Dume hajiiti hivyomm mwenyewe dume [emoji23] we unajuaje kama mm ke
Labda ni wale walio changanyaKwa hiyo una makende hapo hauna papuchi?
HAHA MKUU NAAMINI UNAMZUNGUMZIA DAB KILAZA ILA SIO MIMI.Acha tu akina DAB hawa wanachukua tu bmw za watu. Na hata hvy nikisikia tu fununu kuwa Dab anamtaka najiondoa mapema maana huchelewi jina kulikuta kwenye list ya madawa
Shunie hawezi kuwa hao...maana kwa ile chura duuhLabda ni wale walio changanya
Acha uchochezi wewe kwani wasio na magari wanadumu?kuumizana kupo tu wala sio kwa sababu ya gariUmenifanya nicheke. Ila huwa wanawake tunatia aibu sana ndio mana walio wengi wanakosa mahusiano ya kudumu.
we ushawahi kuniona mmDume hajiiti hivyo
Mkuu ushamba wa gari bongo bado sana kuisha, ushamba wa tv ndio umefanikiwa kuisha, ukiwa na gari hata la mkopo unaonekana una hela kuliko mtu mwenye hela halafu hana gari. Ukiwa na hela halafu unasugua bomba kwenye daladala unaonekana ndo 'walewale'. Kama unahela nunua gari uheshimiweIssue za Gari zilikuwa Zamani siyo sasa.Sasa hivi ukiwa vizuri mfukoni ndiyo mpango mzima.Mnakodi gari mnaenda kuenjoy huko kwenye mbuga za wanyama.Mnakwea pipa mnaenda kula upepo visiwa vya Comoro.Mnakwea pipa kwenda shopping J'burg."That is what they want these days.C'est bon mon ami?
hahhhhahhLabda ni wale walio changanya
Umesema kweli lakini cha ajabu hawa wala hawapo huko sijui wapojeeeMwanaume sio ule mwili wake sijui mkono makalio kichwa nywele miguu na Bega. Ila ni pamoja na hadi anapolala vyeti vyake nguo zake na vingine vyote.
Na tunapowatongoza tunakuja kama wanaume na hatuleti miili tu.
mm sina chura mjue nani kawadanganya hivyoShunie hawezi kuwa hao...maana kwa ile chura duuh
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu akina DAB hawa wanachukua tu bmw za watu. Na hata hvy nikisikia tu fununu kuwa Dab anamtaka najiondoa mapema maana huchelewi jina kulikuta kwenye list ya madawa
Mwambie manga anataka akuchungulieHaya.. najua unagovi lako haujatahiri.
Mimi laiguanan siongei na malayoni
Manga wapo sema hivi ni vidole vinavyozungumza na sio nafsi zao.Umesema kweli lakini cha ajabu hawa wala hawapo huko sijui wapojeee
hahahahahhMwambie manga anataka akuchungulie
Weka pichamm sina chura mjue nani kawadanganya hivyo
hakuna chochote bwanaManga wapo sema hivi ni vidole vinavyozungumza na sio nafsi zao.
umeambiwa insta hapaWeka picha
Asipokuelewa hapa nampa wine leo hiiGari ni moja ya ushawishi wa kumvuta mwanamke.
Kama sisi tunavyovutiwa na uzuri wenu makalio sura macho shingo.