya
 
Ni nzuri but ni risk pia,imagine una hulka ya kuwa na kinyaa-unaletewa binti wa kuoa halafu usafi ni zero,kupika napo zero utajuta-utatamani dunia iishe kesho.
 
Kwa karne hii hapana na haifai kabisa. Huo utaratibu ulifaa sana nyakati za nyuma kidogo, kwa sasa haiwezekani kuchaguliwa mke.

Siku hizi watu wengi wanaogopa lawama. Wanawaacha wenyewe, ili ikiumana wajilaumu wenyewe.
 
Hiyo sababu sioni kama inamashiko, kuomba kuchaguliwa ni kwa kuwa wazazi huwa wanajua mke mwenye tabia njema ninyupi so kwa tabia labda umbadilishe wewe ila wazazi hawawezi kukuletea mke mwenye tabia mbovu mtoto wao
Wazazi huko Vijijini tabia wanazoangalia kutoka kwa Binti ni umalaya na uchawi,kama famili yao haina hayo mambo watakuambia anafaa but kuna mambo mengi kwenye uhusiano zaidi ya hayo.
Ndipo nimwtoa mfano hapo juu,unapewa binti usafi wake wa mwili na mazingira ni zaidi ya wapemba au wahindi ni mchafu balaa,je utaweza dumu naye.
 
Wazazi wetu walioa kwa kutafutiwa wake na ndoa zao zilidumu, tafauti na sasa unatafuta mwenyewe lakini ndoa haidumu.
 
Hiyo ndio safi hata kama huyo mke wako akizingua lawama zote unawatupia waliokutafutia huyo mke
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
 
Ahsante kwa mchango wako,kumbe sionmbaya kijana ukaomba msaada jwa wazazi kukutafutia mke
Wazazi kukutafutia inakua noma sana miaka hii,wao wanalala saa 2 usiku,ilhali huyo watakaesema ana tabia njema,anatoka saa tano usiku,anarudishwa saa kumi kabla hawajaamka.Ni kipengele sana,tafuta mwenyewe.
 
Back
Top Bottom