Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Duh nikimpata Huyo sitamuachia sex sio kila kitu katika marriage na wangapi umewapa mzigo na hauko nao sasa HV?Huyo ni kati ya wanaume wachache kwa sasa ambao hawakimbiliii sex kwani nowadays sex is easily available everywhere duh penye miti mingi hapana wajenzi aiseeeeh
 
Huu mziki ni mnene..biti zina kasi kuliko uwezo wangu wa kucheza...
 
Yaani kusoma hii thread jecha kipora kasimama ghafla. Sasa namshangaa huyo basha yako, atakuwa sio mzima aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…