jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,975
- 4,266
Well, your concerns are justifiable.
Zamani Ilikuwa rahisi kutohofia hayo mambo kwa sababu baadhi ya tamaduni zilikuwa zinajiridhisha juu ya afya ya via vya uzazi vya mwanamke na mwanamke Kabla ya ndoa. Kwa kipindi hiki hali ni tofauti, niliwahi kushihudia ndoa ikivunjika after seven days kwa kuwa jamaa alikuwa na Erectile disorder. Hii Ilikuwa precedent kuwa kila anayetaka kuoa basi lazima tujiridhishe kuwa Ana uwezo wa kutimiza majukumu yake katika ndoa.
Kwa nini huwa wanauliza Kama Una elimu kiasi gani? Una kazi? Urefu wako? Familia yako?
Nadhani inabidi waulize na kujitidhisha Kama mwanamke au mwanaume ana uwezo wa kufanya tendo la ndoa na kukidhi hitaji hilo kwa mwingine.
Wengine wanaoa kama cover-ups kwa Jamii kwamba naye alioa.
Find a way kujua hali yake ya kwenye hilo eneo.
Unapotaka kuingia kwenye ndoa una haki ya kupata majibu yote kutoka kwa mtarajiwa wako.
Zamani Ilikuwa rahisi kutohofia hayo mambo kwa sababu baadhi ya tamaduni zilikuwa zinajiridhisha juu ya afya ya via vya uzazi vya mwanamke na mwanamke Kabla ya ndoa. Kwa kipindi hiki hali ni tofauti, niliwahi kushihudia ndoa ikivunjika after seven days kwa kuwa jamaa alikuwa na Erectile disorder. Hii Ilikuwa precedent kuwa kila anayetaka kuoa basi lazima tujiridhishe kuwa Ana uwezo wa kutimiza majukumu yake katika ndoa.
Kwa nini huwa wanauliza Kama Una elimu kiasi gani? Una kazi? Urefu wako? Familia yako?
Nadhani inabidi waulize na kujitidhisha Kama mwanamke au mwanaume ana uwezo wa kufanya tendo la ndoa na kukidhi hitaji hilo kwa mwingine.
Wengine wanaoa kama cover-ups kwa Jamii kwamba naye alioa.
Find a way kujua hali yake ya kwenye hilo eneo.
Unapotaka kuingia kwenye ndoa una haki ya kupata majibu yote kutoka kwa mtarajiwa wako.