DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 372
- 310
Tunapoelekea kipindi cha kampeni tuna tegemea hoja nzito haswa kutoka kwa wagombea wa upinzani kuhusu serikali ya awamu ya tano kushindwa kuweka mifumo ambayo ingewezesha tume huru ya uchaguzi kuwepo. Lazima tufahamu kwamba Tume Huru ya Uchaguzi ni shirika linalo jitegemea pamoja na kuwa na nguvu kazi isiyo na upendeleo wa aina yoyote kwa chama chochote na kwasababu hio ni kitu ambacho kingechukua muda mrefu ku andaa.
Vile vile kuwa na Tume Huru inge tulazimu kuwa na mchakato wa kupata katiba mpya kwanza, kitu ambacho kilizua mzozo mkubwa mara ya mwisho tulipo waweka washika dau wote kwenye meza. Tujaribu kadri ya uwezo wetu kuzuia hali ambayo ingeweza kujitokea ya serikali kujenga ghorofa kubwa la tume huru liki endeshwa na watu wale wale ambao wapo kwenye tume tuliyo nayo sasa hivi. Vile vile uchaguzi kwa mara ya kwanza na tume mpya ya uchaguzi ni kitu kinacholeta sinto fahamu kubwa na kinatu lazimu tuwe tume jiandaa kwa muda mrefu ku kabiliana na changa moto zozote.
Ni vyema pia kama tungeweza kuchambua faida na hasara zinazoweza kuhusishwa na kuwa na tume huru ya uchaguzi. Faida kubwa kuliko zote ni vyama vyote vya siasa vitakuwa na imani kwamba uchaguzi utakuwa wa huru na wa haki kwasababu uchaguzi utasimamiwa na watu wasio na upendeleo.
Kitu cha muhimu ambacho washika dau wote wanashindwa kutambua ni kwamba tume huru ya uchaguzi inge andaliwa na serikali hii hii ambayo inasemekana kuwa na mkono kwenye tume tuliyo nayo sasa hivi. Watakaofanya kazi kwenye tume huru ya uchaguzi bado wangechaguliwa na serikali na hamna chama chochote ambacho kingekuwa na wa wakilishi kwenye tume.
Muda sio rafiki kwa kila mtu na kwasababu hio ni muhimu kwa wahusika wa vyama vyote kurekebisha tofauti zao na tume iliyopo sasa hivi na kuangalia jinsi walivyo jiandaa kwa uchaguzi.
Kuwa na historia ya kufanya kazi kwa uadilifu, uwezo wa kufanya kazi vizuri na vyombo vya usalama vilivyopo na mahusiano mazuri na watanzania wote kwa ujumla ni vitu ambavyo vinachukua muda kujenga. Tume ya uchaguzi inazingatia maslahi ya wagombea wote
Vile vile kuwa na Tume Huru inge tulazimu kuwa na mchakato wa kupata katiba mpya kwanza, kitu ambacho kilizua mzozo mkubwa mara ya mwisho tulipo waweka washika dau wote kwenye meza. Tujaribu kadri ya uwezo wetu kuzuia hali ambayo ingeweza kujitokea ya serikali kujenga ghorofa kubwa la tume huru liki endeshwa na watu wale wale ambao wapo kwenye tume tuliyo nayo sasa hivi. Vile vile uchaguzi kwa mara ya kwanza na tume mpya ya uchaguzi ni kitu kinacholeta sinto fahamu kubwa na kinatu lazimu tuwe tume jiandaa kwa muda mrefu ku kabiliana na changa moto zozote.
Ni vyema pia kama tungeweza kuchambua faida na hasara zinazoweza kuhusishwa na kuwa na tume huru ya uchaguzi. Faida kubwa kuliko zote ni vyama vyote vya siasa vitakuwa na imani kwamba uchaguzi utakuwa wa huru na wa haki kwasababu uchaguzi utasimamiwa na watu wasio na upendeleo.
Kitu cha muhimu ambacho washika dau wote wanashindwa kutambua ni kwamba tume huru ya uchaguzi inge andaliwa na serikali hii hii ambayo inasemekana kuwa na mkono kwenye tume tuliyo nayo sasa hivi. Watakaofanya kazi kwenye tume huru ya uchaguzi bado wangechaguliwa na serikali na hamna chama chochote ambacho kingekuwa na wa wakilishi kwenye tume.
Muda sio rafiki kwa kila mtu na kwasababu hio ni muhimu kwa wahusika wa vyama vyote kurekebisha tofauti zao na tume iliyopo sasa hivi na kuangalia jinsi walivyo jiandaa kwa uchaguzi.
Kuwa na historia ya kufanya kazi kwa uadilifu, uwezo wa kufanya kazi vizuri na vyombo vya usalama vilivyopo na mahusiano mazuri na watanzania wote kwa ujumla ni vitu ambavyo vinachukua muda kujenga. Tume ya uchaguzi inazingatia maslahi ya wagombea wote